What does Kagame and Museveni love and hate relation tells about the danger of EAC political federat

CattleRustler,

..wakati tunaisaka Tanganyika hawa jamaa wanatuletea habari ya muungano mwingine.

..Kenya wako kibiashara zaidi, wanachotaka ni bandari yao iwe na wateja wa kudumu.

..Rwanda na Uganda wakishaunganishwa na reli kutoka Mombasa, Kenyatta atawachomolea kwenye suala la federation.

cc Koba, murutongore, Young Tanzanian
ofcourse hakuna mtu anataka political fed or anybody land,hayo mambo invented na watu wasiotaka EA ,Uganda na Rwanda wanataka kupunguza gharama za usafirishaji na kuondoa usumbufu wa kufanya business within EA na ndio maana wanafanya hizo projects na Kenya kitu ambacho walianza na TZ lakini for some reasons hakikufanyika,sijawahi kumsikia hata siku moja Kagame akiongelea ardhi ya nchi nyingine au siasa na practically tunaona wanachofanya is all business na hakuna agenda ya siri au sijui Uhuru kuwachomelea political FED hizo zote ni fantasy tuu na wishfull thinking ambazo hazina maana yeyote,na ukweli forget na hakutakuwa na political fed at least in our lifetime..focus kwenye business kupunguza umaskini within EA na ndio point ya kuwa na EA sio blah blah za siasa ambazo hata CCM na CHADEMA wenyewe tayari ugomvi then leo ndio uingizer RPF or sijui KANU
 
Kagame has:
1. Overthrown 2 governments: Uganda via NRM and Rwanda via RPA.
2. Killed 3 presidents: juvenal habyarimana, Cyprien Ntaryamira and Laurent Kabila.
3. Fought 2 wars in Congo + one with Uganda inside Congo!
4. Sponsored rebels/proxy army in congo (M23, CNDP).
5. Threatened the lives of two sitting presidents (including mine, kikwete).

Number 2 and 5 is all lies,number 4 is debatable and for number 1 and 3 Kagame is my HERO na hata Nyerere ali support!!
 
Wewe huna akili timamu. Unajua maana ya kuwa mkimbizi wewe? Muulize mamako atakuambia. When my whole family was wiped out in 1959 by the hutus you do not know what you are talking about. When I stood there and watched my family being swept away in the river. YOU DO NOT KNOW AND WILL NEVER KNOW. When I was going to school there and I had to study 10 times harder because your tanzanian teachers told us that we are stupid and cannot get any further. YOU DO NOT KNOW. Despite all the obstacles that you placed on us we still passed our exams and became very important people. We became teachers, doctors, nurses, even leaders in your country and contributed to your country. But still everywhere you went you were a tutsi. Now we are in our own country and you are haters. Hao wahutu unaowatetea hawana time na wewe. Wanaendelea na maisha yao chini ya uongozi wa Raisi namba moja africa Paul Kagame. MUULIZE MAMA YAKO ATAKUPA HISTORIA HALAFU LABDA UTAACHA KUANDIKA UPUUZI HAPA

Murutongore, all this time that were are on this forum, i did not know that you had that terrible experience, siku zote nafikiri kuwa wewe ni somekind of nationalist tu, pole sana mkuu may souls of those who passed away tragically rest in eternal peace.

Mimi nachukia sana uhutu na utusi. Kama kweli uliishi Tanzania utakuwa unajua vizuri kuwa Tanzania hatuchukii watusi wala wahutu, wote tunawakaribisha na tunaishi nao. Lakini ambacho hatupendi ni arrogance inayotoka kwa baadhi ya watu wa Rwanda, hasa pale tunapoanza kutukanwa na watu ambao tuliwapokea kwa mikono miwili na moyo mmoja.

Kagame mwenyewe ambaye ana ideology chafu kabisa amongo East African leaders, anasema machafu sana kuhusu Tanzania, hata akamtishia rais wetu, anasahau kuwa hata RPF yenyewe was almaost a quarter if not half of it Tanzanian (jamaa wengi sana kutoka Shinyanga walikuwa wapiganaji loyal wa RPF), anasahau kuwa ni sisi tuliwasaidia kuwadecimate FDLR milimani kule DRC. Leo anasema kuwa hataki kuongea na FDLR anasahau kuwa ni yeye mwenyewe alikuwa kwenye mazungumzo Arusha kabla ya Hyabyarimana kuuawa. Leo all of a sudden anakuja kutangaza superiority kuwa hawezi kuongea na yoyote, na he will deal with who he advices him to do so.

In Tanzania, as long as you have respect, wherever you are in trouble you will always be welcomed, be you from DRC, Rwanda, Burundi, Uganda or Somalia you are warlmly welcome.

