Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 64
MTUMENi nzi awaletee mafaili ya mwandiSHI
4. Issa Shivji he gets a mention for nostalgic and
sentimental reasons. In this post-ideology messy
situation, the aging ideologue has become irrelevant
as an intellectual and pundit except when Absalom
Kibanda and Sakina Dattoo want to fill up columns.
Prof., the workers of the world have figured out that
the Juche Idea is a sham, and they have now resorted
to radical evangelicism and Rwakatare's "prosperity
gospel" to see the end of the tunnel.
..Prof.Issa Shivji aliteuliwa na Raisi Mwinyi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tanzania Breweries[TBL].
..Kazi yake ya kwanza kama Mwenyekiti wa Bodi ilikuwa kuchunguza kashfa ya ubadhirifu iliyowahusisha Mameneja waandamizi wa TBL wakati huo.
..Sifahamu uchunguzi wake uliishia wapi, lakini Prof haku-serve term nzima kama Chairman wa TBL.
..Prof.Shivji abakie hukohuko UDSM akibishana na wasomi wenzake. Siasa na Itikadi zake zimepitwa na wakati, haziko-applicable uraiani.
Hivi wewe kwa akili yako unaamini kuwa wasomi tunao pale UDSM? Ushasahau walivyooandamana kuinga mkono CCM?
Hivi unajua hapa unazungumzia higher education institute ambayo wanafunzi wake wanashindwa hata kuorganise open lectures kujadili mambo mbali mbali
Alivyofanya Ben sawa sawa mnataka kuwa competitive katika dunia ya leo halafu kujieleza kwa kiingereza hatuwezi!
Ukitaka kujua kama UDSM hamna kitu tazama walipotimuliwa walikimbilia wapi?
walikuja JF kuomba msaada...what a bunch of twats they are! hivi walishindwa vipi kuwa na blogs au forums ambazo wangeweka kuweka bayana issues zao?
lakini ndio hivyo tena ndio watawala wetu wa kesho hao
There is one thing we should have done and we havent. That was to ask Mzalendo where he got the document from. Where the hell did he get his quote from?
We want to know who wrote the article. A good place to start would be to find out where Mzalendo picked it up from. If we work backwards long enough, we are bound to eventually hit on the guy (with a language like that it must be a guy, surely!) who wielded the pen!
Mzalendo: you cant just dump this thing here and then take a powder; or can you?
Kweli Kwani Mzee Kwa Lugha Mzuri Kwani Kuna Vionjo Vya Mkapa Pale, Wewe Kaa Naye Kalibu Utaona.:dhuu Uandishi Ni Wa Benjamini Mkapa. Nahisi Wakati Anaandika Hii Tabloid, Alikuwa Na Glasi Ya Whisky Kwa Pembeni:d
clue siyo nani aliandika, but whose idea is it? Lakini maswali haya mawili yanaendana yaani aliyeandika na mwenye idea ni watu wa karibu sana.
Aliyeandika:
a. Ni mtanzania
b. Ni mwandishi of sort (sidhani kama amesomea uandishi)
c. Ameishi Marekani au kusoma Marekani
d. Yuko karibu na serikali na ndani ya CCM
e. Anaongozwa na kisasi cha "orodha ya mafisadi".
Mwenye idea.
- Ni mwanasiasa
- Anatajwa katika hiyo piece
- Anatajwa katika more positive light then anybother member
- Anajua nafasi yake katika siasa za Tanzania
- Hajakubali kushindwa na ana uwezo wa kumuajiri na kumlipa aliyeandika.
7. Rostam Aziz – the prince of high finance is fighting for his political life and credibility as an honest businessman. Knives are thrown from every side and some are drawing blood. Although even his opponents would acknowledge his sharp mind and deep pockets, this time the lions are hungry and the den is shrinking. Mr. Aziz has dealt with and has compromised almost every conceivable creature who matters in the political scene in the land, including his current nemeses. And that is his edge. He bankrolled Sitta's election to the Assembly and oversaw his triumph as Speaker against the genial old Pius Msekwa but now Sitta has made him enemy number one and he has made Sitta enemy number one. Politics!
Huyu mwandishi kama si fisadi basi ni mwandani wa mafisadi. Soma alivyomwandika RA, huo kamwe hauwezi kuwa wasifa wake.