Hilo nami nimeliona na nilishaanzisha thread humu hasa alipoanza kuwa sign wale madogo wa alikiba, nikasema Ibra hajamfikisha anapostahili halafu ana saini wengine wakati pia na yeye hafanyi vizuri kama awali. Nilishambuliwa wakiniita hater wengine wakisema mimi team WCB, wakati mimi nilikuwa ni mmoja wa wale waliomtakia kheri alipohama WCB nikiona kijana anajitafutia mafainikio zaidi.Simwelewi huyu mwamba wa Chitoholi, 2 years before he was the fastest rising singer in bongo fleva history , alikuwa fire Sana pale WCB, kichwa chake kilikuwa kimetulia na alitoa mawe Sana , uamuzi wa kutoka WCB ulipokelewa Kwa hsia tofaut na watu , wengi tulimwelewa pia na kumtakia Kila laheri , kweli anapata support ya media kubwa and some how anafanya vizur kwenye digital platforms, hata hvyo nyuma ya pazia mambo hayapo vizur Kwa huyu mwamba wa Chitoholi...
Talent anayo , shida ni kuwa yupo confused , watu wanaomzunguka wanamshaur some how sivyo , naona kabisa kuna viashiria anaamini kabisa WCB wanapambana kumshusha na yeye kazi yake moja Tu ni kuwaoutclass , Kwa mazingira haya hawez kutoa hitsong zenye ladha , maana kutoa wimbo uliotulia inatakiwa uwe mentally relaxed ....Kwangu mimi dogo bado mzuri,ila kadri siku zinavyo enda anazidi kupoteza focus,yaani siku hizi amekuwa mtu wa kukurupuka,hajipangi kila analolipanga haliendi na ndio maana anaishia kulalamika.
Cha msingi awe makini kama akiendelea na nyimbo zake hizi za mipasho na mafumbo huko mbele atapotea.
Na wewe ni hater kwelikweli wa WCB
hapa hamna kitu. kutwa kushindana na diamond. hawazi tena kutunga nyimbo nzuri zaidi ya mashindano. ameshapotea njiaSimwelewi huyu mwamba wa Chitoholi, 2 years before he was the fastest rising singer in bongo fleva history , alikuwa fire Sana pale WCB, kichwa chake kilikuwa kimetulia na alitoa mawe Sana , uamuzi wa kutoka WCB ulipokelewa Kwa hsia tofaut na watu , wengi tulimwelewa pia na kumtakia Kila laheri , kweli anapata support ya media kubwa and some how anafanya vizur kwenye digital platforms, hata hvyo nyuma ya pazia mambo hayapo vizur Kwa huyu mwamba wa Chitoholi...
Project zake nyingi zinafeli , uimbaj wake umeyumba Sana , tangu atoke WCB ngoma nazozikubal ni UNO na Fall in love , ..... Vijembe vimekuwa vingi , nafkr yupo under high pressure Sana , washauri pia ni wengi ambao most of them wanamtia hofu, huku anaonekana kuwa na was was kumantain the top ili kushindana na WCB ambao kimsingi wapo well organized ,....
Amekuwa mtu wa kulalamika Sana , alituahidi mgahawa town sjui umeishia wap , alituahidi Tandahimba fm lakn nothing new , utaskia akiwa jukwaani " wanangu niwaambie kitu, mwezi ujao tunawasha redio hapa hapa nyumbani"
Tuliahdiwa tamasha kubwa sanan November 28, Jana kapost insta analalamika tuu , kwamba issue imefeli na ipo postponed sjui mpak lini....
Ibra alikuwa anatosha Sana Kwa mwaka huu , ukurupukaj wa kusign magrunet mengine yanampa pressure tuuu....
Naona asipobadilika atapotea kabisaaa
View attachment 1629658
Mwishowe mtu akiishia kwenye madawa ya kulevya wala usishangaeMgahawa Uliidhie karume stadium...sisi wa mbagala hatujawahi uona.
Tulikula mara moja tu pale karume na gari likauzwa
Hili kama sio tamasha la bure sijuiHaya Sasa mtu haishiwi Mambo huyu, anatakiwa atulize akiliView attachment 1629832
We uliingia jukwaa hili kufuata nn kama sio kufatilia maisha yao acha unafiki we mzeeMkuu ishi maisha yako, wazazi probably wako wanakutegemea.
Wasanii hawana time na wewe, rafiki yao ni yule mwenye pesa na madaraka.
Kwa lugha rahisi watu maarufu wote Tanzania walishajua wabongo hamnazo na hawajielewi ndio maana wano busy na mambo yao kama CCM, endorsements.
Hata ukikutwa umeyawa kikatili Ubungo, they don't care hata atakayekemea
Na tena ameachana na sarah(muitaliano)ndio rahisi sana kupotea anakurupuka sana asipojiangalia atapoteaYou are lost! What a silly comment! Unadhani huyo Harmonize anapiga mziki kwaajili yake? Ni kwaajili ya watu! Sasa watu lazima waridhike na anacho fanya vinginevyo wakimtupia virago ndio basi tena umasikini utamnyemelea and most probably he will no longer be a star!
Duh! Kumbe ameachana na sponsor wake basi mambo yatazidi kuwa magumu kwakeNa tena ameachana na sarah(muitaliano)ndio rahisi sana kupotea anakurupuka sana asipojiangalia atapotea
Meneja wake ni manka toka kibosho,pembeni jembejembe wote wauza sura...hpo lazima ufeli tuSimwelewi huyu mwamba wa Chitoholi, 2 years before he was the fastest rising singer in bongo fleva history , alikuwa fire Sana pale WCB, kichwa chake kilikuwa kimetulia na alitoa mawe Sana , uamuzi wa kutoka WCB ulipokelewa Kwa hsia tofaut na watu , wengi tulimwelewa pia na kumtakia Kila laheri , kweli anapata support ya media kubwa and some how anafanya vizur kwenye digital platforms, hata hvyo nyuma ya pazia mambo hayapo vizur Kwa huyu mwamba wa Chitoholi.
Project zake nyingi zinafeli , uimbaj wake umeyumba Sana , tangu atoke WCB ngoma nazozikubal ni UNO na Fall in love , ..... Vijembe vimekuwa vingi , nafkr yupo under high pressure Sana , washauri pia ni wengi ambao most of them wanamtia hofu, huku anaonekana kuwa na was was kumantain the top ili kushindana na WCB ambao kimsingi wapo well organized
Amekuwa mtu wa kulalamika Sana , alituahidi mgahawa town sjui umeishia wap , alituahidi Tandahimba fm lakn nothing new , utaskia akiwa jukwaani " wanangu niwaambie kitu, mwezi ujao tunawasha redio hapa hapa nyumbani"
Tuliahdiwa tamasha kubwa sanan November 28, Jana kapost insta analalamika tuu , kwamba issue imefeli na ipo postponed sjui mpak lini....
Ibra alikuwa anatosha Sana Kwa mwaka huu , ukurupukaj wa kusign magrunet mengine yanampa pressure tuuu....
Naona asipobadilika atapotea kabisaaa
View attachment 1629658