"Aut Viam Invenium, Aut Facium"
Very touching....pole mkuu.Mwanangu, nikitangulia washike mkono wadogo zako. Usiwaache kamwe.
By my dear mama.
(RIP)
Asante sana mkuu, tushapoaVery touching....pole mkuu.
Pole sana Kamanda,Mungu awe nanyi.Mwanangu, nikitangulia washike mkono wadogo zako. Usiwaache kamwe.
By my dear mama.
(RIP)
Asante sana mkuu. TumeshapoaPole sana Kamanda,Mungu awe nanyi.
Hakika.kweli mkuu ukiwa na afya njema vitu vingi vitakuja.
nyingine ni hii
YOU DON'T KNOW WHAT YOU HAVE UNTIL IT'S GONE
tangia hapo huwa sidharau na kulaani watu hovyo hovyo, hata mtu japokuwa simpendi bado nita appreciate kwa mazuri yake maana hali ingeweza kua mbaya zaidi
Leo nimewakamilishia dini yenu na nimetimiza kwenu neema zangu,na nimeridhia Uislamu ndio uwe dini yenu.
I lke this qout frm quran karim inanipa nguvu kuona nipo kwenye dini iliyoridhiwa na Muumba mwenyewe
watu waliofanikiwa wanaokuambia usiwaze kuhusu kesho hao usiwasikize hawakutakii mazuriwhatever!
Ni ivi mkuu binadamu hatakiwi kuwaza kuhusu wakati ujao wala wakati uliopita, anatakiwa kukomaa na wakati uliopo tu. Kwanini nasema ivyo, ukiwaza kuhusu kesho je iyo kesho umeiona? na ukisema uwaze wakati uliopita unaweza kuanza kujuta au ukapata stress kumbuka wakati uliopita ndio umetengeneza wakati wako uliopo so unaweza kutumia wakati uliopita as a reference only not a residence na tukija kwa wakati uliopo you need to live your life fullywatu waliofanikiwa wanaokuambia usiwaze kuhusu kesho hao usiwasikize hawakutakii mazuri
seriously unasema hutakiwi kuwaza kuhusu kesho au unataka kuendeleza tu mjadala for fun? umekua ndege au ng'ombe wewe usiwaze kuhusu kesho? au tumetofautiana kuhusu maana ya " kuwaza kesho"? huwa hupangi hata bajeti? huwa huna plan yotote kabisa kwenye maisha yako?Ni ivi mkuu binadamu hatakiwi kuwaza kuhusu wakati ujao wala wakati uliopita, anatakiwa kukomaa na wakati uliopo tu. Kwanini nasema ivyo, ukiwaza kuhusu kesho je iyo kesho umeiona? na ukisema uwaze wakati uliopita unaweza kuanza kujuta au ukapata stress kumbuka wakati uliopita ndio umetengeneza wakati wako uliopo so unaweza kutumia wakati uliopita as a reference only not a residence na tukija kwa wakati uliopo you need to live your life fully
Today is non refundable, make it unforgettable.