LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,113
- 27,099
Dogo alienda Simba kwa mbwembwe zote, now pumzi zimekata. Benchi linamuhusu.
Dogo alikosa washauri. Unaweza vipi kutoka kwenye timu ambayo wewe NI mchezaji tegemezi na kwenda kuhangaika kugombania namba na mchezaji mwenye kiwango cha lami kama Tshabalala?
Wachezaji wa Tanzania bogus sana
Dogo alikosa washauri. Unaweza vipi kutoka kwenye timu ambayo wewe NI mchezaji tegemezi na kwenda kuhangaika kugombania namba na mchezaji mwenye kiwango cha lami kama Tshabalala?
Wachezaji wa Tanzania bogus sana