Unatakiwa kukumbuka kuwa PK si president number one in Africa, he is good leader but he is not the best, not even close to second to non. Kwa sasa anachofanya ni ku-place Rwanda kwenye ice peak,

subiri uone second term yake ikiisha ndio utaanza kuona his true colours.
 
ofcourse hakuna mtu anataka political fed or anybody land,hayo mambo invented na watu wasiotaka EA ,Uganda na Rwanda wanataka kupunguza gharama za usafirishaji na kuondoa usumbufu wa kufanya business within EA na ndio maana wanafanya hizo projects na Kenya kitu ambacho walianza na TZ lakini for some reasons hakikufanyika,sijawahi kumsikia hata siku moja Kagame akiongelea ardhi ya nchi nyingine au siasa na practically tunaona wanachofanya is all business na hakuna agenda ya siri au sijui Uhuru kuwachomelea political FED hizo zote ni fantasy tuu na wishfull thinking ambazo hazina maana yeyote,na ukweli forget na hakutakuwa na political fed at least in our lifetime..focus kwenye business kupunguza umaskini within EA na ndio point ya kuwa na EA sio blah blah za siasa ambazo hata CCM na CHADEMA wenyewe tayari ugomvi then leo ndio uingizer RPF or sijui KANU

Koba,
You and most Kenyans are blinded by perceived immediately economic benefits you are going to have under EAC integration. But you are conveniently ignoring ideological issues that may come sooner than you expect. I would like to remind you that EAC political federation was brought by Museveni and the idea that the most senior president in EAC will be the first EAC federation president was brought by Kagame ( clever for someone who doesn’t accept term limits). So I don’t think the two are taking political federation issue lightly as you and president Kenyata do. Lastly Kagame, Museveni and all tutsi refugee community have been living all over EA and hence know well EA geopolitics and have good intelligence in EA. I hope you are right but the article (Kagame and Museveni troubled relationship | INYENYERI NEWS) tells me Kagame is not somebody to mess with.
 
Kagame has:
1. Overthrown 2 governments: Uganda via NRM and Rwanda via RPA.
2. Killed 3 presidents: juvenal habyarimana, Cyprien Ntaryamira and Laurent Kabila.
3. Fought 2 wars in Congo + one with Uganda inside Congo!
4. Sponsored rebels/proxy army in congo (M23, CNDP).
5. Threatened the lives of two sitting presidents (including mine, kikwete).

Koba,


Number 5 is absolute correct. He also Threatened Museven. i will give you quote from the article Kagame and Museveni troubled relationship | INYENYERI NEWS

"At one point Kagame rang Museveni and mentioned to him that he knows every move of his life from what he eats to how he sleeps. This was very stressful to Museveni who in actual sense is getting aged."

Read the article before you comment.
 
Liar..mlifurumushwa Kigali na hizi porojo peleka kwa uninformed ------ haters na wenzako kina mokalla na sherrif arpaio ndio watakuamini,nafikiri story kama hizi za kutunga zinawafanya mjisikie vizuri,keep em coming!!
... You are mentally retarded, so let me just leave you alone!.. it is a wastage of time arguing with insane people of your level..
 
Hii thread imevamiwa na WATUTSI wameijaza MATUSI badala ya kutetea hoja!
Mkuu, wanakuwa na matusi hivyo kwa sababu hawana hoja; unajua hawakuwa na habari kwamba tunajua mipango yao ya kipumbavu yote; walidhani waTZ tupo tu, tunawaona kama ndugu zetu na hapo wangekuwa kwenye position nzuri kufanya wanayoyafanya huko DRC! Sasa wameshtuka kuwa they are naked before us ndo mana kila hoja wanaijibu kwa matusi na hasira na jaziba kama ilivyo asili yao. Hapa naongelea "extreme tutsi with evil ideologies"... wapo ambao ni wazuri, wenye tabia za kibinadamu na hawapendi kabisa uovu wanaoufanya wenzao..hili kundi ndio maadui wakubwa wa kagame na watu kama akina koba, murutongere...na wenye akili kama hizo..
 
Murutongore, all this time that were are on this forum, i did not know that you had that terrible experience, siku zote nafikiri kuwa wewe ni somekind of nationalist tu, pole sana mkuu may souls of those who passed away tragically rest in eternal peace.

Mimi nachukia sana uhutu na utusi. Kama kweli uliishi Tanzania utakuwa unajua vizuri kuwa Tanzania hatuchukii watusi wala wahutu, wote tunawakaribisha na tunaishi nao. Lakini ambacho hatupendi ni arrogance inayotoka kwa baadhi ya watu wa Rwanda, hasa pale tunapoanza kutukanwa na watu ambao tuliwapokea kwa mikono miwili na moyo mmoja.

Kagame mwenyewe ambaye ana ideology chafu kabisa amongo East African leaders, anasema machafu sana kuhusu Tanzania, hata akamtishia rais wetu, anasahau kuwa hata RPF yenyewe was almaost a quarter if not half of it Tanzanian (jamaa wengi sana kutoka Shinyanga walikuwa wapiganaji loyal wa RPF), anasahau kuwa ni sisi tuliwasaidia kuwadecimate FDLR milimani kule DRC. Leo anasema kuwa hataki kuongea na FDLR anasahau kuwa ni yeye mwenyewe alikuwa kwenye mazungumzo Arusha kabla ya Hyabyarimana kuuawa. Leo all of a sudden anakuja kutangaza superiority kuwa hawezi kuongea na yoyote, na he will deal with who he advices him to do so.

