which is the easiest way of keeping daily sales?

htolerate

New Member
Aug 28, 2010
4
0
hee mazee, mambo ni vipi?
Tell me nina kajiofisi kangu kadogo,i mean kaduka.nina register ya yenye orodha ya bidhaa zangu zote zilizopo.na mwisho wa siku kupitia kitabu changu cha risiti naanza kutoa nilivyouza kwenye stock yangu.pia nitajumlisha kujua jumla ya mauzo yangu,jumla ya madeni yatokanayo na mauzo yangu ya siku,na kiasi cha fedha taslimu.kwa kufanya hivi naweza kujua jumla ya mauzo yangu ya mwezi mzima,jumla ya madeni kwa mwezi mzima.jumla ya muzo yangu ya mwezi mzima,na jumla ya fedha taslimu kwa mwezi mzima pia.
but huu ni utaritibu mgumu na unachosha.je wadau hakuna njia ingine ya kisayansi na kitechnolojia inayoweza kutumika kurahisisha hii,especially kwa kutumia computer progammes au vinginevyo?
 
hee mazee, mambo ni vipi?
Tell me nina kajiofisi kangu kadogo,i mean kaduka.nina register ya yenye orodha ya bidhaa zangu zote zilizopo.na mwisho wa siku kupitia kitabu changu cha risiti naanza kutoa nilivyouza kwenye stock yangu.pia nitajumlisha kujua jumla ya mauzo yangu,jumla ya madeni yatokanayo na mauzo yangu ya siku,na kiasi cha fedha taslimu.kwa kufanya hivi naweza kujua jumla ya mauzo yangu ya mwezi mzima,jumla ya madeni kwa mwezi mzima.jumla ya muzo yangu ya mwezi mzima,na jumla ya fedha taslimu kwa mwezi mzima pia.
but huu ni utaritibu mgumu na unachosha.je wadau hakuna njia ingine ya kisayansi na kitechnolojia inayoweza kutumika kurahisisha hii,especially kwa kutumia computer progammes au vinginevyo?
swali zuri sana....tuwasubiri wataalam watakuja tu
 
Unatumia Excel?This is the basic program ninayojua. Unaweza kutengeneza kitu kinaitwa a dynamic spreadsheet. Hii inarahisisha kazi maana kitu unachohitaji kufanya ni kubadilisha raw data tu. The rest of the spreadsheet inakuwa ni formula dependant tu. Hivyo unapodabilisha raw data, itabadilisha kila kitu kuendana na data mpya. Tatizo ni inachukua muda ku-set up na pia unahitaji kujua formulas za excel. But its simply magic na nasikia accountants wengi wanatumia hii njia katika mahesabu yao.
 
Unatumia Excel?This is the basic program ninayojua. Unaweza kutengeneza kitu kinaitwa a dynamic spreadsheet. Hii inarahisisha kazi maana kitu unachohitaji kufanya ni kubadilisha raw data tu. The rest of the spreadsheet inakuwa ni formula dependant tu. Hivyo unapodabilisha raw data, itabadilisha kila kitu kuendana na data mpya. Tatizo ni inachukua muda ku-set up na pia unahitaji kujua formulas za excel. But its simply magic na nasikia accountants wengi wanatumia hii njia katika mahesabu yao.

MKUU WHAT IF HIYO COMPUTER HANA PLUS THAT EXCEL...HII MADA KAITUMA KUPITIA MGAHAWA WA INTANET...si unajuwa watanzania 13% ndio tunayo access ya umeme nadhani 1% ndio tunayo access ya computer ...achilia mbali 0.1% access ya intanet....PATAMU HAPO
 
Ugumu uko wapi? kujumlisha mauzo ya siku au? hata kama utatumia computer bado itakubidi uingize hizo data unless uwe na mashine yenye ku-scan price-tag kwenye bar code na kuingiza data moja kwa moja kwenye computer.
 
Ahsante kwa swali zuri.
Kwa kurahisisha swala lako,usitumie excel.Hii excel ni sawa na manual work au kutumia BIC(pen).
Unachotakiwa ni kuwa na stock database,barcode scanning til.Kila bidhaa duniani inabarcode ukitoa mihogo na viazi ila unaweza kuvipaki kwenye mifuko na kuzibandikia barcode numbers.Hii itakuwezesha kujua stock yako bila kupoteza
muda kwa kuhesabu kila siku.Hivi vyote ni bei rahisi na vipatikana hapa hapa Tanzania.
Kama biashara yako nikubwa basi instal order software,ambayo ita suggest nikiasi gani ulete bidhaa fulani,
km ni kiasi kwa wiki au mwezi inategemea na business projection yako.

Thank you.
 
Asante kwa wote mliochangia ktk suala hili.Mimi ninakuomba uwasiliane na huyu jamaa atakusaidia sana ktk suala lako hilo, Tel:0718431991 Yeye ni mtaalamu aliyebobea ktk utengenezaji wa programu za kusimamia mfumo wa kumbukumbu za kibiashara.asante
 
yooo mazee,
thanks a lot for ur advice bwaana.me ntamcheck mjomba,
all the best mazee.hope mambo yapo ndani ya umiliki.
 
Ahsante kwa swali zuri.
Kwa kurahisisha swala lako,usitumie excel.Hii excel ni sawa na manual work au kutumia BIC(pen).
Unachotakiwa ni kuwa na stock database,barcode scanning til.Kila bidhaa duniani inabarcode ukitoa mihogo na viazi ila unaweza kuvipaki kwenye mifuko na kuzibandikia barcode numbers.Hii itakuwezesha kujua stock yako bila kupoteza
muda kwa kuhesabu kila siku.Hivi vyote ni bei rahisi na vipatikana hapa hapa Tanzania.
Kama biashara yako nikubwa basi instal order software,ambayo ita suggest nikiasi gani ulete bidhaa fulani,
km ni kiasi kwa wiki au mwezi inategemea na business projection yako.

Thank you.

Thanks wewe ni mkali ebu tuelezee kwa kina hizo barcode numbers zikoje?
 
Ahsante kwa swali zuri.
Kwa kurahisisha swala lako,usitumie excel.Hii excel ni sawa na manual work au kutumia BIC(pen).
Unachotakiwa ni kuwa na stock database,barcode scanning til.Kila bidhaa duniani inabarcode ukitoa mihogo na viazi ila unaweza kuvipaki kwenye mifuko na kuzibandikia barcode numbers.Hii itakuwezesha kujua stock yako bila kupoteza
muda kwa kuhesabu kila siku.Hivi vyote ni bei rahisi na vipatikana hapa hapa Tanzania.
Kama biashara yako nikubwa basi instal order software,ambayo ita suggest nikiasi gani ulete bidhaa fulani,
km ni kiasi kwa wiki au mwezi inategemea na business projection yako.

Thank you.

mkuu inaelekea huwahi tumia excel...bali unaichezea tu. Hiyo ya ku-scan barcodes sawa. Lakini kwa vingine...inakufanyia shughuli tosha!
 
Back
Top Bottom