Kitabu hiki kimewaacha uchi mabeberu na mipango yao ya kuzikamua nchi masikini hasa za Asia na South America
Miradi mingi tunayoletewa hasa ya umeme na nishati ni majanga
Kiongozi atakayeonyesha uzalendo wa kulinda rasilimali za nchi yake(KIUKWELI SIO KISANII) anashughulikiwa kwa kuchochea uasi dhidi yake au hata kupandikiziwa magonjwa ikiwemo kansa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.