Katikomile
JF-Expert Member
- Jul 12, 2007
- 471
- 74
tusimshutumu kwa usomali kuwa alitakiwa aape akiwa na miaka 18 jee baraka Obama alipofika miaka 18 aliapa? sababu baba yake ni mjaluo wa Kenya. wenzetu wa Marekani wamemchagua Mjaluo toka Africa bara lingine kabisa sisi tunahoji usomali?
Young blood hata kama ina kirusi cha ufisadi. Tumia akili Urasa ach akili za kushikiwa. Na hii thread kaanzisha Bashe mwenyewe au mpambe wake ili kujitangaza. Huko Nzega alipopita hakukuta jambo lingine la msingi kuliko politics?Huu ni mwanzo wa kupata umaarufu, Selelii has to step down and leave young blood kufanya vitu vyake.
Hussein Bashe? mzee achana na habari hizi, kama uanakitu unataka kuteleza just come clean, kwani nashangaa unawezaje kujua majina matatu ya mtu ambaye mara zote hutajwa kwa majina mawili? ulipita Nzega lakini ukasubiri kuja JF ndio uulize sifa zake tutake radhi, au nenda kajipange upya hiyo ni very low kwa standard za JF...aaaaaaaaaagggggghhhhrrrrrrrrrrrrr!!!!!!!!!!!!!!
Kuna watu siku hizi wanaitumia JF kupima upepo wa kisiasa na kijamii. Haingii akilini ufike Nzega halafu usipate taarifa za Hussein.
Anyway binafsi siasa za mkoa wa Tabora nimejaliwa kuzijua japo kwa kiasi fulani. In short ni kijana mpenda sifa na yuko tayari kushirikiana na mtu yeyote ili afikie malengo yake kisiasa.
In short hajawahi kumbana Seleli kwenye uchaguzi wowote! Matokeo ya kura za Maoni jimbo la Nzega mwaka 2005 ni ifuatavyo:-
1.Lucas Seleli 407
2.Abdallah Nasoro 150
3.Hussein Bashe 90.
Kwa mujibu wa ofisi ya CCM Nzega.
Mtu pekee aliyewahahi kumbana Seleli ni Abdallah Nasoro mwaka 2000 aliposhinda kura za maoni lakini alienguliwa na NEC. Kama kuna mtu ana matokeo tofauti na haya ni PURE FABRICATION.
Nimeamua kutoa takwimu hizi ili kuweka kumbukumbu sawa. Wana JF jioneeni tofauti ili mjue nani alibanwa 2005.
Sifa nyingi anazopewa humu JF ni tofauti kabisa ni jinsi tumjuavyo.
Nawasilisha.
Shangazi labda hujui historia ya wana siasa wa Tabora.Seleli kafanya kazi kwa muda mrefu kwa Rostam Aziz,fuatilia ulizia.Seleli hakuwahi kuwa mwiba wa mafisadi yeye kapata nafasi ile kwa nguvu za mafisadi.
Seleli kama anabisha aje hapa tunamjua vizuri.kilichotokea ni kama ndoa yenye msukosuko kati ya Seleli na Lowassa na RA kwa upande mwingine.kuna kitu alikikosa Seleli chini ya uwaziri mkuu wa Lowassa hana nguvu kupinga ufisadi bali analia na maslahi binafsi.
Rais BARAKA OBAMA mjaluo toka Kenya aliapa akiwa na miaka 18?
Haitashangaza ikiwa aliyepost thread hii ni Bashe mwenyewe kwa lengo la kujipima -- yaani ajue anajulikana kiasi gani na kwa yapi. Kama ni madhambi ajue umma unayajua yepi na kwa kiasi gani, ili anapojitosa kumn'goa Selelii awe ana uhakika anasimamia wapi.
Vinginevyo aliyeweka thread hii ni Selelii mwenyewe kwa malengo kwamba wenye kujua madhambi ya Bashe wayatoe ili apate nyenzo za kumsagasaga. Kumshinda Selelii katika uchaguzi Bashe atategemea fedha za RA (i.e za wananchi alizokupua) na si charisma au uwezo wake -- vitu viwili ambavyo hana kabisa.
Nimesoma kwenye post ya thread moja hivi karibuni kwamba Bashe ameshindwa kabisa kuongoza kitengo cha usambaji wa magazeti ya Habari Corp, mahali alipo, na kusababisha kuporomoka kwa mauzo ya magazeti.