In Tanzania, as long as you have respect, wherever you are in trouble you will always be welcomed, be you from DRC, Rwanda, Burundi, Uganda or Somalia you are warlmly welcome.

Unatakiwa kukumbuka kuwa PK si president number one in Africa, he is good leader but he is not the best, not even close to second to non. Kwa sasa anachofanya ni ku-place Rwanda kwenye ice peak,

subiri uone second term yake ikiisha ndio utaanza kuona his true colours.
Mkuu Bongolander, umesema vizuri kwa sehemu kubwa; ila kagame sio good leader, he is a killer, violating human rights, these behavior disqualify him from being a "good leader", this may only be true to the extreme tutsi with evil ideologies of violence to take them to leadership because they think that, they are only ones who can lead others....kagame and museveni are responsible for the 1994 genocide in rwanda.. remember why they killed Prof. Jwani Mwaikusa...
 
Wewe huna akili timamu. Unajua maana ya kuwa mkimbizi wewe? Muulize mamako atakuambia. When my whole family was wiped out in 1959 by the hutus you do not know what you are talking about. When I stood there and watched my family being swept away in the river. YOU DO NOT KNOW AND WILL NEVER KNOW. When I was going to school there and I had to study 10 times harder because your tanzanian teachers told us that we are stupid and cannot get any further. YOU DO NOT KNOW. Despite all the obstacles that you placed on us we still passed our exams and became very important people. We became teachers, doctors, nurses, even leaders in your country and contributed to your country. But still everywhere you went you were a tutsi. Now we are in our own country and you are haters. Hao wahutu unaowatetea hawana time na wewe. Wanaendelea na maisha yao chini ya uongozi wa Raisi namba moja africa Paul Kagame. MUULIZE MAMA YAKO ATAKUPA HISTORIA HALAFU LABDA UTAACHA KUANDIKA UPUUZI HAPA
You dont have to tell me the chronology of conflicts between hutus and tutsis, I know it well, and I have visited many places of rwanda. Tell us the reasons for the 1959 conflicts!.. I am very well sure that, hutus didnt just wake up one morning and started killing tutsi (my stand is, I don't support any kind of human massacre). It is because of your pride that you can't be led by hutus (the true occupants of Rwanda and Burundi because you tutsis are just invaders), you wanted to turn them your slaves and all sorts of brutal treatments. So, did you think they could just buy in to your idiocy? That is why they had to fight back for their right. Tutsi with human heart didn't like this to happen, but you of kagame's trait it was a coffee cup. .. So, according to your explanation, now you are proving that, you absolute goal is to kill all hutus wherever they are!...Hivi nyie ndo mtaishi milele katika hii dunia???... I am so sorry for you...
 
ofcourse hakuna mtu anataka political fed or anybody land,hayo mambo invented na watu wasiotaka EA ,Uganda na Rwanda wanataka kupunguza gharama za usafirishaji na kuondoa usumbufu wa kufanya business within EA na ndio maana wanafanya hizo projects na Kenya kitu ambacho walianza na TZ lakini for some reasons hakikufanyika,sijawahi kumsikia hata siku moja Kagame akiongelea ardhi ya nchi nyingine au siasa na practically tunaona wanachofanya is all business na hakuna agenda ya siri au sijui Uhuru kuwachomelea political FED hizo zote ni fantasy tuu na wishfull thinking ambazo hazina maana yeyote,na ukweli forget na hakutakuwa na political fed at least in our lifetime..focus kwenye business kupunguza umaskini within EA na ndio point ya kuwa na EA sio blah blah za siasa ambazo hata CCM na CHADEMA wenyewe tayari ugomvi then leo ndio uingizer RPF or sijui KANU

..nakushauri usome joint communique za mikutano ya Ky,Rw,na Ug.

..mataifa hayo yameazimia ku-fast track kuelekea kwenye POLITICAL FEDERATION.

..Gen.Aronda Nyakairima wa Uganda ameteuliwa kuongoza a team of expert itakayo-deal na process ya political federation.

..kwa msingi huo suala la political federation lipo na linafanyiwa kazi. pia sikuelewi unaposema masuala ya ardhi hayapo. Je, una maana hiyo federation mtaunda hewani??
 
CattleRustler,

..wakati tunaisaka Tanganyika hawa jamaa wanatuletea habari ya muungano mwingine.

..Kenya wako kibiashara zaidi, wanachotaka ni bandari yao iwe na wateja wa kudumu.

