hee mazee, mambo ni vipi?
Tell me nina kajiofisi kangu kadogo,i mean kaduka.nina register ya yenye orodha ya bidhaa zangu zote zilizopo.na mwisho wa siku kupitia kitabu changu cha risiti naanza kutoa nilivyouza kwenye stock yangu.pia nitajumlisha kujua jumla ya mauzo yangu,jumla ya madeni yatokanayo na mauzo yangu ya siku,na kiasi cha fedha taslimu.kwa kufanya hivi naweza kujua jumla ya mauzo yangu ya mwezi mzima,jumla ya madeni kwa mwezi mzima.jumla ya muzo yangu ya mwezi mzima,na jumla ya fedha taslimu kwa mwezi mzima pia.
but huu ni utaritibu mgumu na unachosha.je wadau hakuna njia ingine ya kisayansi na kitechnolojia inayoweza kutumika kurahisisha hii,especially kwa kutumia computer progammes au vinginevyo?
Tell me nina kajiofisi kangu kadogo,i mean kaduka.nina register ya yenye orodha ya bidhaa zangu zote zilizopo.na mwisho wa siku kupitia kitabu changu cha risiti naanza kutoa nilivyouza kwenye stock yangu.pia nitajumlisha kujua jumla ya mauzo yangu,jumla ya madeni yatokanayo na mauzo yangu ya siku,na kiasi cha fedha taslimu.kwa kufanya hivi naweza kujua jumla ya mauzo yangu ya mwezi mzima,jumla ya madeni kwa mwezi mzima.jumla ya muzo yangu ya mwezi mzima,na jumla ya fedha taslimu kwa mwezi mzima pia.
but huu ni utaritibu mgumu na unachosha.je wadau hakuna njia ingine ya kisayansi na kitechnolojia inayoweza kutumika kurahisisha hii,especially kwa kutumia computer progammes au vinginevyo?