Tunaomba ze dataz na facts.Hard Hitter nimeona nijaribu kukushauri kuwa huyu bwana kama unataka kupata taarifa sahihi juu ya Idara ya usambazaji (circulation) na perfomance yake nivizuri ukapata taarifa ya Steadman ya media report ya 2007,2008,na 2009,then utakuwa katika nafasi ya kuongelea juu hili.
kuhusu kuporomoka kwa mauzo ya magazeti ya mtanzania unatakiwa uwe specific hata hiyo post uloitumia kama fact yako ilikuwa nattarifa ambazo si za kweli historia ya bashe katika Media iindustry inaanza 2006 akiwa Sales and Marketing manager wa Mwananchi na the guy he did a wonderful job hapo,mimi nimefanya nae kazi yeye akiwa manager idara niliyotaja mwanachi na mimi nikiwa editorial na sasa yeye anafanya New Habari na Mimi Nipo Nipashe kwahiyo ninapoongelea swala hili nafahamu,tukiwa wanahabari wapo watakao kubaliana na mimi kuwa BASHE ni mmoja wa Best managers wa maswala ya CIRCULATION NA MARKETING ya news paper,matatizo ya HABARI sote tunafahamu si matatizo ya usambazaji ingelikuwa ni TATIZO LA USAMBAZAJI leo gazeti la michezo la kila siku linalongoza katika soko tunafahamu ni BINGWA na katika magazeti ya wiki ya michezo gazeti la DIMBA ni moja kati ya magazeti mawili au matatu yanayoongoza kwa mauzo,mbali na hilo Gazeti la Rai ni gazeti ambalo lilionekana kuporomoka leo ni gazeti ambalo baada ya Mwanahalisi ni lapili katika mauzo ingawa PROFESSINALLY RAI na mwanahalisi yanaangalia wasomaji aina Tofauti RAIA mwema ndie msindani wa RAI ambae kimauzo bado hajalifikia RAI.
Nivizuri post zetu ziwe za uhakika zaidi
Mwezi uliopita Seleli alifanya mkutano kanisani Tabora na kusema kuwa Tabora itatawaliwa na wana Tabora na pia watu wa Tabora wajihadhari na magaidi.ukiona mtu anatoa kauli hizo wazi mbele ya vyombo vya habari ujue kuwa hali si nzuri.
Bashe amewahi kuwa rais wa wanafunzi chuo kikuu cha Mzumbe,jee alisaidiwa na Rostam kupata urais wa wanafunzi? kweli wanafunzi wa chuo kikuu wa Mzumbe wanaweza kudanganywa na RA?
Bashe alipambana vikali na Beno Malisa ambaye ni mtu wa Lowassa habari yake inajulikana mkitaka zaidi muulize Saeed Kubenea wa Mwanahalisi.
sasa kama Bashe ni mtu wa RA kwanini apambane na mtu wa Lowassa? kwani Lowassa na RA ni marafiki wakubwa na hawapingani kwenye siasa zao.
ili Malisa kumshinda Bashe ilibidi uchaguzi urudiwe wa UVCCM na Malisa kuomba kura za wagombea wa Zainab Kawawa.
lakini kama kweli mnafuatilia siasa Seleli si mpiga vita ufisadi kuna kitu kakikosa kutoka kwa Lowassa hicho ndio chanzo cha yeye kuwa tofauti na Lowassa, hafanyi kwa maslahi ya watanzania bali kwa kukosa kitu fulani.Seleli kafanyiwa Mambo mengi na Lowassa ni sawa na rais Bakili Muluzi na Bingwa wa mutharika wa Malawi.
kuna wanasiasa kama kina John Guninita walipokosa kitu kwenye CCM wakaenda upinzani wakati mioyoni mwao kuna kitu walikosana.Mrema alipopata demotion ya uwaziri mkuu na kuona hana nafasi ya kuwa Rais kupitia CCM akawa mpinzani.SELELI si mpigania haki za watanzania bali analia na maslahi yake binafsi.
inawezekana hii kaileta mtu wake kama sio yeye kutafuta kinga jimboni mwake.kama alikaa Nzega kwa muda wote na kupata habari ya Bashe vipi hili lingine atupe sisi watu wa jf ambao hatuko Nzega?
Nakumbuka kwenye uchaguzi wa Waziri mkuu Pinda kulikuwa na mada hapa kutaja nani atakuwa waziri mkuu baada ya LOWASSA kujiuzulu yalikuja majina mengi hakuna hata aliyebahatisha kuwa ni Pinda hiyo inatosha kukufahamisha kuwa habari za hapa hazina vyanzo vizuri kwa asilimia 70 ulizodai.
kama unataka kujua nguzu zake waulize wanafunzi wa Mzumbe waliompa urais,waulize Uvccm hasa wale aliwashinda kwenye chaguzi mbali mbali watakuwa na jibu zuri.au wana Nzega ndio watakuwa na habari zake nyingi na sahihi.
tusimshutumu kwa usomali kuwa alitakiwa aape akiwa na miaka 18 jee baraka Obama alipofika miaka 18 aliapa? sababu baba yake ni mjaluo wa Kenya. wenzetu wa Marekani wamemchagua Mjaluo toka Africa bara lingine kabisa sisi tunahoji usomali?
Ndg uzuri wa JF ni huu watu huonyesha madhaifu yao mapema kwanza umekiri kuwa SIASA ZA TABORA UNAZIJUA KIASI,means uko shallow uelewa wako nimdogo kwa hili,nimefanya kazi kutaka kujua kuhusu huyu kijana ambae wewe umemuita Mpenda SIFA na huwa na mtu ili kufikia malengo yake,hapa umeonyesha uwezo wa BASHE kuwa anafahamu OBJECTIVE ZAKE NI ZIPI NA NAMNA GANI ANAWEZA KUZIFIKIA,kwahili ni sifa ya kiongozi anaefaaa haishangazi kuwa kwa sasa amembana selelii.
