WhatsApp Kusitishwa kwa Baadhi ya Simu za iPhone, window na Android

WhatsApp Kusitishwa kwa Baadhi ya Simu za iPhone, window na Android

kwani bado kuna mtu anatumia android 2.+++ siku hizi???
 
Mkuu hivi iphone 4 inatimia ios ya ngapi??
Maana ninataka kuinunua ili iwe kama simu ndogo
 
Huawei mpango mzma kuteleza tu
Telegram
 
The reason behind ni nin ay wapo wanataka kupromote app nyingine strategically
 
Whatsapp haitofungwa au kufutwa ila miundombinu ya simu tunazozitumia baada ya hiyo tarehe, wao hawatazipa maboresho mapya kulingana na wakati. Kwa hivyo baada ya muda polepole simu hizo zitashindwa kufanya yote mapya yatakayoanzishwa na whatsapp.
 
Vipi wenye tekno? Mbona wamesahaulika jamani
 
Back
Top Bottom