What If Life Is A Dream And Death Wakes Us All Up??

Pure_sapiens

JF-Expert Member
Dec 25, 2016
2,197
2,025
Habari wana g.t.

Siku ya leo nimeona ni muhimu ku-share na great thinkers hiki kitandawili ambacho nimejiuliza kwa miaka mingi bila kupata hitimisho.
Kitandawili hicho ni"what if life is a dream and death Wakes Us all up" hili mjadala uwe mpana zaidi ni bora tukatumia lugha zote hasa hasa kiswahili na kiingereza.

Mtazamo wangu:
Kwa kuwa binadamu ameshindwa kutofautisha between reality and illusion au life and dream.Je uhalisia ni upi ambao binadamu anauishi ni huu tulikuwa nao muda huu au ni ule tunao upata baada ya kulala?
Just imagine after all these life struggles; going to school,working around the clock.Finally you die and realise you have been slept but awake now........what would our reaction be

20210920_095948.jpg
 
Habari wana g.t.

Siku ya leo nimeona ni muhimu ku-share na great thinkers hiki kitandawili ambacho nimejiuliza kwa miaka mingi bila kupata hitimisho.
Kitandawili hicho ni"what if life is a dream and death Wakes Us all up" hili mjadala uwe mpana zaidi ni bora tukatumia lugha zote hasa hasa kiswahili na kiingereza.

Mtazamo wangu:
Kwa kuwa binadamu ameshindwa kutofautisha between reality and illusion au life and dream.Je uhalisia ni upi ambao binadamu anauishi ni huu tulikuwa nao muda huu au ni ule tunao upata baada ya kulala?
Just imagine after all these life struggles; going to school,working around the clock.Finally you die and realise you have been slept but awake now........what would our reaction be

View attachment 1945812
Life :- ni deni na malipo.. hivo badilisha fikra na mawazo yako ili ubadilike maisha unayoishi.. utaona uhalisia..
 
Ni ngumu kuthibitisha kama tuko katika maisha halisia au ndotoni. Mambo tunayoyafanya tukiwa ndotoni tunaweza kuyafanya pia tukiwa katika uhalisia. Mfano, mtu anaweza kucheza kucheza mpira akiwa katika uhalisia lakini pia akafanya kitendo hicho hicho akiwa ndotoni!
Ushahidi:-

Kunya/kukojoa ndotoni
 
Ni ngumu kuthibitisha kama tuko katika maisha halisia au ndotoni. Mambo tunayoyafanya tukiwa ndotoni tunaweza kuyafanya pia tukiwa katika uhalisia. Mfano, mtu anaweza kucheza kucheza mpira akiwa katika uhalisia lakini pia akafanya kitendo hicho hicho akiwa ndotoni!
Kwahy reality is unknown? Ebu jiulize ni mara ngapi ukiwa umelala alafu ukaota ndoto mbaya ya kutisha kabla haujapata matatizo una shutka ghafla sana.Hii scenario una zungumzia Je
 
Tuvute bangi Tena ili tupate picha kamili ya maisha baada ya kifo
Habari wana g.t.

Siku ya leo nimeona ni muhimu ku-share na great thinkers hiki kitandawili ambacho nimejiuliza kwa miaka mingi bila kupata hitimisho.
Kitandawili hicho ni"what if life is a dream and death Wakes Us all up" hili mjadala uwe mpana zaidi ni bora tukatumia lugha zote hasa hasa kiswahili na kiingereza.

Mtazamo wangu:
Kwa kuwa binadamu ameshindwa kutofautisha between reality and illusion au life and dream.Je uhalisia ni upi ambao binadamu anauishi ni huu tulikuwa nao muda huu au ni ule tunao upata baada ya kulala?
Just imagine after all these life struggles; going to school,working around the clock.Finally you die and realise you have been slept but awake now........what would our reaction be

View attachment 1945812
 
Habari wana g.t.

Siku ya leo nimeona ni muhimu ku-share na great thinkers hiki kitandawili ambacho nimejiuliza kwa miaka mingi bila kupata hitimisho.
Kitandawili hicho ni"what if life is a dream and death Wakes Us all up" hili mjadala uwe mpana zaidi ni bora tukatumia lugha zote hasa hasa kiswahili na kiingereza.

Mtazamo wangu:
Kwa kuwa binadamu ameshindwa kutofautisha between reality and illusion au life and dream.Je uhalisia ni upi ambao binadamu anauishi ni huu tulikuwa nao muda huu au ni ule tunao upata baada ya kulala?
Just imagine after all these life struggles; going to school,working around the clock.Finally you die and realise you have been slept but awake now........what would our reaction be

View attachment 1945812
Tuna dream wote au una dream wewe mwenyewe?
 
Habari wana g.t.

Siku ya leo nimeona ni muhimu ku-share na great thinkers hiki kitandawili ambacho nimejiuliza kwa miaka mingi bila kupata hitimisho.
Kitandawili hicho ni"what if life is a dream and death Wakes Us all up" hili mjadala uwe mpana zaidi ni bora tukatumia lugha zote hasa hasa kiswahili na kiingereza.

Mtazamo wangu:
Kwa kuwa binadamu ameshindwa kutofautisha between reality and illusion au life and dream.Je uhalisia ni upi ambao binadamu anauishi ni huu tulikuwa nao muda huu au ni ule tunao upata baada ya kulala?
Just imagine after all these life struggles; going to school,working around the clock.Finally you die and realise you have been slept but awake now........what would our reaction be

View attachment 1945812
Ndugu yangu unaonyesha ni msomi lakini unapungukiwa maarifa,

Ni hivi kwa simple logic tu unajua ndoto ni recall ya yale yale yanayotokea kila siku katika real life yani yale unayoyaishi, kitu ambacho kinapita sana kichwani mara nyingi na muda mwingi ndiyo utayaota, chukulia mfano mchana muda wa mishe mishe mara nyingi tukilala tunaweweseka mambo tuliyoyafanya mchana sijui unanielewa nimetumia maelezo marahisi sana
 
Ndugu yangu unaonyesha ni msomi lakini unapungukiwa maarifa,

Ni hivi kwa simple logic tu unajua ndoto ni recall ya yale yale yanayotokea kila siku katika real life yani yale unayoyaishi, kitu ambacho kinapita sana kichwani mara nyingi na muda mwingi ndiyo utayaota, chukulia mfano mchana muda wa mishe mishe mara nyingi tukilala tunaweweseka mambo tuliyoyafanya mchana sijui unanielewa nimetumia maelezo marahisi sana
hiyo ni according to uzoefu wako au umepitia kuhusu maarifa ya ndoto?
Tunafel kuhitimisha kwa kutumia uzoefu wetu badala ya kutafta maarifa ya kutosha kwa wabobezi wa masula hayo.
Don't take anything for granted.
Tutafte maarifa yapo kila kona.
 
Dax alishawahi kuuliza

What if being born is dying, and dying's birth?
Would that mean life's not God's gift but the devil's curse?
And to live was to be evil 'cause it’s words reversed?
 
Back
Top Bottom