Who owns Tanzania?

Who owns Tanzania?

Escobar

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2011
Posts
574
Reaction score
443
Jana jioni wakati bunge likiahirishwa huku watu wakiachwa midomo wazi kwa kutosikia walichokitarajia, nilikuwa sehem naangalia hitimisho hilo la mtoto wa mkulima. Baadaya kuisha kwa hotuba yake ilionekana watu walikerwa na kutochukuliwa hatua kwa waliotajwa kwa ufisadi wa mali za uma, kuna watu walioondoka kwa hasira huku wakiacha vinywaji vyao lakini pia wapo waliotikisa vichwa tu na kuendelea na vinywaji vyao na ndipo hapo mijadala isiyorasmi ilipoanza.

Kuna afisa mmoja sijajua niwa ubalozi gani maana aliingia na Rav 4 ya number za kijani ila anaongea rafudhi kama ya jirani zetu wakei ndipo akatoa neno kuwa inaonekana watu wanakerwa sana na hali hii lakini wanaendelea na shughuli zao kama kawaida, kwani WHO OWNS TANZANIA? Hakuna aliyejibu, jamaa akaongezea basi mmiliki wake anatakiwa achukue hatua!

Kwa tafsiri yangu ni kwamba kama nchi ni mali ya wananchi basi wachukue hatua na kama ni mali ya serikali basi tukubaliane na wanachoamua juu ya mali yao! To be honest nilishikwa na hasira sana
 
Usa and "wawekezaji" are the owners of tanzania the land of free milik
 
jk,his family and a bunch of his fellow criminals
 
Jana jioni wakati bunge likiahirishwa huku watu wakiachwa midomo wazi kwa kutosikia walichokitarajia, nilikuwa sehem naangalia hitimisho hilo la mtoto wa mkulima. Baadaya kuisha kwa hotuba yake ilionekana watu walikerwa na kutochukuliwa hatua kwa waliotajwa kwa ufisadi wa mali za uma, kuna watu walioondoka kwa hasira huku wakiacha vinywaji vyao lakini pia wapo waliotikisa vichwa tu na kuendelea na vinywaji vyao na ndipo hapo mijadala isiyorasmi ilipoanza.

Kuna afisa mmoja sijajua niwa ubalozi gani maana aliingia na Rav 4 ya number za kijani ila anaongea rafudhi kama ya jirani zetu wakei ndipo akatoa neno kuwa inaonekana watu wanakerwa sana na hali hii lakini wanaendelea na shughuli zao kama kawaida, kwani WHO OWNS TANZANIA? Hakuna aliyejibu, jamaa akaongezea basi mmiliki wake anatakiwa achukue hatua!

Kwa tafsiri yangu ni kwamba kama nchi ni mali ya wananchi basi wachukue hatua na kama ni mali ya serikali basi tukubaliane na wanachoamua juu ya mali yao! To be honest nilishikwa na hasira sana

Ukondoo wa watanzania ndio unaotuumiza, kondoo wajinga. Mijitu tukila mihogo na mlenda , basi dunia imeisha. We Tanzanians own Tanzania and not rulers
 
Ukondoo wa watanzania ndio unaotuumiza, kondoo wajinga. Mijitu tukila mihogo na mlenda , basi dunia imeisha. We Tanzanians own Tanzania and not rulers

Kwa kweli Watanzania Tumejaa uoga usiokuwa na maana, nilitegemea kusikia maandamano kwenye majimbo mbali mbali wakisupport wabunge, lakini wooolaaaaaaaa!!! du ndiyo maana wanajichukulia vyao mapema!!!
 
Jana jioni wakati bunge likiahirishwa huku watu wakiachwa midomo wazi kwa kutosikia walichokitarajia, nilikuwa sehem naangalia hitimisho hilo la mtoto wa mkulima. Baadaya kuisha kwa hotuba yake ilionekana watu walikerwa na kutochukuliwa hatua kwa waliotajwa kwa ufisadi wa mali za uma, kuna watu walioondoka kwa hasira huku wakiacha vinywaji vyao lakini pia wapo waliotikisa vichwa tu na kuendelea na vinywaji vyao na ndipo hapo mijadala isiyorasmi ilipoanza.

Kuna afisa mmoja sijajua niwa ubalozi gani maana aliingia na Rav 4 ya number za kijani ila anaongea rafudhi kama ya jirani zetu wakei ndipo akatoa neno kuwa inaonekana watu wanakerwa sana na hali hii lakini wanaendelea na shughuli zao kama kawaida, kwani WHO OWNS TANZANIA? Hakuna aliyejibu, jamaa akaongezea basi mmiliki wake anatakiwa achukue hatua!

Kwa tafsiri yangu ni kwamba kama nchi ni mali ya wananchi basi wachukue hatua na kama ni mali ya serikali basi tukubaliane na wanachoamua juu ya mali yao! To be honest nilishikwa na hasira sana


.
"A nation of sheep will beget a government of wolves." - Edward R. Murrow

.
 
