Whatsapp,Twitter,Facebook bure!, na JF je?

Whatsapp,Twitter,Facebook bure!, na JF je?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
40,522
Reaction score
46,606
Kuna watu wengine ni wapuuzi sana.., yaani wanaweka WTF ndio iwe bure lakini kwa akili zao fupi hawaoni kabisa haja ya kukipa kitu cha nyumbani JF nacho kiwe bure walau kuonyesha Uzalendo kwa bidhaa hii adhimu ya JF..,tena ya kwetu sio ya kuletewa kama hiyo what the ----kweli hawa watu!. JF iwe bure vinginevyo nagoma tena!
 
Ndugu yangu bora iwe hivyo hivyo, wakiweka JF bure tutapata vichwa vya kila aina humu kutokea kule facebook na kuwa Jamii Book na siyo JF tena. Na huenda wenyeji wote wakakimnbia humu.
 
Tena kama vipi iwe ya kulipia kifurushi kila mwezi 30,000/= ili tusiwajazie server humu.
 
Ungejua wanafanya hivyo kwa malengo gani, ungekuwa na haki ya kusema ni wapuuzi.
 
Kuna watu wengine ni wapuuzi sana.., yaani wanaweka WTF ndio iwe bure lakini kwa akili zao fupi hawaoni kabisa haja ya kukipa kitu cha nyumbani JF nacho kiwe bure walau kuonyesha Uzalendo kwa bidhaa hii adhimu ya JF..,tena ya kwetu sio ya kuletewa kama hiyo what the ----kweli hawa watu!. JF iwe bure vinginevyo nagoma tena!
Uzalendo wa bidhaa za nyumbani..! Kati ya hayo makampuni yanayotoa huduma hizo (tigo, airtel, voda, zantel, smart n.k) ni ipi ya kitanzania?
 
Uzalendo wa bidhaa za nyumbani..! Kati ya hayo makampuni yanayotoa huduma hizo (tigo, airtel, voda, zantel, smart n.k) ni ipi ya kitanzania?

Hilo neno.., ila si wana-operate Tanzania na si watendaji waki-Tanzania.., sasa kwanini wasionyeshe uzalendo..., wanaleta uhuni wa kimbwa kabisa.., eti WTF! EBO!
 
Mchakamchaka wa mashindano ya biashara ...........kuna muda utafika watawapotezea kimya kimya bila taarifa.
 
Nibora gharama kuliko bure atadhami yetu itashuka na hao wakiamia huku kutakuwa kumevurugwa kabisa
 
Ndugu yangu bora iwe hivyo hivyo, wakiweka JF bure tutapata vichwa vya kila aina humu kutokea kule facebook na kuwa Jamii Book na siyo JF tena. Na huenda wenyeji wote wakakimnbia humu.

Mbona hata sasa wanachama waliotimamu wameshakimbia wengi waliojiunga ss hv ni Wale wasiotumia AKILI zao wenyewe kufikiria icpokuwa kukaririshwa chukuongea...!
 
mleta mada ni mpenda ofa, sasa nyie muacheni tu, soma hata majibu yake anapenda kulipiwa, mara JF bure eti ntagoma, kagome huko, sasa hivi tu watu wanatuharibia JF, zamani ukikuta kitu na ukakisoma unapata elimu, siku hizi pumba ukizisoma unapata ugoro.
 
Back
Top Bottom