olele
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 1,305
- 1,577
Habari wakuu.
Kuna game moja nimewahi cheza kwenye simu jina lake nimelisahau iko hivi.. kwenye screen kunatokea karata nne tofauti tofauti... then inakuelekeza kuchagua karata moja.
Kimoyo moyo means haugusi mahali wala hautoi sauti then inakuambia uconcetrate kwenye hiyo karata uliyoichagua
then karata zote zinafutika inabaki ile uliyoichagua.
Sasa wakuu ni maujanja gani yametumika hapa ?
Kuna game moja nimewahi cheza kwenye simu jina lake nimelisahau iko hivi.. kwenye screen kunatokea karata nne tofauti tofauti... then inakuelekeza kuchagua karata moja.
Kimoyo moyo means haugusi mahali wala hautoi sauti then inakuambia uconcetrate kwenye hiyo karata uliyoichagua
then karata zote zinafutika inabaki ile uliyoichagua.
Sasa wakuu ni maujanja gani yametumika hapa ?