Which is the most expensive place in tanzania?

Which is the most expensive place in tanzania?

Selous wandugu ndio ghali kuliko kote huko! Kwanza hakuna guest house, hotel zote ni mwendo wa dola, na lazima ulipe kwa package! Petroli buku3 kwa lita, usafiri wa public ni gari Moja tu, ukitaka kwenda makao makuu ya mkoa, incase una shida ya ki utawala unahitaji utembee mwendo wa masaa kadhaa hadi ufike moro, then ndio utafute mwendo mwingine hadi Kibaha! Or uzunguke hadi kibiti, then mkuranga, then dar, ndio ufike kibaha! Cement sh elf 27 mfuko mmoja! Mvua ikinyesha ndio mnakula samaki tu, hakuna barabara itakayo pitika kuleta bidhaa huku! Mnaongelea ughali wa pesa tu, huku kwetu hakuna dala dala, kutembea kilomita 30 kwa miguu kumfuata mshkaji wako kumdai buku ni kitu cha kawaida saana hapa! Tunashangaa huko mnapiga kelele madaktari kugoma siku 2, huku hatujawahi kukaa na dr hata kwa wiki 1, wakipangiwa wanakuja na kugeuka siku hiyo hiyo! Huku kutemebea mwisho saa 1 jioni, zaidi ya hapo simba, tembo kifaru, wote halali yako! Huku tuna mito lakini kuogelea kula maisha beach tunakusikia tu kwani Ngwena(Mamba)(ukija huku usiite mamba ni mwiko) wametanda pembe zote! Jamani haya ni maisha rahisi? Au nyinyi ughali mnauangalia kwa kulipa pesa tu?
 
Arusha jombaa,mfano mdogo tu ni chapati kwa mama ntilieni shs400,housing ndio usiseme bei zake za kodo,nahisi hii imechangiwa na mzunguko mzuri wa pesa na uwepo wa taasisi mbali mbali za kimataifa na ujio wa watalii mara kwa mara!! Kama hujawahi fika karibu au ulizia tu!!
Yes Arusha.
I know the place becouse I worked there in past 4 yrs ago,every thing was higher higher higher!!!!!
 
Arachuga.

Hii kitu watu wamekariri!!!ar si expensive kama dar kwa kuzingatia yafuatayo!!!!kodi ya nyumba karibu na town arusha ni rahisi kucompare na dar!vyakula ar ni rahisi tena masoko muhimu yapo town!!!hotel kali arusha cheap,taxi cheap kwakuwa eneo dogo na sehemu za starehe chache sana,madem arusha wazuri na cheap kuwapata!hawana gharama kama madem wa dar!!!
 
Nmetembea mikoa mingi almost Tanzania nzima but Arusha mwisho wa matatizo! Usinikumbushe Arachuga kabsa
 
Yap ni arusha ila wakati mwingine u ghali wake unatokana na ulimbukeni wa wenyeji mama mmoja nilipanda naye hiace akitoka soko kuu kuelekea kwa msola anakofanya biashara ya matunda anasema huwa anapata faida ya 150%kwa kila tunda moja, sasa huu ni wa kujitakia kwa nini mtu asitafute reasonable cost, nimukumbukia enzi za wana appolo walikuwa wakinunua kitu kutokana na ughali wake na siyo ubora wake.arusha bwana ntarudi tena
 
Yap ni arusha ila wakati mwingine u ghali wake unatokana na ulimbukeni wa wenyeji mama mmoja nilipanda naye hiace akitoka soko kuu kuelekea kwa msola anakofanya biashara ya matunda anasema huwa anapata faida ya 150%kwa kila tunda moja, sasa huu ni wa kujitakia kwa nini mtu asitafute reasonable cost, nimukumbukia enzi za wana appolo walikuwa wakinunua kitu kutokana na ughali wake na siyo ubora wake.arusha bwana ntarudi tena

njoo mwaya....land of tanzanite(japo siku hizi tunasikia tu) Arusha is a place to stay....hakuna kama Chuga....ukija na $5 unaondoka na $500,000...usiniulize kivipi....
 
Back
Top Bottom