..Rwanda na Uganda wakishaunganishwa na reli kutoka Mombasa, Kenyatta atawachomolea kwenye suala la federation.

cc Koba, murutongore, Young Tanzanian

its true kaka bt kwa faida yenu ni kuwa jeshi la UN likiongozwa na TZ NA SOUTH AFRCA PLUS MALAWI LIMETEKETEZA MAHANDAKI ASLIMIA 95% YA KAGAME AMBAYO ALIYAHAMISHA KUTOKA KIGALI NA KUYAPELEKA MSTUNI IKIWEMO MPAKAN MWA KIVU TOKA 1994 ALPOSABABSHA MAUAJI YA KMABAR BAADA YA KUMUUA RAIS WA RWANDA AMBAYE ALKUWA MHUTU JUVENALY HYBYMAANA NAKWA SASA KUTOKA VYANZO VYA IKULU YA KIGALI KAGAME ANAJIANDAA KUJTOA EAST AFRCA COMMUNITY...

PIA MAJASUSI WA RWANDA WAKISAIDIWA NA UGANDA WAMEMTEKA BODGADI WA KAGAME AMBAYE ALKMBILIA MAFCHON UGANDA CHINI YA MWAMVULI WA UN WAKATI MKUU WA MAJESHI GENERAL NYAMASWA(ALIYEPO SOUTH AFRCA) ALPOTOROKA AMBAO KWA PAMOJA WALKIMBIA KFO BAADA YA KAGAME KUHSI WANATAKA KUMPNDUA NA KUTAKA KUWAUA.
.BODI GUARD ALTOROKA JELA CZ NI KOMANDOO NA TUNAAAMIN ATATOROKA TENA NA KAGAME AMEJARBU ZAIDI YA MARA TATU KUMUUA GENERAL NYAMASWA KWA KUMTUMIA MAJASUSI SOUTH AFRCA ADI KUFKIA MAHALI SERKALI YA SOUTH AFRCA KUINGILIA KATI....
MAJBU MNAYO MKUU WA MAJESHI WA RWNDA KAKMBILIA SOUTH AFRCA DN UNAPGANA NA SOUTH AFRCA KWA MBNU ZIPI AMBAZO MKUU WA MAJESHI HAZJUI NA SRI ZIPI NA MAHANDAKI YAP ASIYOYAJUA...PGIEN MSTARI MSTUKANANE NA AGENT WA KAGAME
ATA KUNA TAARFA KUWA MWANASHERIA NGULI PROF, MWAIKUSA ALIULIWA NA MAJASUSI WA KAGAME/RWANDA BAADA YA KUTOA MAJUMUISHO YA KESI YA MAUAJI YA KIMBARI KWENYE MAHAKAMA YA ICTR ARUSHA AMBAPO KTK MAJUMUISHO YALIONYESHA KUWA KAGAMAE NI MTUHUMIWA NAMBA MOJA NA ALIULIWA SKU MOJA KABLA YA MAJAJI KUTOA HUKUMU CZ BAADA YA KUTUNGUA NDEGE YA HYBRHMANA WAHUTU WALKASRKA SO VTA IKAANZA SO BILA KAGAME KUTUNGUA NDEGE KUSINGETOKEA VTA JBU MNALO SASA KWA NN KAGAME NI MTUHUMIWA NAMVBA MOJA WA MAUAJI YA KMBARI....
 
its true kaka bt kwa faida yenu ni kuwa jeshi la UN likiongozwa na TZ NA SOUTH AFRCA PLUS MALAWI LIMETEKETEZA MAHANDAKI ASLIMIA 95% YA KAGAME AMBAYO ALIYAHAMISHA KUTOKA KIGALI NA KUYAPELEKA MSTUNI IKIWEMO MPAKAN MWA KIVU TOKA 1994 ALPOSABABSHA MAUAJI YA KMABAR BAADA YA KUMUUA RAIS WA RWANDA AMBAYE ALKUWA MHUTU JUVENALY HYBYMAANA NAKWA SASA KUTOKA VYANZO VYA IKULU YA KIGALI KAGAME ANAJIANDAA KUJTOA EAST AFRCA COMMUNITY...

PIA MAJASUSI WA RWANDA WAKISAIDIWA NA UGANDA WAMEMTEKA BODGADI WA KAGAME AMBAYE ALKMBILIA MAFCHON UGANDA CHINI YA MWAMVULI WA UN WAKATI MKUU WA MAJESHI GENERAL NYAMASWA(ALIYEPO SOUTH AFRCA) ALPOTOROKA AMBAO KWA PAMOJA WALKIMBIA KFO BAADA YA KAGAME KUHSI WANATAKA KUMPNDUA NA KUTAKA KUWAUA.
.BODI GUARD ALTOROKA JELA CZ NI KOMANDOO NA TUNAAAMIN ATATOROKA TENA NA KAGAME AMEJARBU ZAIDI YA MARA TATU KUMUUA GENERAL NYAMASWA KWA KUMTUMIA MAJASUSI SOUTH AFRCA ADI KUFKIA MAHALI SERKALI YA SOUTH AFRCA KUINGILIA KATI....
MAJBU MNAYO MKUU WA MAJESHI WA RWNDA KAKMBILIA SOUTH AFRCA DN UNAPGANA NA SOUTH AFRCA N TZ KWA MBNU ZIPI AMBAZO MKUU WA MAJESHI HAZJUI NA SRI ZIPI NA MAHANDAKI YAP ASIYOYAJUA MKUU WA RWANDA WA MAJESHI...PGIEN MSTARI MSTUKANANE NA AGENT WA KAGAME

ATA KUNA TAARFA KUWA MWANASHERIA NGULI WA TZ UDSM PROF, MWAIKUSA ALIULIWA NA MAJASUSI WA KAGAME/RWANDA BAADA YA KUTOA MAJUMUISHO YA KESI YA MAUAJI YA KIMBARI KWENYE MAHAKAMA YA ICTR ARUSHA AMBAPO KTK MAJUMUISHO YALIONYESHA KUWA KAGAMAE NI MTUHUMIWA NAMBA MOJA NA PROF. MWAIKUSA ALIULIWA SKU MOJA KABLA YA MAJAJI KUTOA HUKUMU AMBAO INGEMPELEKA KAGAME KFUNGONI CZ BAADA YA KUTUNGUA NDEGE YA HYBRHMANA WAHUTU WALKASRKA SO VTA IKAANZA SO BILA KAGAME KUTUNGUA NDEGE KUSINGETOKEA VTA JBU MNALO SASA KWA NN KAGAME NI MTUHUMIWA NAMBA MOJA WA MAUAJI YA KMBARI.... KAGAME AMAEKAMATA AKILI ZA WANYARWANDA HUSUSANI WATUSI KUWA KILA ANAYEMKOSOA NI ITERAAMWE JINA WANALOWAPA WAHUTU BT KUPTIA NCHI KAMA SISI TZ..SOUTH AFRCA ETC UKOMBOZI WA KUDUMU UNAFKA RWANDA ATA MAMA IBGHABRE MPNZANI MKUU WA KAGAME ALIYEMSNGZIA KESI YA UGAIDI NA KUMNYOA NYWELE NA KUMTUPA SELO ATATOKA SOON NA ATAKUWA MKOMBOZI WA WANYARWANDA WALIO WENGI CZ KWA SASA WANAOFAID RWANDA NI NDUGU NA MASHEMEJI WA KAGAME KUPTIA MADINI YA KONGO(KIVU KUSINI NA MASHARKI) PIA KAGAME ANATAKA KUCHUKUA EWNEO HILI NDIO MAANA ATA KABILA SENIOR KAGAME ALIMWAMBIA WAKAT TUPO PORN KUKUSAIDIA KUPGANA NA MOBUTU ULISEMA UTATUGAWIA KIVU KUSINI NA KASKAZIN SISI (RWANDA) NA UGANDA KABILA AKAMWAMBIA KAGAME YALE YALKUWA MAKUBALIANO YA MSTUNI SWEZI KUIUZA KONGO KWA WAASI...TAYARI MKAKATI WA KUMUU KABILA SENIOR UKAANZA ATA MKUU WA SASA WA MAJESHI WA RWANDA NDYE ALKUWA MKUU WA MAJESHI WA KABILA SENIOR KABLA AJATOROKA KURUDI KWAO RWANDA BAADA YA KAULI YA KABILA KWA KAGAME KUWA..(SWEZI KUIUZA DRC KONGO KWA WAASI KAMA WEWE NA RAFKI YAKO MSEVENI)
CC; WAPENDA AMANI CONGO NA RWANDA
 
its true kaka bt kwa faida yenu ni kuwa jeshi la UN likiongozwa na TZ NA SOUTH AFRCA PLUS MALAWI LIMETEKETEZA MAHANDAKI ASLIMIA 95% YA KAGAME AMBAYO ALIYAHAMISHA KUTOKA KIGALI NA KUYAPELEKA MSTUNI IKIWEMO MPAKAN MWA KIVU TOKA 1994 ALPOSABABSHA MAUAJI YA KMABAR BAADA YA KUMUUA RAIS WA RWANDA AMBAYE ALKUWA MHUTU JUVENALY HYBYMAANA NAKWA SASA KUTOKA VYANZO VYA IKULU YA KIGALI KAGAME ANAJIANDAA KUJTOA EAST AFRCA COMMUNITY...

PIA MAJASUSI WA RWANDA WAKISAIDIWA NA UGANDA WAMEMTEKA BODGADI WA KAGAME AMBAYE ALKMBILIA MAFCHON UGANDA CHINI YA MWAMVULI WA UN WAKATI MKUU WA MAJESHI GENERAL NYAMASWA(ALIYEPO SOUTH AFRCA) ALPOTOROKA AMBAO KWA PAMOJA WALKIMBIA KFO BAADA YA KAGAME KUHSI WANATAKA KUMPNDUA NA KUTAKA KUWAUA.
.BODI GUARD ALTOROKA JELA CZ NI KOMANDOO NA TUNAAAMIN ATATOROKA TENA NA KAGAME AMEJARBU ZAIDI YA MARA TATU KUMUUA GENERAL NYAMASWA KWA KUMTUMIA MAJASUSI SOUTH AFRCA ADI KUFKIA MAHALI SERKALI YA SOUTH AFRCA KUINGILIA KATI....
MAJBU MNAYO MKUU WA MAJESHI WA RWNDA KAKMBILIA SOUTH AFRCA DN UNAPGANA NA SOUTH AFRCA N TZ KWA MBNU ZIPI AMBAZO MKUU WA MAJESHI HAZJUI NA SRI ZIPI NA MAHANDAKI YAP ASIYOYAJUA MKUU WA RWANDA WA MAJESHI...PGIEN MSTARI MSTUKANANE NA AGENT WA KAGAME

