What if Freeman Alkaeli Mbowe was Compromised?

What if Freeman Alkaeli Mbowe was Compromised?

Mbowe aliiombwa na Rais naye akakubali wito.
Na baada kumaliza kila mmoja yaani Rais na Mbowe walitoa hutuba na walichongea kilieleweka vizuri
Wanaoteseka waacheni kwani ndo sehemu yao ya maisha
 
Mbowe aliiombwa na Rais naye akakubali wito.
Na baada kumaliza kila mmoja yaani Rais na Mbowe walitoa hutuba na walichongea kilieleweka vizuri
Wanaoteseka waacheni kwani ndo sehemu yao ya maisha

That’s it?
 
In any case, kwa mtu anayeifahamu CHADEMA atajua kuwa hakuna mtu anayeweza kukiondoa chama hicho kwenye ajenda zake muhimu. No one. Chama kimeshakuwa kikubwa kuzidi mwanachama yeyote mmoja mmoja (any individual).

Mbowe anaifahamu CHADEMA kikamilifu. Mchango wake kukifikisha chama kilipo leo hii haumithiliki. Ndio legacy kuu ya maisha yake. There’s no way he can be compromised to undermine CHADEMA. Na anajua hilo haliwezekani.
 
Alienda peke yake sababu alifungwa na kuteswa peke yake kama kiongozi wa siasa
 
In any case, kwa mtu anayeifahamu CHADEMA atajua kuwa hakuna mtu anayeweza kukiondoa chama hicho kwenye ajenda zake muhimu. No one. Chama kimeshakuwa kikubwa kuzidi mwanachama yeyote mmoja mmoja (any individual).

Mbowe anaifahamu CHADEMA kikamilifu. Mchango wake kukifikisha chama kilipo leo hii haumithiliki. Ndio legacy kuu ya maisha yake. There’s no way he can be compromised to undermine CHADEMA. Na anajua hilo haliwezekani.

I honestly hope so too
 
I honestly hope so too
Take it as fact. Wote walioigeuka CHADEMA wamepoteza credibility; sauti zao zinapuuzwa na jamii. Chama kinaenda from strength to strength. Mbowe is smart on that.
 
Take it as fact. Wote walioigeuka CHADEMA wamepoteza credibility; sauti zao zinapuuzwa na jamii. Chama kinaenda from strength to strength. Mbowe is smart on that.

I can’t agree more
 
What if he has compromise the compromiser ?

Kwangu mimi the ifs and what's do not matter bali the deeds..., kwahio tamuhukumu kwa matendo na sio shutuma / assumptions

Pia compromisation ni ipi hasa ?, Kosa tunalofanya ni kusahau tunajenga nchi moja na inabidi Mtanzania awe mzalendo / msimamizi wa Tanzania na sio Taasisi wala baadhi ya wao au sisi...., Hence ninaangalia deeds na ninahukumu case by case basis...

That's my Humble Opinion
 
Amani iwe kwenu!

Najiuliza tu kama binadamu wa kawaida. Kule Afrika ya kusini ilitokea, kabla ya Nelson Mandela kuachiwa huru hadharani kulikuwa na mchakato uliopelekea yeye kuachiwa.

Watu kama Oliver Tambo na wapinagaji wengine waliokuwa nje hawakujua kwamba tayari Mandela alikuwa na majadiliano na Botha wakati ule na sehemu kubwa ya mjadala ulishafikia hatua ya makubaliano.

Mandela alitolewa kule Robben Island alipokuwa anatumikia kifungo chake na kupewa nyumba Cape Town ambapo alihudumiwa kifalme chini ya ulinzi mkali.

Kutoka pale, aliweza kwenda kwenye majadiliano kisirisiri na kupokea wageni kutoka upande wa serikali waliokuwa na kazi ya kufanya majadiliano juu ya mustakabali wa wazungu na mali zao pindi Mandela atakapoachiwa huru.

Ikumbukwe kwamba Mandela alifungwa muda mrefu hivyo wapiganaji kama Oliver Tambo ndo walikuwa na ufahamu wa hali halisi ya mapambano na serikali iliogopa kwamba wangepewa kina Tambo madaraka, makaburu wangekiona cha moto hivyo ilikuwa rahisi kujadiliana na Mandela ambaye kwa wakati ule, alishapondeka hasa na kukosa matumaini.

Kwake ile ilikuwa ni a second chance hivyo alikuwa tayari kuachia uchumi mikononi mwa makaburu huku yeye akishikilia bendera na kuwashashiwi weusi kuwasamehe makaburu.

Pamoja na kwamba ni jambo jema, ila bado najiuliza ile haraka ya Freeman Mbowe kwenda ikulu hata kabla ya kutulia angalau?

Sina uhakika kama alipata hata nafasi ya kushauriana na viongozi wa chama chake kwa ukaribu kujua hali halisi na kujenga msimamo wa pamoja?

Kwanini alienda peke yake?

Sina maana ya kwamba simuamini ila kwenye siasa hakuna ajali.

Hivyo najiuliza tu.

Naomba muongozo.
Ni kutoa shukurani, wangeweza mfunga hata kama hakuna kesi
 
What if he has compromise the compromiser ?

Kwangu mimi the ifs and what's do not matter bali the deeds..., kwahio tamuhukumu kwa matendo na sio shutuma / assumptions

Pia compromisation ni ipi hasa ?, Kosa tunalofanya ni kusahau tunajenga nchi moja na inabidi Mtanzania awe mzalendo / msimamizi wa Tanzania na sio Taasisi wala baadhi ya wao au sisi...., Hence ninaangalia deeds na ninahukumu case by case basis...

That's my Humble Opinion

A good line of thinking
 
Back
Top Bottom