Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,359
Na Vipi Kuhusu Mashoga? wao ndo wanakiendeleza Kizazi???
wewe unaonaje?
Na Vipi Kuhusu Mashoga? wao ndo wanakiendeleza Kizazi???
wewe unaonaje?
Wote Ubaya Tu!
Nadhani kizazi kitakachofuata kitakuwa cha watu wa jinsia moja tu kuoana hakuna cha mke na Mme! Eti?
hehehehe!............(...)sawa sawa, sasa kama unajua kwanini uliniuliza mimi?
sawa sawa, sasa kama unajua kwanini uliniuliza mimi?
ama! wamjibu hivyo mtumwa wa kuhani mkuu!
ama! wamjibu hivyo mtumwa wa kuhani mkuu!
sikujua mpwa kumbe ni mtu mzito hivyo?
Stuka mpwa!
Natuma PM ku apolojaizi, na nyie mkaniacha tu natumbukia shimoni.
sikujua mpwa kumbe ni mtu mzito hivyo?
Stuka mpwa!
Natuma PM ku apolojaizi, na nyie mkaniacha tu natumbukia shimoni.
Ha ha ha ha, sio kwamba unalia ili akuonee huruma?
OMG nilifikiri itakufunza usibanie mzee kumbe ndiouinakufungua macho? mh tumekwisha....Kaizer kazi unayo.
OMG nilifikiri itakufunza usibanie mzee kumbe ndiouinakufungua macho? mh tumekwisha....Kaizer kazi unayo.
Hahaha! Kwa mpwa Kaizer hapo nyamayao ni kama anajidangaya! Yule mtu ni mbunifu bana!
Na ndo dawa hiyo...ukiona out hutolewi kula biti. Utamuona mwenyewe huyooooo.huo pia ni ubunifu kwa upande wake lakini kama mnavojua hakishindwagi kitu hapo,,, tena kwa mazingira hayo nadhani unajihisi upo on top of the world, inweza kuwa njia ya kuhuisha penzi la zamani lol! Manake unakula kwa uchungu kweli
Na ndo dawa hiyo...ukiona out hutolewi kula biti. Utamuona mwenyewe huyooooo.