Whatsapp: Blue Tick Read Confirmation Inakukera ?

Mkuu KIOO asante sana.

Jamani kuna watu wankera sana kwenye whatsapp akikutumia msg kama den vile anataka m chat bila mpango wowote. Heri tu kujificha.
 
Mkuu KIOO asante sana.

Jamani kuna watu wankera sana kwenye whatsapp akikutumia msg kama den vile anataka m chat bila mpango wowote. Heri tu kujificha.

Yah ni kweli mkuu Chupaku yani mtu anashindwa kufkiria kabisa kwamba huyu mtu labda amebanwa na shughuli flani hapana..............muda wote anaona ni muda wa kuchat tu usipomjibu online inakuwa ni lawama dunia nzima,INAKERA KWA KWELI.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Mm mbona imekataa hyo njia ,natumia windows phone

Mmmmh,sidhani kama watumiaji wa windows phone wanaweza ku-disable hiyo kitu mkuu hii iliyopo hapa ni kwa watumiaji wa android tu kiongozi nadhani ndo mana imekataa mkuu,KARIBU.
 
mi nielekeze kuondoa last seen ..please

Mkuu kwa suala la last seen........utakapofungua application yako ya whatsapp cha kufanya ni............uta-click Menu kisha uta-click Settings baada ya hapo uta-click sehem iliyoandikwa Account kisha uta-click on Privacy then baada ya hapo utakuwa umeshafika kwenye sehem ya last seen ambayo ipo juu kabisa uta-click hapo palipoandikwa last seen sasa utachagua mwenyewe kama ni Everyone au Contact zako au No body the choice is yours mwana ally,KARIBU.
 
Last edited by a moderator:
Mmmmh,sidhani kama watumiaji wa windows phone wanaweza ku-disable hiyo kitu mkuu hii iliyopo hapa ni kwa watumiaji wa android tu kiongozi nadhani ndo mana imekataa mkuu,KARIBU.

Asante mkuu nmekuelewa.
 
Habari zenu wakuu.

Natumai mu-wazima kabisa.............well,kama uzi unavyojieleza hapo juu kuwa ni jinsi gani unaweza kuondoa double blue ticks za whatsapp pale mtu anapokutumia msg,kisha ukaifungua na kuisoma nae akajua kuwa tayari umeshaisoma lakini ukachelewa kujibu aidha uko barabarani unaendesha au ikatokea sababu nyingine tu ukashindwa kujibu kwa muda muafaka au kutojibu kabisa kutokana na sababu moja au nyingine iliyokupelekea kushindwa kujibu msg yake ilhali ukiwa tayari umeshaisoma.

Nimeskia wengi wakilalamika kuhusu hili na kushindwa kujua nini cha kufanya na wengine kutokufurahi hii new feature kutoka kwa Whatsapp developers.

Hivyo bila ya kupoteza muda hebu tuangalie unawezaje kusoma msg za mtu na yeye asione blue ticks kwenye screen yake na kumpelekea kuamini kuwa bado hujausoma ujumbe wake hivyo itampelekea kusubiri mpk aone blue ticks na kuamini kuwa tayari umeshaisoma msg yake japo ipo option ya kuweza ku-click akaona kuwa umesoma lakini sio kupitia double blue ticks.

whatsapp-azul-tick-doble1-660x400.jpg



Well,zipo njia mbili tatu hivi lakini leo tuelekezane moja ambayo ndio kubwa,kuliko ya kusoma msg ukiwa ume-switch on Flight Mode au kutumia Whatsapp widget au kuzima Internet Data Connection.Na bila ya kupoteza muda hebu tutazame njia hiyo kama ifuatavyo wakuu ;-

Kwanza kabisa hakikisha umeiruhusu simu yako kupokea applications from Unknown Sources kwa sababu application utakayoi-download haitokei Play Store utaipata kutokea Whatsapp Website hivyo ruhusu simu yako kupokea application from Unknow sources kama hii picha hapa chini inavyoonesha...

1443159_q1_3f6f0b7586f63da1a9a502a7bf122140.png


Baada ya kuruhusu simu yako kupokea application ambazo hazitoki kwenye Play Store utatakiwa kuingia kwenye Official Website ya Whatsapp na ku-download New and Latest Version ya Whatsapp 2.11.452 sidhani kama tayari wameshaiweka kwa Play Store sina hakika ila sisi tui-download kutokea Whatsapp Website kwa kuandika WhatsApp for Android au kwa urahisi unaweza uka-click hii link hapa chini ambayo itakupeleka kwenye website yao moja kwa moja,click haya maneno yaliyopigiwa mstari hapa chini...

