Nadhani sasa tukubaliane kwamba JF imekuwa chanzo kikuu cha taarifa tunazipata kabla ya wananchi wengi na vyombo vingi kutangaza au kuandika ,Bravo JF members.mods and owners
Mkuu Kitila Mkumbo, kiukweli jf inaheshimika sana tuu. Kuna issue niliwahi kuipost humu jf, kesho yake ikashushwa front page ya gazeti fulani "para material" bila kubadili kitu!.
Naamini ni kufuatia hii reputation jf ni very reliable sorce of info kuhusu TZ.
Ukiaminiwa, jiaminishe, as jf members tuna jukumu la kui maitain hii reputation kwa kumaitain truthfulness, objectivity, impartiality na balancing kwenye issues tunazoshusha humu jf.
Nadhani sasa tukubaliane kwamba JF imekuwa chanzo kikuu cha taarifa tunazipata kabla ya wananchi wengi na vyombo vingi kutangaza au kuandika ,Bravo JF members.mods and owners
unakumbuka ile kesi aliyoleta mtambuzi ... ilisomwa clouds! bila kutaja source.. glad kesho yake walipoendelea walitaja sorce ni wapi na wakamtaja jina!
Tumetoka mbali na Jambo Forums mpaka sasa jamii forums!...
Ukiaminiwa, jiaminishe, as jf members tuna jukumu la kui maitain hii reputation kwa kumaitain truthfulness, objectivity, impartiality na balancing kwenye issues tunazoshusha humu jf.
The ideas of great thinkers never dies.JF ni media ya wasomi.Najivunia kuwa member wa JF,na nafurahi mada nazo wakilisha zinapo changiwa,iwe negative au positive.Napendelea sana Negative comments maana ndo zinanikomaza in reasoning and argumentation.
Dawa yake ni kupiga chata la JF kwenye hizi picha zinazokuwa uploaded via JF. Otherwise waandishi wetu watazidi kuwa wavivu wa kutafuta habari wakitegemea uchambizi wa kina na kuunganisha dot za comments za JF.