MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,675
- 48,450
Sasa kama si kweli mna roho mbaya ni kwanini mmewaaibisha watanzania kwenye page ya Rooney namna ile kwamba hawajui English and other sorts of shit
BTW hii iliwathalilisha nyie zaidi mlionekana inferior, lame, dependant, enslaved, dumb, cheap, myopia kwa International people hata comments za wasio East Africans zilikua on Tanzanian side.
Lakini watanzania wao waliwashangilia sana gormaia kama team ya Tanzania bila kujali walizishuhulikia team zetu nafikiri kama ingekua ni vice versa Kenya msingeipa support Tanzania,
Mna Roho Mbaya and that's your DNA
Kwani mkiambiwa kweli hamjui English ina maana tuna roho mbaya, tatizo hampendi ukweli, mnapenda kuficha ficha na anayethubutu kuwaambia ukweli mnamuona roho mbaya.