NewWhatsapp.apk

1443159_3_882ec1bebf722ae3a1fcca7f2432429c.png


Baada ya kufika kwenye hiyo site kama picha inavyoonesha hapo juu uta-click on "Download Now" ikimaliza ku-download utaifungua na itakutaka u-Verify na Ku-Install kama hii picha hapa chini inavyoonesha pia...

1443159_3_a61b486176f9c2a7cbc68ab7479400b0.png


Click hapo ianze Ku-Install na ikimaliza Ku-Install itakueleza kuwa version hii ita-replace version iliyopita na data zako zote za nyuma zitaseviwa na hakuna data yoyote itakayopotea wala kubadilishwa utatakiwa click on "OK" itaanza Ku-Install ikimaliza Insallation itakujulisha kuwa tayari,then utaifungua kwa ku-click on "Open" iache ifunguke na itakupeleka moja kwa moja kwenye application yako mpya "new version" ya whatsapp kama inavyoonesha hapa chini...

1443159_3_347b1bd986c66775d9d15e6a5c3296bf.png


Utatakiwa ku-click on "Menu" kwenye simu yako kisha uta-click on "Settings" kama duara linavyoonesha hapo juu then baada ya ku-click "Setting" uta-click on "Account"

1443159_3_a39ab05e02376346bfb0bdaf61ef0b16.png


Ukisha-click "Account" utatakiwa ku-click on "Privacy"...

1443159_3_19c55b2095da0aaa5c1a4308b0c38828.png


Ukisha-click on "Privacy" kama inavyoonesha hapo juu then utatakiwa kushuka chini utaona sehemu ina "tick" na imeandikwa "Read receipts" utatakiwa ku-click hapo...

1443159_3_c7073906f30af6f242caf54593d33e82.png


Ukishaigusa hiyo tick hapo utakuwa umefanikisha zoezi lako la kuondoa double blue ticks kwa mtu atakayekutumia ujumbe hata ukiusoma ujumbe aliokutumia hataweza kuona tick za blue kwenye screen yake.Ila pia hii ni kama vile last seen kwa sababu hata wee hautaona blue ticks kama mtu akisoma ujumbe wako uliomtumia kwa hiyo hutajua kama amesoma au bado hajasoma ujumbe wako,
Ooups !.

Ila kitakachokuwezesha kujua kama amesoma au hajasoma utaugusa huo ujumbe uliomtumia kwa sekunde kama mbili hivi na kwenye screen yako itatokea hivi...

1443159_3_b745ded4a2372fbc0bb2b54c747a2725.png


Juu kabisa kwenye screen yako utaona alama ya (i) iliyozungushiwa kiduara hapo ndipo patakujulisha kuwa ujumbe wako umesomwa au laa.......lakini pia hapo napo kuna maelezo mawili matatu ya kuelezea ila kwa leo tupo kwenye kuelezea blue ticks pekee.

Am wishing you all the best kama kuna sehem nimekosea ruksa kurekebishwa coz najua BINADAM huwa wanatazama sana mabaya kuliko mazuri si mbaya na kama utakuwa umependezwa basi si mbaya kama utagonga...

images



================


Kwa wale wanaotumia iOS si mbaya kama utaingia kwenye hii link hapa chini then go step-by-step ku-disable hiyo feature,ALL THE BEST.

Blue Tick For iOS


THANKS A LOT.


Yaani shida yote hiyo simply ili watu wasijue kuwa nimesoma msg walizonitumia, why? Watu wangu wote wanajua kuwa saa nyingine huwa nakuwa busy kwa hiyo nisipojibu immediately wananielewa.
 
Hivi mtu akikuandikia sms ni lazima ujibu?

Yaani,hata mi nashangaa Waheed uspojibu inakuwa kama deni vile yani ni kero kwa kweli..............mtu hawezi kujua wala kufkiri labda huyu mtu amebanwa may be walaaa,inakera kwa kweli.
 
Mkuu kwa suala la last seen........utakapofungua application yako ya whatsapp cha kufanya ni............uta-click Menu kisha uta-click Settings baada ya hapo uta-click sehem iliyoandikwa Account kisha uta-click on Privacy then baada ya hapo utakuwa umeshafika kwenye sehem ya last seen ambayo ipo juu kabisa uta-click hapo palipoandikwa last seen sasa utachagua mwenyewe kama ni Everyone au Contact zako au No body the choice is yours mwana ally,KARIBU.

Asante..nimejaribu nimekwama.nilitaka kutuma screen capture huku nikashindwa..naituma kule naomba please
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom