which 1 is real

which 1 is real

englibertm

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2009
Posts
9,252
Reaction score
6,209
179425_529292433779186_869692848_n.jpg
 
Mungu atawalaani matajiri wanaowapokonya maskini kidogo walicho nacho!!
 
Ndio mambo ya dunia hii, ukiwa maskini hata chako kidogo huchukuliwa na tajiri. Naturally pamoja na bahari kuwa na maji mengi mito yote hutiririkia baharini. Ukiwa masikini ukiwa na ng'ombe jike wa kwako atazaa midume tu wakati wa tajiri aliye jirani nawe anazaa majike!
 
kawaida matajir hunyonya maskin. wapo matajir wachache wenye huruma ila wengi n kama hyo picha its show real lyf
 
Thats Life... take care of your stuff budy!
 
Back
Top Bottom