wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 26,008
- 28,342
Kwa hiyo mapembe yamekuwa wanatutandika vichwa
tulikosea sana kuyaita haya madau ''Mababeru''.
sasa yameanza ubeberu wao.
yaani kumkatalia mtu asiingie nchini kwao tu, nchi inataka kusimama mitandaoni