Najiuliza swali tu, nini kitatokea baada ya November 2015???????
1 Nani atakua raisi wa Tanzania?
2. Nani atakwenda jela na nani atakua huru?
3. Kama mfalme akingangania madaraka nini kitatokea?
4. Je itaundwa tume kuchunguza maovu yote yanayotokea sasa?
5. Je tutajua ukweli kwa waliko wakina Ben na Azory?
6. Tutajua ukweli wa nani aliyeamru Lisu apigwe risasa?
7.....
1 Nani atakua raisi wa Tanzania?
2. Nani atakwenda jela na nani atakua huru?
3. Kama mfalme akingangania madaraka nini kitatokea?
4. Je itaundwa tume kuchunguza maovu yote yanayotokea sasa?
5. Je tutajua ukweli kwa waliko wakina Ben na Azory?
6. Tutajua ukweli wa nani aliyeamru Lisu apigwe risasa?
7.....