Ili iwe nini? Kwa kuwa makala zake zinasema ukweli juu ya unyama uliofanywa na wanachama wa CDM kwa DC-Igunga?
Acha ukweli usemwe......na hao wahuni wenu - I wish ningekuwa na mamlaka, ningewanyongelea mbali.
Ili iwe nini? Kwa kuwa makala zake zinasema ukweli juu ya unyama uliofanywa na wanachama wa CDM kwa DC-Igunga?
Acha ukweli usemwe......na hao wahuni wenu - I wish ningekuwa na mamlaka, ningewanyongelea mbali.
Ili iwe nini? Kwa kuwa makala zake zinasema ukweli juu ya unyama uliofanywa na wanachama wa CDM kwa DC-Igunga?
Acha ukweli usemwe......na hao wahuni wenu - I wish ningekuwa na mamlaka, ningewanyongelea mbali.
Nadhani watu makini hajadili hadhi ama personality: huwa wanajadili issues; ziwe zimetolewa na mtu wa kijiweni ama mtu mkubwa serikalini, tasnia ya Dini nk. Vinginevyo I,m afraid WE ARE Fanatics! na kuvumiliana na kuwa wepesi wa kusikiliza hoja kinzani ni uungwana na ukomavu wa kifikra.Sidhani kama huyo mwandishi ana hadhi ya kujadiliwa humu.
Ili iwe nini? Kwa kuwa makala zake zinasema ukweli juu ya unyama uliofanywa na wanachama wa CDM kwa DC-Igunga?
Acha ukweli usemwe......na hao wahuni wenu - I wish ningekuwa na mamlaka, ningewanyongelea mbali.
taratibu hapo kidogo mjomba....
Ndugu yangu kwanza kemea uhuni unaofanywa na CCM katika chaguzi zote ndipo tutakusikiliza.Taratibu itaanzia wapi Preta? Huu ni udhalilishwaji dhidi ya watu wa jinsia yako unaofanywa kwenye nchi ya kupigiwa mfano kwa amani na utulivu. Nilitarajia ungeniunga mkono katika kukemea huu uhuni.
Nadhani watu makini hajadili hadhi ama personality: huwa wanajadili issues; ziwe zimetolewa na mtu wa kijiweni ama mtu mkubwa serikalini, tasnia ya Dini nk. Vinginevyo I,m afraid WE ARE Fanatics! na kuvumiliana na kuwa wepesi wa kusikiliza hoja kinzani ni uungwana na ukomavu wa kifikra.
Hivi ndo yule alikuwa na Mhe.............jumamosi iliyopita pale Viva Villa Mbezi Beach na Lap top wakicheka na kuandika vitu kwenye lap top au namfananisha?