run for Nokia,kama wewe unapenda games
The best mobile phone kati ya zilizopo sokoni ni ILE UNAYOIPENDA KULIKO ZINGINE.................. KWANI WEWE UNATAKA UWE NA SIMU YENYE UWEZO WA KUFANYA KITU GANI......????Wana JF,
Ni simu gani ni the best kulinganisha na zote ziilizopo kwenye market kwa sasa. Kwenye mtandao naona wengi wanaisifia Iphone 4G, lakini pia kuna wanaosema HTC Evo na wengine Blackberry Curve 8520, Samsung Galaxy ...
Mtu mzima ananunua simu ya gharama kwa sababu ina games!
Mwingine ananunua mu-HTC mkuuubwa wenye ma features and functions za kulazimishwa kama vile lazima ku subscrbe na internet service wakati nyumbani unayo internet!
Falling for ridiculous marketing ploys
Ni kweli ulichosema, ubora ama kuipenda simu fulani ni kama unapoamua kununua gari. Kila mtu ana sababu zake za kuipenda simu ya aina fulani. Mfano mimi binafsi when it comes to smart phones nimetumia blackberries, Samsung, Evo, Sony errickson, Motorola Droid na Nokia lakini naizimia kichizi iPhone4. Huniambii chochote kuhusu iPhone4. But that doesn't mean kila mtu aipende iPhone4.
Ila swali moja ambalo watu wengi esp. huku US wanajiuliza: Ni kwa nini Apple wanaintroduce technology mpya then others wao wanaishia ku-copy? Kwa nini wao nao wasije na new product badala ya kungojea Steve Jobs aje na something new then wao ndio waige?
All in all iPhone ime-revolutionize the smart phone technology.
Agreed. Na umeme usiokuwa wa uhakika, that is the best phone!:biggrin1::biggrin1:Nokia ya tochi
Trium ni kiboko yao!
Nokia N8 au nunu kama yangu nokia e72 ina kila kitu unachofikilia wewe. kwanza nokia ni durable pili ni symbian dah!! i love my phone
Thats trueNi kweli ulichosema, ubora ama kuipenda simu fulani ni kama unapoamua kununua gari. Kila mtu ana sababu zake za kuipenda simu ya aina fulani. Mfano mimi binafsi when it comes to smart phones nimetumia blackberries, Samsung Galaxy II, Evo, Sony errickson, Motorola Droid na Nokia lakini naizimia kichizi iPhone4. Huniambii chochote kuhusu iPhone4. But that doesn't mean kila mtu aipende iPhone4.
Ila swali moja ambalo watu wengi esp. huku US wanajiuliza: Ni kwa nini Apple wanaintroduce technology mpya then others wao wanaishia ku-copy? Kwa nini wao nao wasije na new product badala ya kungojea Steve Jobs aje na something new then wao ndio waige?
All in all iPhone ime-revolutionize the smart phone technology.
Agreed. Na umeme usiokuwa wa uhakika, that is the best phone!:biggrin1::biggrin1: