HDMI
JF-Expert Member
- Mar 10, 2018
- 672
- 1,337
NdioWe Fala nn,
NdioWe Fala nn,
Chukulia kwa mfano; Uganda wananunua bidhaa zao kwa bei nzuri kuliko sisi, kwa sababu hela yao ni ndogo kuliko yetu. Pesa kidogo ya uganda inanunua mkate ambao unanunuliwa na pesa kubwa ya Tanzania. Ukilinganisha kwa kutumia dola, unakuta mganda ametumia dola kidogo kununua mkate, wakati mtanzania ametumia dola nyingi kiasi kumzidi mganda, kwa kununua mkate ule ule. Vile vile wakenya hela yao ni kubwa kuliko yetu, nao vile vile ukiwalinganisha na sisi in terms of dollars, wana maisha magumu kuliko sisi. Niliwahi kusafiri kwenda nje ya nchi wakati fulani kabla nchi hiyo haijaanza kutumia Euro, niliishi maisha kama niko Paradiso. Nikaja tena nikajichnaganya sasa nikarudi tena wakati tayari wameshaanza kutumia Euro, nilichoka. Hela yao ilikuwa ndogo kuliko Euro, na kile ambacho kipindi hawajnaaza kutumia Euro tulikuwa tunakinunua tuseme 50 ya hela yao, nilikuta kitu hicho hicho kimebadilika na kinanunulia Euro 50. NilichokaWataalamu wa masuala ya uchumi mtujuze tafadhali...
Nini kinaendelea kwenye hili la kushangaza?
USD 1 = SOMALI SHILLINGS 530/-
USD 1 = TANZANIAN SHILLINGS 2300.
Nini kimetokea hapa?