WhatsApp Plus APK

WhatsApp Plus APK

RGforever

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
6,877
Reaction score
5,444
Kwa Yeyote Mwenye APK ya WhatsApp Plus Inayofanya Kazi. Material Design Naomba Anitumie ..

Maan Nilikuwa Natumia Moja Juzi Naona Wameshaiblock nimeamia Kwenye Official ambayo siipendi Sanaaaa.

Ni PM kama Unayo
 
Kwa Yeyote Mwenye APK ya WhatsApp Plus Inayofanya Kazi. Material Design Naomba Anitumie ..

Maan Nilikuwa Natumia Moja Juzi Naona Wameshaiblock nimeamia Kwenye Official ambayo siipendi Sanaaaa.

Ni PM kama Unayo

nenda onhax.net utaipata
 
nenda onhax.net utaipata


Mkuu nimeingia onhax nimechukua hii YoWhatsapp ila kuna feature moja ambayo nahitaji imekataa ku-work out.

Feature ya single tick nikisoma msg mtumaji aone bado haijafika.

Nime enable ila msg haziingii on time mkuu msg ya saa tisa imeingia saa 12 tena baada ya ku-disable hiyo feature kiongozi.

Naomba msaada kama kuna apk inayofanya kazi vizuri bila usumbufu mkuu.

Thanks In Advane.
 
Mkuu nimeingia onhax nimechukua hii YoWhatsapp ila kuna feature moja ambayo nahitaji imekataa ku-work out.

Feature ya single tick nikisoma msg mtumaji aone bado haijafika.

Nime enable ila msg haziingii on time mkuu msg ya saa tisa imeingia saa 12 tena baada ya ku-disable hiyo feature kiongozi.

Naomba msaada kama kuna apk inayofanya kazi vizuri bila usumbufu mkuu.

Thanks In Advane.



Mkuu chukua gbwhatsapp nzuri.. Kuhusu feature ya second tick bado ni bugs kweny plus zote. Uki activate tu utachelewa kupata txt on time.. Hilo bado tatizo kote... Labda ufiche blueticks tu ndo mbadala.
 
Mkuu chukua gbwhatsapp nzuri.. Kuhusu feature ya second tick bado ni bugs kweny plus zote. Uki activate tu utachelewa kupata txt on time.. Hilo bado tatizo kote... Labda ufiche blueticks tu ndo mbadala.


Ooh okay thanks mkuu.

Nafkiri YoWhatsapp inaweza kuwa nadhani nimeona ina feature ya kutuma more than 10pics na pia unaweza kutuma upto 700mb at once.

Sjui labda kama una advice kwa iliyo the best mkuu.

Thanks a lot mkuu.
 
Ooh okay thanks mkuu.

Nafkiri YoWhatsapp inaweza kuwa nadhani nimeona ina feature ya kutuma more than 10pics na pia unaweza kutuma upto 700mb at once.

Sjui labda kama una advice kwa iliyo the best mkuu.

Thanks a lot mkuu.

Nayo nzuri nliiona nikaijaribu.. Ila gbwhatsapp ndo nimeipenda hasa ile extended version .
 
Nayo nzuri nliiona nikaijaribu.. Ila gbwhatsapp ndo nimeipenda hasa ile extended version .

Kwa nini umeipenda hiyo mkuu ina features gani za kuvutia.

Nafkiri hii GB unaeza tuma upto 30mb kwa file moja kama skosei, right...?.
 
Mkuu nimeingia onhax nimechukua hii YoWhatsapp ila kuna feature moja ambayo nahitaji imekataa ku-work out.

Feature ya single tick nikisoma msg mtumaji aone bado haijafika.

Nime enable ila msg haziingii on time mkuu msg ya saa tisa imeingia saa 12 tena baada ya ku-disable hiyo feature kiongozi.

Naomba msaada kama kuna apk inayofanya kazi vizuri bila usumbufu mkuu.

Thanks In Advane.



Mkuu kuna gbwhatsapp mpya hiyo unatuma hadi file ya GB1
 
Wakuu naombeni link ya working whatsapp plus
 
Mkuu kuna gbwhatsapp mpya hiyo unatuma hadi file ya GB1
Ooh okay, hii itakuwa imetoka lini mkuu ?, Mi nimekuwa nikitumia hiyo YoWhatsapp nayo unatuma files kubwa pia nafkiri ni 700MB au 900MB hivi ila kuna feature ambayo gbwhatsapp haina mkuu kuna feature ambayo hata ukiwa una-chat na mtu mwengine lakini kama mtu yoyote akiwa online inakuonesha kwa juu pale kuwa fulani yupo online.Lakini feature nnayohitaji mostly ni hii ya kuficha 'tick' moja na ibaki "tick" moja hata ukifungua msg ukaisoma, still yule aliyekutumia msg anaona kwake kuna single tick akijua kuwa upo offline na msg yake haijafika still. Hii ndio feature nnayohitaji mkuu, niki-activate msg zinachelewa kufika hata lisaa lizima mkuu that's why nikauliza kama kuna app yenye hiyo feature kiongozi kcamp.Thanks buddy.
 
Last edited by a moderator:
Ooh okay, hii itakuwa imetoka lini mkuu ?, Mi nimekuwa nikitumia hiyo YoWhatsapp nayo unatuma files kubwa pia nafkiri ni 700MB au 900MB hivi ila kuna feature ambayo gbwhatsapp haina mkuu kuna feature ambayo hata ukiwa una-chat na mtu mwengine lakini kama mtu yoyote akiwa online inakuonesha kwa juu pale kuwa fulani yupo online.Lakini feature nnayohitaji mostly ni hii ya kuficha 'tick' moja na ibaki "tick" moja hata ukifungua msg ukaisoma, still yule aliyekutumia msg anaona kwake kuna single tick akijua kuwa upo offline na msg yake haijafika still. Hii ndio feature nnayohitaji mkuu, niki-activate msg zinachelewa kufika hata lisaa lizima mkuu that's why nikauliza kama kuna app yenye hiyo feature kiongozi kcamp.Thanks buddy.



gbwhatsapp mbona inayo hiyo feature ya kushow walio online. ..

kuhusu kudelay baada ya ku activate feature ya kuhide second tick bado tatizo kwa mod zote za whatsapp...kikubwa ni kufuatilia updates mpya huenda itakua fixed.

ila jaribu ku activate ile feature ya always online then ndo ujaribu kuhide second tick..inaweza ikasaidia kidogo nahisi.
 
Last edited by a moderator:
gbwhatsapp mbona inayo hiyo feature ya kushow walio online. ..

kuhusu kudelay baada ya ku activate feature ya kuhide second tick bado tatizo kwa mod zote za whatsapp...kikubwa ni kufuatilia updates mpya huenda itakua fixed.

ila jaribu ku activate ile feature ya always online then ndo ujaribu kuhide second tick..inaweza ikasaidia kidogo nahisi.

Mkuu nataka nione walio online kipindi na chart na mwingine
 
gbwhatsapp mbona inayo hiyo feature ya kushow walio online. ..kuhusu kudelay baada ya ku activate feature ya kuhide second tick bado tatizo kwa mod zote za whatsapp...kikubwa ni kufuatilia updates mpya huenda itakua fixed. ila jaribu ku activate ile feature ya always online then ndo ujaribu kuhide second tick..inaweza ikasaidia kidogo nahisi.
Ooh okay, let me try that one mkuu, nime-download hii uliyoeka hapa ngoja ni-install nifanye hivyo ulivyonielekeza kiongozi.Na ikiwa na transparent background itakuwa poa pia.Let me check it mkuu. Thanks buddy.
 
Mkuu nataka nione walio online kipindi na chart na mwingine



nenda gb setting kisha main /chat screen kisha fungua contact online toast afu weka tick mbele ya show contact online. ..hapo kazi itakua imekwisha.
 
Ooh okay, let me try that one mkuu, nime-download hii uliyoeka hapa ngoja ni-install nifanye hivyo ulivyonielekeza kiongozi.Na ikiwa na transparent background itakuwa poa pia.Let me check it mkuu. Thanks buddy.

pamoja mkuu...embu ijaribu.
 
Kwa Yeyote Mwenye APK ya WhatsApp Plus Inayofanya Kazi. Material Design Naomba Anitumie ..

Maan Nilikuwa Natumia Moja Juzi Naona Wameshaiblock nimeamia Kwenye Official ambayo siipendi Sanaaaa.

Ni PM kama Unayo

Mkuu ulipoiweka ungesoma komenti pale pale unge delete muda huo huo maana kila aliyeiweka wanaiblock nashukuru nilistuka mapema
tena wengine wanalalamika whats app haikubali tena, mkuu
labda niwe sijakuelewa vizuri
 
Back
Top Bottom