SIFA yake kubwa ni lazima uwe na Petrol station nyumbani
Mkuu cc 6000 kama wewe siyo fisadi litatembea kweli? Ni kwa nini mtu utumie gharama kubwa sana kuonesha utofauti wako angali kuna hosptal hazina vitanda na dawa? Mbona kuna watoto wengi tu mtaani wanashindwa kusoma kwa kukosa ada ya kulipia shule? Je, huwezi kugusa Taifa la kesho kwa kusomesha angalau watoto wachache wanaoteseka mtaani? Je, huyu mtoto ukimsomesha akiwa daktari si itakuwa advantage kwa jamii nzima inayotuzunguka? Na kama hiyo gari ni ya kutembelea tu haizalishi chochote, hizo hela haziwezi kununulia gari ya kawaida tu ya kutembelea na hiyo nyingine inayobakia ikawa invested na kutoa ajira zaidi kwa jamii? Mimi nashauri watanzania tufikiri sana kabla ya kufanya decision ya kushindana kwa kununua magari, tushindane kwa kusaidiana kuinua uchumi wetu wenyewe.
Acha umakinda wako kwani vifaa vya magari huwa vinaibiwa kariakoo tu? mimi niliibiwa site mirror mikocheni, kila sehemu kuna wezi sio kariakoo peke yakeNi kubwa na linahitaji space kubwa kwa parking. Ukilipeleka Kariakoo watakuibia kila kitu halafu wakuuzie tena kwa kupitia gerezani.
Mkuu cc 6000 kama wewe siyo fisadi litatembea kweli? Ni kwa nini mtu utumie gharama kubwa sana kuonesha utofauti wako angali kuna hosptal hazina vitanda na dawa? Mbona kuna watoto wengi tu mtaani wanashindwa kusoma kwa kukosa ada ya kulipia shule? Je, huwezi kugusa Taifa la kesho kwa kusomesha angalau watoto wachache wanaoteseka mtaani? Je, huyu mtoto ukimsomesha akiwa daktari si itakuwa advantage kwa jamii nzima inayotuzunguka? Na kama hiyo gari ni ya kutembelea tu haizalishi chochote, hizo hela haziwezi kununulia gari ya kawaida tu ya kutembelea na hiyo nyingine inayobakia ikawa invested na kutoa ajira zaidi kwa jamii? Mimi nashauri watanzania tufikiri sana kabla ya kufanya decision ya kushindana kwa kununua magari, tushindane kwa kusaidiana kuinua uchumi wetu wenyewe.
Mkuu ndo mana hata mkuu wa nchi anatumia gari amabayo kwa gharama ni almost sawa na hummer je naye haoni mahitaji hayo uloyaorodhesha?