i like fried chicken....
Gotcha!!!! 1Absoutely broda!
THATSWHATSUP!!
my avatar?
hah hah hah!!!!
behind it?there vampaya...so NATISHA....naogopesha...:music:
Hivi kumbe hata we muongooo aeNaomba unisamehe lakini napenda Kuweka wazi uko very similar na hiyoavatar yako.. khaaaa usini fanya nikaOorosdhesha kila kitu.. actually you lookWay hotter than you're avatar.Mimi natamani kua kama huyo dada wa kwenye avatar yangu!Rangi yake ya ngozi inanifanya nitamani rangi yangu ya asili niliyoichakachua kwa mkorogo.Nywele nilizoziweka dawa mpaka zimenyonyoka.Pozi lake linaloonyesha mtu wa kutafakari sana linanifanya nitamani na mie nisingekua mkurupukaji bali mtu anaetafakari kila hatua.Umbo lake linanifanya nitamani kupunguza huu mwili uliojazia kama pulizo!Nwy kwa leo inatosha...
Ntajibu ijumaa saa kumi na mbili Kasoro robo.. mmmhhhTeh teh teh Ntarudi ..[/QUNakusubiri..
Natamani siku moja uniambie haya yakiwa yana ukweli....till then acha niendelee kutamani nisichonacho!Hivi kumbe hata we muongooo aeNaomba unisamehe lakini napenda Kuweka wazi uko very similar na hiyoavatar yako.. khaaaa usini fanya nikaOorosdhesha kila kitu.. actually you lookWay hotter than you're avatar.