Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,746
- 113,188
Bora we unaficha mimi natafuna nameza mawino yote 😂Huyo ni Mimi kabisa, nikiona mambo hayaeleweki naficha tu nasema matokeo Hadi tukifungua shule😅😅
Bora we unaficha mimi natafuna nameza mawino yote 😂Huyo ni Mimi kabisa, nikiona mambo hayaeleweki naficha tu nasema matokeo Hadi tukifungua shule😅😅
Wewe sikuwezi😃😃.. me nilikua naficha, au naacha tu shuleni ieleweke moja ili hata ikitokea siku kuna msako hawakuti kitu 😂😂😂Bora we unaficha mimi natafuna nameza mawino yote 😂
Tatzo alikuwa dada alafu darasan alikuwa vizuri sana yeye yake ni namba 1 tu mpaka anamaliza form 6Wewe sikuwezi😃😃.. me nilikua naficha, au naacha tu shuleni ieleweke moja ili hata ikitokea siku kuna msako hawakuti kitu 😂😂😂
Mlikua wote darasa moja😃😃😃Tatzo alikuwa dada alafu darasan alikuwa vizuri sana yeye yake ni namba 1 tu mpaka anamaliza form 6
Hapana shure moya arikuwa kanitangulia, kama n mdomo alijaliwa.Mlikua wote darasa moja😃😃😃
With clear evidenceHe must report to the police station, that his life is in danger.
😃😃😃, mimi kusoma na ndugu shule moja ndo kitu nilikua sikitaki aiseeHapana shure moya arikuwa kanitangulia, kama n mdomo alijaliwa.
Sasa hutaki we ndio unalipa ada 😂😃😃😃, mimi kusoma na ndugu shule moja ndo kitu nilikua sikitaki aisee
Mbona shule zipo nyingi sana jamani kwanini kubanana shule moja😃😃Sasa hutaki we ndio unalipa ada 😂
Ndio mzazi kashaamua utampinga?Mbona shule zipo nyingi sana jamani kwanini kubanana shule moja😃😃
kwakweli hakuna namnaNdio mzazi kashaamua utampinga?
Ndivyo ilivyokwakweli hakuna namna