Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,377
Lkn unapenda wa wenzio.Ndio maana sipend watoto wa kike
Lkn unapenda wa wenzio.Ndio maana sipend watoto wa kike
Dingi kanuna hapo pembeni anajisemea kimoyomoyo,Ingekuwa enzi zangu
Mkuu nina clip nimetumiwa yaani ukiiona anachokifanya bibi harusi ni aibu sana kwa wazazi wakeHuwa najiuliza sana wale wazee weru wa enzi za mwalimu amekaa high table pale halafu mnakuja mnacheza cheza km harusi zenu sasa hivi, bibi harusi anakata viuno Mbele ya wazee! Wale aaargh wapi nadhani ndoa isingekuwepo
Ndio maana sipend watoto wa kike
endelea kukaa nae kama unaona wa muhimu"Huyu kijana, atanitunzia binti yangu kweli?"
Hebu iweke hapaMkuu nina clip nimetumiwa yaani ukiiona anachokifanya bibi harusi ni aibu sana kwa wazazi wake
Namba yake pm pls kuna buku ten hapakuna siku manzi mmoja aliwahi nitamkia laiti kama wazazi wangejua ninachokifanya saa hizi wangekataa mm si mtoto wao..
kuna siku manzi mmoja aliwahi nitamkia laiti kama wazazi wangejua ninachokifanya saa hizi wangekataa mm si mtoto wao..

