Kwa kweli there is no way useme kwamba Mungu alikuwepo tu since forever.., yaani alitokea tangu milele yote.., its impossible. ngoja nikwambie kwanini.
1.) assuming Mungu ali-exist since forever, na tunaipa forever a value T. Sasa niambie at time (T-1 second) alikuwepo..??!
2.) Na at time (T-1 second) palikuwa na nani.., je ndie aliyefanya uumbaji..?! na je yeye huyo aliekuwepo at time (T-1 Second) kaumbwa na nani na katokea wapi na kwa sababu gani na kwa faida gani na ya nani..??! na ili iweje..??!
3.) Na tukisema Mungu atakuwepo up to forever, na tukaipa hiyo forever a value F, je at time (F + 1 second atakuwa wapi)..??!
Ndugu,kwa kutumia akili ya kibinadamu na elimu ya kidunia,uko sahihi kuwaza hivyo.Ila sasa Mungu yuko tofauti,huwezi kumfikiria ama kumjadili kwa kutumia philosophy uliyofundishwa na maprofesa wako darasani au kwa kusoma vitabu walivyoandika.Elimu ya namna Mungu alivyo,sijui yukoyukoje-almradi chochote kinachomhusu yeye,anayo Yeye.Akili yako wewe ni sehemu ndogo sana ya ile aliyo nayo yeye. Hebu fikiria,Yeye Mungu anakuangalia wewe hapo ulipo(say, Mbezi beach,DSM),muda huo huo anafuatilia pia mwenendo wa mtu anayeitwa Tomomi aliyeko,say,Tokyo,Japan. Wakati wewe huna hata uwezo wa kumuona mtu uliyenaye nyumba moja katika vyumba tofauti.Acha. Tumia muda wako kufikiria mambo ya duniani. Yeye unajihangaisha tu. Ndo maana kuna maandiko matakatifu yameandikwa mahali hivi: siku ile ya Bwana,tutamjua. Subiri. Anyway, nakusifu,unaushughulisha ubongo wako.
cna chakusema zaid ya kukuombea kwa mwenyez MUNGU akusamehe ndg yng yan hata aumuigopi MUUMBA WAKO kwl unataka kumjadili umepotoka ndg yng toka kwenye geza n ufate nuru
Kwa kweli there is no way useme kwamba Mungu alikuwepo tu since forever.., yaani alitokea tangu milele yote.., its impossible. ngoja nikwambie kwanini.
1.) assuming Mungu ali-exist since forever, na tunaipa forever a value T. Sasa niambie at time (T-1 second) alikuwepo..??!
2.) Na at time (T-1 second) palikuwa na nani.., je ndie aliyefanya uumbaji..?! na je yeye huyo aliekuwepo at time (T-1 Second) kaumbwa na nani na katokea wapi na kwa sababu gani na kwa faida gani na ya nani..??! na ili iweje..??!
3.) Na tukisema Mungu atakuwepo up to forever, na tukaipa hiyo forever a value F, je at time (F + 1 second atakuwa wapi)..??!
Navojua wa Roman from wanaweza kujua maana ltk sala ya Maria inasema....mama maria mama wa mungu......so lazima bikra maria ambae ndo kamzaa mungu kwa mujib wa roman catholic anajua mwanae ana umri gani ambae ndio mungu;
Linakwenda kwa maana ya kumulika sio kutembea
cna chakusema zaid ya kukuombea kwa mwenyez MUNGU akusamehe ndg yng yan hata aumuigopi MUUMBA WAKO kwl unataka kumjadili umepotoka ndg yng toka kwenye geza n ufate nuru
Haiingii akilini kabisa. time is real and its here. anything real must adhere to reality such as time.., unless God isn't real.., is it..?!
Haiingii akilini kabisa. time is real and its here. anything real must adhere to reality such as time.., unless God isn't real.., is it..?!
Kwenda ni kumulika?Linakwenda kwa maana ya kumulika sio kutembea
Well, kaa Mungu anajua yatakayojiri kesho basi binadamu hana free will, yani huwezi kuchagua na kuamua nini la kufanya kumfurahisha Mungu au kutenda dhambi au kusali kuepushwa na ajali. Imeshapangwa hivyo.He knows yesterday, today and tomorrow
Well, kaa Mungu anajua yatakayojiri kesho basi binadamu hana free will, yani huwezi kuchagua na kuamua nini la kufanya kumfurahisha Mungu au kutenda dhambi au kusali kuepushwa na ajali. Imeshapangwa hivyo.
Which means, kama huna free will, then huna dhambi yeyote maishani, ulichofanya kibaya, ama chema, hujaamua wewe kwa ridhaa yako.
Which means hakuna dhambi na adhabu and hell and heaven! Yote yanakuwa ni hadithi za abunuasi.
Kwa kweli there is no way useme kwamba Mungu alikuwepo tu since forever.., yaani alitokea tangu milele yote.., its impossible. ngoja nikwambie kwanini.
1.) assuming Mungu ali-exist since forever, na tunaipa forever a value T. Sasa niambie at time (T-1 second) alikuwepo..??!
2.) Na at time (T-1 second) palikuwa na nani.., je ndie aliyefanya uumbaji..?! na je yeye huyo aliekuwepo at time (T-1 Second) kaumbwa na nani na katokea wapi na kwa sababu gani na kwa faida gani na ya nani..??! na ili iweje..??!
3.) Na tukisema Mungu atakuwepo up to forever, na tukaipa hiyo forever a value F, je at time (F + 1 second atakuwa wapi)..??!