Whatssap kwa computer sasa bila bluestack

Technology wanayotumia ni kama ya airdroid ambapo una install airdroid afu una connect kwenye web.airdroid.com voila! You can sms, view files manage contacts and much more bila kugusa simu... Watu wabaya...
 
Mbona hili lilikuwaga swala la zamani sana....

Wenyewe wenye nayo wanakwambia wame-Introduce their new desktop app halafu wewe mtumiaji unatuambia ilikuwepo zamani sana.

Unaweza kufafanua mkuu?
 
Mbona mimi toka mwishoni mwa 2014 natumia whatsapp desktop bila bluestack bila hiyo Facebook!

Unaonesha habari za teknolojia ya mtandao zimekupiga chenga kali sana.
 
Hapana si kipya, labda kwako kipya. Mimi natumia zaidi ya mwaka sasa.

Ila wenyewe wanadai wame-Introduce their new desktop app. Inakuwaje wahusika waseme mpya wewe useme ya zamani? Ndo sielewi hapo.

Huwa natumia BBM sijawahi kuwa interested na WhatsApp. Nipeni darasa.
 
Ila wenyewe wanadai wame-Introduce their new desktop app. Inakuwaje wahusika waseme mpya wewe useme ya zamani? Ndo sielewi hapo.

Huwa natumia BBM sijawahi kuwa interested na WhatsApp. Nipeni darasa.

Labda wali release trial version na sasa ndiyo wameamua ku i introduce officially or any other reason. Mimi ninaitumia siku nyingi sana lakini kumbuka version nnayoitumia mimi ni mpaka simu yangu iwe connected na computer via WiFi. Sasa hii mpya labda ipo vingine. Who knows?
 
Wenyewe wenye nayo wanakwambia wame-Introduce their new desktop app halafu wewe mtumiaji unatuambia ilikuwepo zamani sana.

Unaweza kufafanua mkuu?
Nimezungumzia hapo juu kuwa mleta mada kakosea kwenye maelezo yake wkt wa ku translate, wenyewe wameandika app kwa maana ya application ila yeye mleta mada kwenye post nzima hajaweka neno app, badala yake ameweka whatsapp web kitu ambacho kipo mda mrefu sana. Walichofanya sasa ni kutengeneza application ambayo itakuwa installed badala ya kutumia web browser
 
Ila wenyewe wanadai wame-Introduce their new desktop app. Inakuwaje wahusika waseme mpya wewe useme ya zamani? Ndo sielewi hapo.

Huwa natumia BBM sijawahi kuwa interested na WhatsApp. Nipeni darasa.
Hadi leo umeganda na BBM, wengine hadi tumesahau hiyo kitu kutokana na mapinduzi ya Android.
 
Labda wali release trial version na sasa ndiyo wameamua ku i introduce officially or any other reason. Mimi ninaitumia siku nyingi sana lakini kumbuka version nnayoitumia mimi ni mpaka simu yangu iwe connected na computer via WiFi. Sasa hii mpya labda ipo vingine. Who knows?
Wewe ulikuwa unatumia WhatsApp web, hii walio introduce sasa hivi huitaji kufungua browser bali desktop app na inafanya kazi kama WhatsApp web ila imeboreshwa zaidi kwani unaweza kutuma docs na video as attachment.
 
Hadi leo umeganda na BBM, wengine hadi tumesahau hiyo kitu kutokana na mapinduzi ya Android.

Wazungu wanahalalisha matumizi ya tiGo.

Kwa muktadha wako, baada ya miaka kumi wakijaa huko utahamia kwenye hayo mapinduzi?
 
Wazungu wanahalalisha matumizi ya tiGo.

Kwa muktadha wako, baada ya miaka kumi wakijaa huko utahamia kwenye hayo mapinduzi?
Unamaanisha nini wakijaa? Hata sasa kuna app nyingi za instant message kama imo, Viber, telegram na nyinginezo lakini mbona hatujauliza kwanini hatuhamii huko? It's all about convenience
 
Unamaanisha nini wakijaa? Hata sasa kuna app nyingi za instant message kama imo, Viber, telegram na nyinginezo lakini mbona hatujauliza kwanini hatuhamii huko? It's all about convenience

Mimi hiyo WhatsApp haijanishawishi mkuu. BBM ina kila kitu ninachokihitaji.

Maisha ni kuchagua. Mimi nilichagua BBM.
 
Mimi hiyo WhatsApp haijanishawishi mkuu. BBM ina kila kitu ninachokihitaji.

Maisha ni kuchagua. Mimi nilichagua BBM.
Kila la kheri, ngoja wadadisi tuendelee kufanya exploration
 
Nakubali kwamba hii ni app mpya, na haitumii browser. LAKINI.... Functionality ni ileile ya whatsapp web. Ni lazima kuscan qr code na ni lazima simu yako iwe online pia.

Soma hapa vizuri " . Like WhatsApp Web, our desktop app is simply an extension of your phone: the app mirrors conversations and messages from your mobile device. "
 
Nakubali kwamba hii ni app mpya, na haitumii browser. LAKINI.... Functionality ni ileile ya whatsapp web. Ni lazima kuscan qr code na ni lazima simu yako iwe online pia.

Soma hapa vizuri " . Like WhatsApp Web, our desktop app is simply an extension of your phone: the app mirrors conversations and messages from your mobile device. "
Na hapa ndio ambapo sijaona msaada wowote wa app yao
 
Msitoane mishipa, whatsapp ktk pc ilikua i apatikana kupitia browser ila kilichofanuika sasa ni kui stall apps ya whatsapp ya pc yani pc software ya whatsapp na inapiga kazi kua zia win8 na kuendwlea na kwa os ni kua zia ios 10 nakuendelea
 
Back
Top Bottom