JMF
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 1,782
- 2,843
Hao WhatsApp mbuzi kweli. Juzi tuu nilikuwa natumia nokia S40 wakasitisha huduma kwa simu hizo. Nikahamia android na sasa wanataka kusitisha android 2.2. Laiti kama apps nyingine nao wangefanya hivyo basi tungekoma kubadili simu kila siku ili kukidhi matakwa yao.