Swali la kipumbavu sanaWewe inakuuma nini???
Fikiria mtu akila ban anafungua iD nyingineJF ndio balaa
Wewe utakuwa muuza bando si bure π³ π³ π³ π³ π³Wewe inakuuma nini???
Popoma unakula sana ban kwasababu unatumia lugha kali katika uwasilishaji wako.Hoja yako iko too General na ina Fallacies nyingi tu halafu hukuushirikisha vyema Ubongo wako Uliolala kabla ya kuja na huu Upuuzi.
Ina maana umeshindwa tu kujua kuwa kuna Watu wengine kutokana na Soko la Ajira kuwepo sasa wameamua Kujiongeza na Kubuni Miradi ili wapate Vipato na uwepo Wao 24/7 huko katika hayo Makundi ya WhatsApp ndiyo Ajira yao na Kunawalipa?
Una Hoja ya Msingi mahala fulani, ila ulichosahau ni Kuichakata Kwanza Logically na Kuiwasilisha na badala yake umekuja fully na Kisununu ( Chuki ) kwa Watu walioko katika WhatsApp Groups utadhani Bando za Wao kuwepo huko huwa unawatolea Wewe.
Hapa GENTAMYCINE ambaye Sasa hivi ni MINOCYCLINE anaongoza.Fikiria mtu akila ban anafungua iD nyingine
Ana ID kama 80 hivi za jinsia zoteHapa GENTAMYCINE ambaye Sasa hivi ni MINOCYCLINE anaongoza.
ππ Umeua aisee ππWewe utakuwa muuza bando si bure π³ π³ π³ π³ π³
Genta huyoFikiria mtu akila ban anafungua iD nyingine
Kila kitu kina faida na hasara kulingana na jinsi utakavyokitumia.Habarini ndugu zangu.
Nimefuatilia kwa muda mrefu bila mashaka, kwamba Watanzania wengi tumechanganyikiwa na WhatsApp kuanzia asubuhi, mchana hadi alfajiri!
Watu wana magroup mpaka 50. Akiamka asubuhi anaanza kuview status za watu wake karibu 300 huko. Bado hajachangia kwenye magroup.
Watu hawafanyi kazi maofisi kwa sababu ya WhatsApp. Ni changamoto sana.
Tumerogwa fulani hivi.
Walaa. Akili yako 'Mgando' ndiyo imewaza na kufikia ukomo wake hapo.Wewe utakuwa muuza bando si bure π³ π³ π³ π³ π³
Kumbe mko wengi mnaoumia. Yaani nyie mngepewa nafasi ya kugawa Bundle Ofisini. Mngefunga kabisa.Swali la kipumbavu sana
Rahisi sana kugundua unayemjibu humu JF. Jioni njema mkuu.WEWE INAKUUMA NINI!!!?? Mfyuuu