ATA KUNA TAARFA KUWA MWANASHERIA NGULI WA TZ UDSM PROF, MWAIKUSA ALIULIWA NA MAJASUSI WA KAGAME/RWANDA BAADA YA KUTOA MAJUMUISHO YA KESI YA MAUAJI YA KIMBARI KWENYE MAHAKAMA YA ICTR ARUSHA AMBAPO KTK MAJUMUISHO YALIONYESHA KUWA KAGAMAE NI MTUHUMIWA NAMBA MOJA NA PROF. MWAIKUSA ALIULIWA SKU MOJA KABLA YA MAJAJI KUTOA HUKUMU AMBAO INGEMPELEKA KAGAME KFUNGONI CZ BAADA YA KUTUNGUA NDEGE YA HYBRHMANA WAHUTU WALKASRKA SO VTA IKAANZA SO BILA KAGAME KUTUNGUA NDEGE KUSINGETOKEA VTA JBU MNALO SASA KWA NN KAGAME NI MTUHUMIWA NAMBA MOJA WA MAUAJI YA KMBARI.... KAGAME AMAEKAMATA AKILI ZA WANYARWANDA HUSUSANI WATUSI KUWA KILA ANAYEMKOSOA NI ITERAAMWE JINA WANALOWAPA WAHUTU BT KUPTIA NCHI KAMA SISI TZ..SOUTH AFRCA ETC UKOMBOZI WA KUDUMU UNAFKA RWANDA ATA MAMA IBGHABRE MPNZANI MKUU WA KAGAME ALIYEMSNGZIA KESI YA UGAIDI NA KUMNYOA NYWELE NA KUMTUPA SELO ATATOKA SOON NA ATAKUWA MKOMBOZI WA WANYARWANDA WALIO WENGI CZ KWA SASA WANAOFAID RWANDA NI NDUGU NA MASHEMEJI WA KAGAME KUPTIA MADINI YA KONGO(KIVU KUSINI NA MASHARKI) PIA KAGAME ANATAKA KUCHUKUA EWNEO HILI NDIO MAANA ATA KABILA SENIOR KAGAME ALIMWAMBIA WAKAT TUPO PORN KUKUSAIDIA KUPGANA NA MOBUTU ULISEMA UTATUGAWIA KIVU KUSINI NA KASKAZIN SISI (RWANDA) NA UGANDA KABILA AKAMWAMBIA KAGAME YALE YALKUWA MAKUBALIANO YA MSTUNI SWEZI KUIUZA KONGO KWA WAASI...TAYARI MKAKATI WA KUMUU KABILA SENIOR UKAANZA ATA MKUU WA SASA WA MAJESHI WA RWANDA NDYE ALKUWA MKUU WA MAJESHI WA KABILA SENIOR KABLA AJATOROKA KURUDI KWAO RWANDA BAADA YA KAULI YA KABILA KWA KAGAME KUWA..(SWEZI KUIUZA DRC KONGO KWA WAASI KAMA WEWE NA RAFKI YAKO MSEVENI)
CC; WAPENDA AMANI CONGO NA RWANDA
 
Mmoja mwenye busara akiacha kijibu mjadala utaisha. It has no.meaning to humanity. Just hatred to benefit politician. Sijapenda manen yeno
 
Number 2 and 5 is all lies,number 4 is debatable and for number 1 and 3 Kagame is my HERO na hata Nyerere ali support!!

EA%20August%2008%2011%20Kagame%20welcomes%20M7.jpg

nadhani unasahau hii saga in relation to number 5.
 
Wewe huna akili timamu. Unajua maana ya kuwa mkimbizi wewe? Muulize mamako atakuambia. When my whole family was wiped out in 1959 by the hutus you do not know what you are talking about. When I stood there and watched my family being swept away in the river. YOU DO NOT KNOW AND WILL NEVER KNOW. When I was going to school there and I had to study 10 times harder because your tanzanian teachers told us that we are stupid and cannot get any further. YOU DO NOT KNOW. Despite all the obstacles that you placed on us we still passed our exams and became very important people. We became teachers, doctors, nurses, even leaders in your country and contributed to your country. But still everywhere you went you were a tutsi. Now we are in our own country and you are haters. Hao wahutu unaowatetea hawana time na wewe. Wanaendelea na maisha yao chini ya uongozi wa Raisi namba moja africa Paul Kagame. MUULIZE MAMA YAKO ATAKUPA HISTORIA HALAFU LABDA UTAACHA KUANDIKA UPUUZI HAPA

