Who is our dream president?

Who is our dream president?

Gososi Gawene

Member
Joined
Mar 17, 2017
Posts
7
Reaction score
3
Am just thinking in louder mode..ni Raisi wa namna gani tunamhitaji Tanzania,, maana kila tunayemchagua mwanzoni anaonekana bora kuliko wote baada ya mda kidogo anaonekana hafai kuliko wengine.
 
Busara kama mwalimu.
Anaejali kama jk.
Mfuata katiba na kulinda haki za binadamu kama jk.
Mstahimilivu kama edo.
Mchapakaz kama kinana.
Jasiri kama tundu.
Asiwe mnafk mwenye ndim mbili kama mungu wa chato.
Asiwe tapeli wa kula hela za maafa kama sizonje.
 
....hatutaki RAISI Mzuri.Tutafute KATIBA NZURI. Hii ndio ITAKAYO MTENGENEZA Raisi Mzuri!
 
Usijeshangaa wengi wanamtaka rais awe mange ndio maana threads nying humu source yake kubwa instagram page ya mange,makamu wema.

 
Back
Top Bottom