Escobar
JF-Expert Member
- Sep 16, 2011
- 574
- 443
Jana jioni wakati bunge likiahirishwa huku watu wakiachwa midomo wazi kwa kutosikia walichokitarajia, nilikuwa sehem naangalia hitimisho hilo la mtoto wa mkulima. Baadaya kuisha kwa hotuba yake ilionekana watu walikerwa na kutochukuliwa hatua kwa waliotajwa kwa ufisadi wa mali za uma, kuna watu walioondoka kwa hasira huku wakiacha vinywaji vyao lakini pia wapo waliotikisa vichwa tu na kuendelea na vinywaji vyao na ndipo hapo mijadala isiyorasmi ilipoanza.
Kuna afisa mmoja sijajua niwa ubalozi gani maana aliingia na Rav 4 ya number za kijani ila anaongea rafudhi kama ya jirani zetu wakei ndipo akatoa neno kuwa inaonekana watu wanakerwa sana na hali hii lakini wanaendelea na shughuli zao kama kawaida, kwani WHO OWNS TANZANIA? Hakuna aliyejibu, jamaa akaongezea basi mmiliki wake anatakiwa achukue hatua!
Kwa tafsiri yangu ni kwamba kama nchi ni mali ya wananchi basi wachukue hatua na kama ni mali ya serikali basi tukubaliane na wanachoamua juu ya mali yao! To be honest nilishikwa na hasira sana
Kuna afisa mmoja sijajua niwa ubalozi gani maana aliingia na Rav 4 ya number za kijani ila anaongea rafudhi kama ya jirani zetu wakei ndipo akatoa neno kuwa inaonekana watu wanakerwa sana na hali hii lakini wanaendelea na shughuli zao kama kawaida, kwani WHO OWNS TANZANIA? Hakuna aliyejibu, jamaa akaongezea basi mmiliki wake anatakiwa achukue hatua!
Kwa tafsiri yangu ni kwamba kama nchi ni mali ya wananchi basi wachukue hatua na kama ni mali ya serikali basi tukubaliane na wanachoamua juu ya mali yao! To be honest nilishikwa na hasira sana