1. I fail to understand kwa nini unasema waliowaua wazazi wako ni simply "wahutu" kwa kumaanisha wahutu wote wana share responsibility for that. while i sympathize with your loss, wale wakimbizi wa 1959 kama kagame (and maybe your family) walikuwa ni wale elites ambao walipinduliwa. Some of them even threw themselves in the river (may be the same one you are referring to) ili wasitawaliwe na 'watumwa'. So you see haikuwa simply vita dhidi ya watutsi, if that was true, where did those tutsi who died in the 94 genocide came from? I repeat, it was a revolution against the elite tutsi, not indiscriminate killing like Kagame does in the Congo under the guise of hunting FDLR. Ndio maana serikali iliyotokana na hayo mapinduzi ilitambuliwa dunia nzima.
na lets not forget the FACT kwamba even after mapinduzi, Tutsis have always had their highest population in Rwanda! Kama ingekuwa si hivyo majority ya watutsi si wangekuwa wakimbizi kama wewe? How do you explain your claim kwamba ulikuwa mkimbizi Tanzania wakati kulikuwa na waziri kama Lando Ndasingwa kaka yake Louis Mushikiwabo kwenye serikali hiyo hiyo? yeye alikuwa mtutsi nusu?
2. Concerning the hardships you went through mi siwezi kucomment kwa sababu siwezi kuverify ila naweza kukupa point zifuatazo.
  • Tanzania ndiyo iliyowahifadhi 1959, hilo hata wewe unakiri.
  • Tanzania imewapa uraia wengi tu, mmekulia hapa, mmesoma hapa, mmepata kazi na wengine mmeacha uraia mkarudi kwenu kama Donald kaberuka PHD, na wengineo.
  • Tanzania hiyohiyo ikafanya jitihada za kusuluhisha migogoro yenu kupitia Arusha accords.
  • Baada ya "Genocide" Tanzania hii hii ikakubali kuweka mahakama ya ICTR nchini kwetu, ambayo mpaka sasa ipo.
  • Tanzania hii hii ndio iliyoipigia chapuo Rwanda iingizwe kwenye EAC, it wasn't your brother uganda, but Us!
Unaona hii maneno yako ya kuashiria we hate tutsis yasivyo na akili wachilia mbali ukweli? what obstacles did Tanzanias put on your way? The truth ni kwamba you guys behave like children, mnadhani ufalme feki mliopewa na mbelgiji unatakiwa kudumishwa. Hatuko tayari hata siku moja kutetea ufalme wa watutsi over wahutu, sisi wenyewe Tanzania ni zao la kulinda mapinduzi ya Zanzibar. Siku zote tuko neutral, we have no reason ya kutetea wauaji, tuliwahukumu wahutu kwa makosa yao, na tutawahukumu watutsi kwa makosa yao. Angalia rekodi yetu kabla hujaongea.
 
1. I fail to understand kwa nini unasema waliowaua wazazi wako ni simply "wahutu" kwa kumaanisha wahutu wote wana share responsibility for that. while i sympathize with your loss, wale wakimbizi wa 1959 kama kagame (and maybe your family) walikuwa ni wale elites ambao walipinduliwa. Some of them even threw themselves in the river (may be the same one you are referring to) ili wasitawaliwe na 'watumwa'. So you see haikuwa simply vita dhidi ya watutsi, if that was true, where did those tutsi who died in the 94 genocide came from? I repeat, it was a revolution against the elite tutsi, not indiscriminate killing like Kagame does in the Congo under the guise of hunting FDLR. Ndio maana serikali iliyotokana na hayo mapinduzi ilitambuliwa dunia nzima.
na lets not forget the FACT kwamba even after mapinduzi, Tutsis have always had their highest population in Rwanda! Kama ingekuwa si hivyo majority ya watutsi si wangekuwa wakimbizi kama wewe? How do you explain your claim kwamba ulikuwa mkimbizi Tanzania wakati kulikuwa na waziri kama Lando Ndasingwa kaka yake Louis Mushikiwabo kwenye serikali hiyo hiyo? yeye alikuwa mtutsi nusu?
2. Concerning the hardships you went through mi siwezi kucomment kwa sababu siwezi kuverify ila naweza kukupa point zifuatazo.
  • Tanzania ndiyo iliyowahifadhi 1959, hilo hata wewe unakiri.
  • Tanzania imewapa uraia wengi tu, mmekulia hapa, mmesoma hapa, mmepata kazi na wengine mmeacha uraia mkarudi kwenu kama Donald kaberuka PHD, na wengineo.
  • Tanzania hiyohiyo ikafanya jitihada za kusuluhisha migogoro yenu kupitia Arusha accords.
  • Baada ya "Genocide" Tanzania hii hii ikakubali kuweka mahakama ya ICTR nchini kwetu, ambayo mpaka sasa ipo.
  • Tanzania hii hii ndio iliyoipigia chapuo Rwanda iingizwe kwenye EAC, it wasn't your brother uganda, but Us!
Unaona hii maneno yako ya kuashiria we hate tutsis yasivyo na akili wachilia mbali ukweli? what obstacles did Tanzanias put on your way? The truth ni kwamba you guys behave like children, mnadhani ufalme feki mliopewa na mbelgiji unatakiwa kudumishwa. Hatuko tayari hata siku moja kutetea ufalme wa watutsi over wahutu, sisi wenyewe Tanzania ni zao la kulinda mapinduzi ya Zanzibar. Siku zote tuko neutral, we have no reason ya kutetea wauaji, tuliwahukumu wahutu kwa makosa yao, na tutawahukumu watutsi kwa makosa yao. Angalia rekodi yetu kabla hujaongea.

