Mkuu nimekupata!Umri hauna mdomo ila unazungumza
simpo mkuu tafuta member ambaye yupo kwa group ambaye ni mtu wako ...ingia kwa group,fanya kama unatuma text ..weka emoji elfu moja then tuma ..,matokeo group litakufa kabsa....utamu ni kwamba mtakosa wote .....Msaada jamani ; nilifungua group language LA whatsapp LA miziki na kulitangaza vizuri tu likawa maarufu Niliweka maadimini kadhaa kulingana na mahitaji lakini kilichonishangaza kuna siku nimeingia kwenye grupu na kujikuta Mimi sio admini tena na adimini ni mmoja tu na maadimin wote wametolewa kabaki jamaa mwingine na nikimwabia mbona umenifanyia hivi anasema mpaka nimfungulie group lingine nimuadd kuwa admin ndipo anirudishe kuwa admini na Mimi nifanyeje ili niweze kumuondoa huyu jamaa?
mkuu ukitumia simu itakubali mkuu?simpo mkuu tafuta member ambaye yupo kwa group ambaye ni mtu wako ...ingia kwa group,fanya kama unatuma text ..weka emoji elfu moja then tuma ..,matokeo group litakufa kabsa....utamu ni kwamba mtakosa wote .....
hapo ndo basi tena.kwn hayo magroup yana umuhim gani mpaka ulete huu uzi
HahahahaEasy!! Wasiliana na mamlaka ya mawasiliano (TCRA)!! Waeleze ilivyotokea na watachukua hatua....lazima watakupa uadmin wako na yule mshenzi atakomeshwa na kuwajibishwa...!! Pole sana mkuu
hhahahahahahahahahaEasy!! Wasiliana na mamlaka ya mawasiliano (TCRA)!! Waeleze ilivyotokea na watachukua hatua....lazima watakupa uadmin wako na yule mshenzi atakomeshwa na kuwajibishwa...!! Pole sana mkuu
yaah cha msingi utie tu emoji 1000 kwa urahis waweza copy and pasteM
mkuu ukitumia simu itakubali mkuu?