Trouble shooter
Member
- Jan 18, 2014
- 79
- 12
- Thread starter
- #41
ID yako inanipa majibu tosha the way you areHata siku moja usije ukabugi kupiga machanga watu JF. Nendeni kwenu badoo na fesbuku
ID yako inanipa majibu tosha the way you areHata siku moja usije ukabugi kupiga machanga watu JF. Nendeni kwenu badoo na fesbuku
ni pm mkuusikuwahi faham hii kitu........mfano nataka namba yenye code number ya nchi ya Italy kuhusu kuongeza salio unafanyaje?
aya mwanaume endelea kudhani kila mtu anapenda ID yake iwe publicIweje hasa namba kuonekana ya nje...uvulana bana!!!
Nipo kiongozi nilitoka kidogoTrouble shooter umekimbia
Fanyen kazi nyinyi mnaboa!!
thenk yew tyu amalinzeeeSenki yu vere mache tirabo shuta,yu givu me vere vere edukesheni oni ze wasapu,godi bulesi yu,nawo akeni availabo wizouti my rili.
hongera ww mjanja kwa kuamkaBasi hapa kuna maboy.a wataibiwa afu anaanza kulaumu wenye mitandao.
AMKENI NYI MAZOM...!!
English is not my native language i try my best to learn it as you know this is international language so never mind if this is ur first language congaduration....!
Dah! Kweli wajinga ndio waliwao.hongera ww mjanja kwa kuamka
ni pm mkuu
congaduration ndio nini?
Poa ulielimikaDah! Kweli wajinga ndio waliwao.