Ukiangalia mtoa hoja hajasema alimbana selelii 2005,bali anaongelea 2009,na ukiangalia takwimu ambazo mimi nimezipata kutoka CCM mkoa wa Tabora leo saa mbili na nusu asubuhi ni kwamba, 2005 alikuwa na kura 109,2007 huyu kijana aligombea nafasi y ujumbe wa mkutano mkuu wa CCM ambapo alipata kura 1784,pia kijana huyu aligombea nafasi ya Ujumbe wa halamshauri kuu ya CCM mkoa wa Tabora akapata kura 486 ktk mkutano mkuu wa mkoa kati ya kura 623.
Na ili kuweka kumbukumbu sawa sawa itakumbukwa kuwa kijana huyu ktk politics za mkoa wa Tabora 2007 alimuunga mkono Mwenyekiti wa CCM aliekuwa anaitwa Mzee NKUMBA wakati RA,SELELII,SITA,AZIZA,MAMA MCHEMBA,na wengine wakimuunga mkono Mwenyekiti wa sasa anaeitwa WAKASUVI alisimama kidete akabaki mwenyewe na matokeo yake MZEE NKUMBA ALISHINDWA KWA KURA 20.Bashe huyu kutokana na yaliyotokea TABORA WAKATI HUO UHUSIANO WA RA,SITA,SELELII,NSEKELA ukiwa bado imara waliona huyu kijana anataka kuwavuruga,na itakumbukwa kuwa katika uchaguzi wa NEC ambao SITA alikuwa ndie mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi JINA L BASHE LILIPOTEA NA KUTOTANGAZWA NA BAADA YA UKUMBI KUPIGA KELELE NA KUHOJI SITA AKASEMA NIMESAHAU JINA LA HUSSEIN BASHE NA AKATOA IDADI YA KURA AMBAZO ZILISABABISHA KELELE NA WATU KUJIULIZA KULIKONI JINA MOJA LIWELIMEPOETEA? na hii ni baada ya kijana huyu kusimama kidete katika uchaguzi wa wilaya huku akipimana ubavu na SELELII ALIPOWEKA MKE WAKE MKUBWA ANAEITWA MAMA IGOGO KUGOMBEA UENYEKITI WA WILAYA,HUKU BASHE AKIMUUNGA MKONO MZEE AMBAE ANAITWA MWALIMU SHIJA ALIEKUWA ANATUHUMIWA NA KINA SELELII KUWA NI MTU WA MALECELA HAKUWA MTANDAO 2005,BASHE ALIMSIMAMIA MZEE HUYU MATOKEO YAKE AKASHINDA BAADA YA UCHAGUZI KUVURUGIKA MARA MBILI.
Nilichfurahia hapa ni kuwa umekiri huna taarifa za kutosha kuhusiana na siasa za mkoa wa Tabora,pia nikufumbue macho 2008,MH SPIKA aliweka mgombea wake kwa ajili ya kiti cha UVCCM mkoa ambae ni katibu wa mbunge urambo mashariki anaitwa PAULO shija,Bashe nae kwa kuwa alikuwa anajiandaa kugombea UENYEKITI UVCCM alihakikisha anaweka mtu wake katika uchaguzi huo amabao PAULO SHIJA ALIKUWA ANASIMAMIWA NA SITA NA SELELII,wakati KAMOGA ALIKUWA ANASIMAMIWA NA BASHE ,mgombea ambae bashe alikuwa namuunga mkono alishinda na kumuangusha msaidizi wa spika ambae selelii alizunguka mkoa mzima kumpigia kampeni.
Mtoa mada hakutaka kujua abt 2005 or 2000,lakini nikukumbushe seleii 1995 alizidiwa kura na bwana aneitwa KATUGA jina lake likakatwa na NEC akarudishwa selelii na kufanya huyu bwana kujiunga na CUF,pia 2000 alishindwa na ABDALAH NASSOR,nae jina likakatwa na NEC akarudishwa selelii,na ukumbuke kuwa mara zote hizi amerudishwa kwa msaada wa RA pia 2005,alishinda baada ya RA kuhamia Nzega kumsaidia selelii nA KURA kupigwa usiku wa manane,na matokeo kutangazwa hata hivo JUMLA YA KURA WALIZOPATA WAGOMBEA ZIKAZIDI IDADI YA WAJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CCM WILAYA JAMBO LILILOLETA VURUGU LAKINI BASHE NI MGOMBEA PEKEE ALIEKUBALI MATOKEO NA HAPO SAFARI YA KUJIJENGA KISIASA IKAANZA.
KAMANDA MAO SE TUNG ALIWAHIKUSEMA NO DATA NO RIGHT TO SPEAK
NAOMBA KUWASILISHA.
...lakini nikukumbushe seleii 1995 alizidiwa kura na bwana aneitwa KATUGA jina lake likakatwa na NEC..