Kwa kweli Watanzania Tumejaa uoga usiokuwa na maana, nilitegemea kusikia maandamano kwenye majimbo mbali mbali wakisupport wabunge, lakini wooolaaaaaaaa!!! du ndiyo maana wanajichukulia vyao mapema!!!

Maandamano yanahitaji kiongozi mzuri wa kujua kuandaa maandamo na ajitoe mhanga.Nchi nyingi zilizofanikiwa kuleta mapinduzi kwa kutumia nguvu ya umma,zilikuwa na watu wachache waliojitoa mhanga kwa kuhubiri nchi nzima kuandaa maandamano.Hata mashuleni na vyuoni migomo ikitaka kutokea,huwa wapo viongozi wa migomo.Tanzania tupo watu milioni 40,ni ngumu kuji organise bila kuwa na wachache wa kujitoa mhanga.

Kwa hiyo bado hao wachache hawajapatikana.Ni kweli tuna hasira lakini tupo busy kuandika kwenye mitandao kwenye kiyoyozi.
 
binafsi sishangazwi na majibu ya jana niliyategemea hivyo mapokeo yake hayakuniumiza sana lakini nadhani muda unakaribia kufika tutachapana bakora hii hali haikubaliki kabisa ni zaidi ya upumbafu.
knini kifanyike? ningekuwa nina taaluma ya habari ningetumia kalamu yangu kuandika madudu haya lakini na wao wamekaa kimya wanasubiri bahasha kutoka kwa wezi kama ombaomba badala ya kutimizi wajibu wao na wakipeleka akili na utashi wao kwa kutuandikia makala za umbea na udaku tu
Jana jioni wakati bunge likiahirishwa huku watu wakiachwa midomo wazi kwa kutosikia walichokitarajia, nilikuwa sehem naangalia hitimisho hilo la mtoto wa mkulima. Baadaya kuisha kwa hotuba yake ilionekana watu walikerwa na kutochukuliwa hatua kwa waliotajwa kwa ufisadi wa mali za uma, kuna watu walioondoka kwa hasira huku wakiacha vinywaji vyao lakini pia wapo waliotikisa vichwa tu na kuendelea na vinywaji vyao na ndipo hapo mijadala isiyorasmi ilipoanza.

Kuna afisa mmoja sijajua niwa ubalozi gani maana aliingia na Rav 4 ya number za kijani ila anaongea rafudhi kama ya jirani zetu wakei ndipo akatoa neno kuwa inaonekana watu wanakerwa sana na hali hii lakini wanaendelea na shughuli zao kama kawaida, kwani WHO OWNS TANZANIA? Hakuna aliyejibu, jamaa akaongezea basi mmiliki wake anatakiwa achukue hatua!

Kwa tafsiri yangu ni kwamba kama nchi ni mali ya wananchi basi wachukue hatua na kama ni mali ya serikali basi tukubaliane na wanachoamua juu ya mali yao! To be honest nilishikwa na hasira sana
 
Tanzania ni ya watanzania. Lakini kwa sasa kikwete ndiye anayeshikilia hati miliki ndio maana hata wabunge walipoamua kupiga kura ya kutokuwa na imani na pinda na mawaziri wake . Yeye peke yake mtu mmoja kutOka msoga amevuruga zoezi hilo na watanzania tuko kimya kama hatuwezi mfanya lolote. Mkumbuke ni kikwete huyuhuyu aliyewanywea wafanya kazi mvinyo toka asubuhi HADI MCHANA na JIONI YAKE akawaita wazee wa dar( wazee njaa) akiwaporomoSHEA matusi WAFANYAKAZI tanzania nzima kuwa hata wakimnyima kura wako wachache 300,000 NA HAONGEZI MSHAHARA NG'OO!. Wafanyakazxi WAKAnywea kwa kweli yaani vasco dagama anaigeuza geuza nchi hii anavyotaka. One yes THEY shall knock HIM down
jana jioni wakati bunge likiahirishwa huku watu wakiachwa midomo wazi kwa kutosikia walichokitarajia, nilikuwa sehem naangalia hitimisho hilo la mtoto wa mkulima. Baadaya kuisha kwa hotuba yake ilionekana watu walikerwa na kutochukuliwa hatua kwa waliotajwa kwa ufisadi wa mali za uma, kuna watu walioondoka kwa hasira huku wakiacha vinywaji vyao lakini pia wapo waliotikisa vichwa tu na kuendelea na vinywaji vyao na ndipo hapo mijadala isiyorasmi ilipoanza.

Kuna afisa mmoja sijajua niwa ubalozi gani maana aliingia na rav 4 ya number za kijani ila anaongea rafudhi kama ya jirani zetu wakei ndipo akatoa neno kuwa inaonekana watu wanakerwa sana na hali hii lakini wanaendelea na shughuli zao kama kawaida, kwani who owns tanzania? Hakuna aliyejibu, jamaa akaongezea basi mmiliki wake anatakiwa achukue hatua!

Kwa tafsiri yangu ni kwamba kama nchi ni mali ya wananchi basi wachukue hatua na kama ni mali ya serikali basi tukubaliane na wanachoamua juu ya mali yao! To be honest nilishikwa na hasira sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom