WhatsApp Kusitishwa kwa Baadhi ya Simu za iPhone, window na Android

WhatsApp Kusitishwa kwa Baadhi ya Simu za iPhone, window na Android

ahaaaa, kumbe ndio maana lumia zinauzwa kwa kasi hiviii, halafu hio android ya 2.3.7 Nani anatumiaa? Hata 4.4.4(kitkat) au hata lollipop 5.1.1 naona ni wachachee, window phone nazo ni chachee, iphone 4 nazo ni wachache.
kwa ufupi itawagusa watumiaji wachache sanaa.
 
Wataanguka anguko baya sana, kama wanajiona ni ma-giants kiasi wanaweza kupanga chochote, wawaulize Nokia wanavyohangaika kurudi sokoni.

Ila kama watazuia kwa simu zenye android 2.3 kurudi nyuma pekee hakuna shida kwasababu hiyo ni version ya zamani sana. Lakini wasirogwe wakazuia katika android zote watawainua developers wengine, tutaibukia kwa akina wechart, telegram n.k zipo kibao tu. Wasivimbe vichwa.
 
Wapo mbioni kubadilisha mfumo... hapo watu washaingia makubaliano ya kibishara...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom