When Kasie is Deeply and Madly in Love ๐Ÿฅฐ

When Kasie is Deeply and Madly in Love ๐Ÿฅฐ

Hahaha wabich wa sasaiv wasumbuf kwel bora wazee

Acha uvivu, sasa hawa waschana vijana nani atawakaza hadi watulie.

Wazee shurti wakaze wazee wenzao.....
Mambo ya bakulutu, taratibuu bila jasho wala kuumizana na utamu palepale ๐Ÿ˜…
 
Ooh Casanoovaaaa.....

Me and Romeo and Sarah and James......

Aahahahahahaa yaani hii wiki looh...!!

Ningekuwa nimeipuliza ningesema inanipelekesha kichwani Ila waaalaaahh...

Ni vile nimemengโ€™enywa kama mpiga gitaa anavyolihimili gitaa lake kiunoni au tumboni au magotini (akiwa amekaa) na kutoa miito inayofanya macho yarembuke, midomo na mashavu yatabasamu na kulegea kama mlenda.

Keeuuwiiiiiii mahaba hayaaa, hadi nahisi sukari imepitiliza mwilini kwa utamu ninaoupata.....

Si mara zote utanikuta jikoni nakorofisha, ila nikiguswa penyewe.....

Ni shaaaaah, utamu kunoga sukari, kitu na meza, chumvi kwa mbalii, ndimu kwa mbalii .

Najua wajuzi wa mapishi wako wengi, ila vile nikipika huku nimegibikwa na mahaba.....

Matokeo ya mapishi nayasikilizia uwanjani

View attachment 1708725

Biso na biso diko la diko

View attachment 1708724

Walau mshibe kwa picha .

Ila nimengโ€™atwaje vidolee, pamoja na kuweka umma na kisu Ila mtu kataka kulishwa na mkono.....

Watu wanajua kudeekaaaa....!

Mahaba Matata .
I love you
 
Anahitaji maombi na upako huyu Kasie ni shiida ๐Ÿ™‚

Tuombe koona ikimbie TZ upako wa afya tele na furaha kwa wananchi uwe pomoni na wote tuishi kama peponi aka tuwe matajiri.

Maombi yako mengi sana, why kuombea Mahaba jamani wakati ndo burudiko la wanaume....!

Au mmesahau kuwa maua ndo asili ya asali...???!
Ona sasa nyuki wanavohaha kila ua wanataka kulichavuga....๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Maua mengine yanathumu ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿƒ๐Ÿฝโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฝโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฝโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฝโ€โ™€๏ธ
 
Bibi kipendhii ulipotelea wapi?
Mahaba ktk ubora wake.

Mie tenaaa....

Kila leo nna pishi jipya la mchele....๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹

Michele yote inapepetwa kuanzia mdundiko, kitumbo, wa Mbeya, basmati hadi VIP.....

Zege halilali....๐Ÿ˜œ
 
Baby wako wa leo kwa pishi ilo ni mhogo au bamia๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…


Aaahahhahahahaaaa

Mahabuba wangu keshacheua saa hizi anachokoa vinasa meno kisha asukutue tukalale.....

Siri ya kata aijuaye mtungi...

Ukitaka uhondo wa ngoma...... uingie ucheze.
 
๐Ÿ–•

Right back at you....!!

A million times American budget...

*** you....

๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

Nyakoonyakoonyakooooo

Nyakoonyakooo konyaaaaaaaa....๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
๐Ÿ–•๐Ÿ–•๐Ÿ–•

Three little hands (hands job) with humping finger up up up ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

Manangumene nkunyoleeeee...!??
 
Back
Top Bottom