hakuna cha kuongeza ... wataelewa tu!
 
1. I fail to understand kwa nini unasema waliowaua wazazi wako ni simply "wahutu" kwa kumaanisha wahutu wote wana share responsibility for that. while i sympathize with your loss, wale wakimbizi wa 1959 kama kagame (and maybe your family) walikuwa ni wale elites ambao walipinduliwa. Some of them even threw themselves in the river (may be the same one you are referring to) ili wasitawaliwe na 'watumwa'. So you see haikuwa simply vita dhidi ya watutsi, if that was true, where did those tutsi who died in the 94 genocide came from? I repeat, it was a revolution against the elite tutsi, not indiscriminate killing like Kagame does in the Congo under the guise of hunting FDLR. Ndio maana serikali iliyotokana na hayo mapinduzi ilitambuliwa dunia nzima.
na lets not forget the FACT kwamba even after mapinduzi, Tutsis have always had their highest population in Rwanda! Kama ingekuwa si hivyo majority ya watutsi si wangekuwa wakimbizi kama wewe? How do you explain your claim kwamba ulikuwa mkimbizi Tanzania wakati kulikuwa na waziri kama Lando Ndasingwa kaka yake Louis Mushikiwabo kwenye serikali hiyo hiyo? yeye alikuwa mtutsi nusu?
2. Concerning the hardships you went through mi siwezi kucomment kwa sababu siwezi kuverify ila naweza kukupa point zifuatazo.
  • Tanzania ndiyo iliyowahifadhi 1959, hilo hata wewe unakiri.
  • Tanzania imewapa uraia wengi tu, mmekulia hapa, mmesoma hapa, mmepata kazi na wengine mmeacha uraia mkarudi kwenu kama Donald kaberuka PHD, na wengineo.
  • Tanzania hiyohiyo ikafanya jitihada za kusuluhisha migogoro yenu kupitia Arusha accords.
  • Baada ya "Genocide" Tanzania hii hii ikakubali kuweka mahakama ya ICTR nchini kwetu, ambayo mpaka sasa ipo.
  • Tanzania hii hii ndio iliyoipigia chapuo Rwanda iingizwe kwenye EAC, it wasn't your brother uganda, but Us!
Unaona hii maneno yako ya kuashiria we hate tutsis yasivyo na akili wachilia mbali ukweli? what obstacles did Tanzanias put on your way? The truth ni kwamba you guys behave like children, mnadhani ufalme feki mliopewa na mbelgiji unatakiwa kudumishwa. Hatuko tayari hata siku moja kutetea ufalme wa watutsi over wahutu, sisi wenyewe Tanzania ni zao la kulinda mapinduzi ya Zanzibar. Siku zote tuko neutral, we have no reason ya kutetea wauaji, tuliwahukumu wahutu kwa makosa yao, na tutawahukumu watutsi kwa makosa yao. Angalia rekodi yetu kabla hujaongea.

And what is your point? huna idea na unachoongea na hujui Historia ya Rwanda ndio maana unakuja na upuuzi kama huu,and FYI genocide against tutsi haikuchagua elite or non elite,sad thing hizo garbage unazoamini na kuandika ndio walidanganywa wenzako wakabeba mapanga wakaanza kuua watutsi,say what you say lakini genocide against tutsi is a self explanatory na kilichokuwa kinaendelea Rwanda under Habyarimana...done and out with this topic!!!!
 
..nakushauri usome joint communique za mikutano ya Ky,Rw,na Ug.

..mataifa hayo yameazimia ku-fast track kuelekea kwenye POLITICAL FEDERATION.

..Gen.Aronda Nyakairima wa Uganda ameteuliwa kuongoza a team of expert itakayo-deal na process ya political federation.

..kwa msingi huo suala la political federation lipo na linafanyiwa kazi. pia sikuelewi unaposema masuala ya ardhi hayapo. Je, una maana hiyo federation mtaunda hewani??

Endelea kuongelea ardhi na political Fed,wameshawajua ndio maana hata hawangaiki tena na TZ na wanaolalamika ni nyie wenyewe eti mmetengwa,hakuna mtu anataka kupoteza muda kwa blah blah acha kenyata ajipatie customers wa kudumu na wao wasafirishe mizigo yao bila usumbufu
 
Back
Top Bottom