What do you miss about your ex?

What do you miss about your ex?

..Fafanua vizuri mkuu,..
Yaani huyo binti nilimuoa akiwa na mtoto mdogo wa mwaka mmoja na kama miezi mitatu hivi japo awali hakuwa ameniambia kuwa ana mtoto kwan alikua anahisi labda na mimi ningelimkimbia kama ilivyokua kwa huyo mwanaume wake wa awali ambaye alimkimbia baada ya kumpa mimba akiwa bado ni mwanafunzi sasa mimi nilikutana naye akiwa form four tukatengeneza urafiki ambapo nilikua nikimsaidia mambo mengi ya masomo ukizingatia hakuwahi kusoma form three kwakua alikua kwenye mambo ya uzazi kwa siri na ndipo ilipofika hatua ya kuingia form four akaingia darasani kujiunga na wenzake kitu ambacho nilikuja kugundua baadae kwani mwanzoni hakua muwazi japo nilimbana sana kisa cha yeye kuwa shallow sana kwenye topic za form three akawa ananiambia sikua naelewa kwa hiyo nikimfundisha mm ndo anaelewa kumbe hakusoma kabisa. Basi kwa namna hiyo ndipo mapenzi yalianzia na hatimaye kumchumbia mara baada ya matokeo ya form four kutoka na ndipo nilipokuja kugundua kuwa ana mtoto na nilistushwa sana lkn ikabidi niamue tu kumlea mtoto wake pindi nitakapomuoa na ndivyo ilivyokua nililea mtoto wake ambaye alikua na matatizo ya kiafya ikiwemo kuumwa utapiamlo hali iliyopelekea mtoto kushindwa kusimama mapema na nililishughulikia hilo mpk akaweza kutembea kabisa na ndipo nilipoamua kumpeleka mke wangu masomoni ambapo alinitaka nimpeleke chuo cha ualimu na nilifanikiwa kupata chuo na kumsomesha mpk alipomaliza huku nyuma wakt yeye yuko chuo mimi nilikua na zoezi la kumlea mtoto wake mpk pale alipohitimu masomo yake na hatimaye kujipatia ajira ambayo ndo anayo mpk saaa na hii ajira aliipata baada ya kunipatia mtoto wa kiume. Lakini tatizo lilikuja pale alipoanza kupokea mshahara wake ambapo alianza kunigeuzia kibao kwa kunionesha kiburi cha wazi wazi,ikawa kila siku ni magomvi yasiyo na mwisho mpk nikawa naiona nyumba yangu ni chungu kukalika na kila mkigombana lazima adai talaka yake, hana stara ktk kunijibu ilifikia hatua hata ukijaribu kumkumbusha wema niliomtendea basi atanijibu kirahisi tu eti "umenisaidia kwa sababu unaniona nanoga mbona hao wengine wa kabla yangu hukuwasomesha basi wala kuwahudumia kama ulivyonihudumia mie basi ndo ujue mi nanoga kuliko wale" daah yaani nikikumbuka adha nilizokumbana nazo katika kutengeneza maisha yake ikiwemo gharama za ada, pocket money na usumbufu nilioupata katika kumlea mtoto wake kipindi yeye hayupo halafu leo asione thamani yangu mbaya zaidi ameanzisha mahusiano ya kimapenzi na baadhi ya maafisa pale halmashauri ambao wanashiriki kunifanyia firigisu firigisu kwenye ajira yangu maana nimepona mara mbili kuhamishwa kituo cha kazi ili nipelekwe porini huko ili wao waendelee kula bata kwa Uhuru wao lkn kwa ubishi wangu wakshindwa kulifanikisha hilo na sasa wamehamia mahakamani ambapo wanajitahidi kumuhonga hakim na kumsukuma aendeshe kesi ya madai aliyoifungua huyo mtalaka wangu vile atakavyo mke ikiwemo kuuza nyumba ambayo niliijenga mimi mwenyewe pindi yeye mke akiwa ndo mwaka wa mwisho chuoni na ukizingatia tuna mtoto ukiuliza mahakamni kwa nn tuuze nyumba wakti tuna mtoto kwa nini mimi nisimlipe kiasi fulani huyu mdai kama fidia(ambacho nilipendekeza) ili nyumba iwe mali ya mtoto? Eti hakimu asema huyo mtoto atatafuta yeye mwenyewe akikua yaani inafika kipindi unatamani umzabe makofi hakim kwa namna anavyopindisha sheria na mpk sasa bado kesi hii inaendelea lkn ni katika mazingira magum sana kwangu. Kwa hiyo siwezi kummiss mtu kama huyo aisee
 
Upole wake..he was easy going..na yote tisa kumi sijawahi pewa pesa na mtu kama vile aisee...milioni laki 5 nikigusa tu dear nna shida nsaidie nakuomba mpenzi, hioo kitu na box...
Duuuuuh kwanini ulimuacha sasa
 
Mi hata sikumbuki maana nahaba ya hubby wangu yanacover kila mwanya
 
Yaani huyo binti nilimuoa akiwa na mtoto mdogo wa mwaka mmoja na kama miezi mitatu hivi japo awali hakuwa ameniambia kuwa ana mtoto kwan alikua anahisi labda na mimi ningelimkimbia kama ilivyokua kwa huyo mwanaume wake wa awali ambaye alimkimbia baada ya kumpa mimba akiwa bado ni mwanafunzi sasa mimi nilikutana naye akiwa form four tukatengeneza urafiki ambapo nilikua nikimsaidia mambo mengi ya masomo ukizingatia hakuwahi kusoma form three kwakua alikua kwenye mambo ya uzazi kwa siri na ndipo ilipofika hatua ya kuingia form four akaingia darasani kujiunga na wenzake kitu ambacho nilikuja kugundua baadae kwani mwanzoni hakua muwazi japo nilimbana sana kisa cha yeye kuwa shallow sana kwenye topic za form three akawa ananiambia sikua naelewa kwa hiyo nikimfundisha mm ndo anaelewa kumbe hakusoma kabisa. Basi kwa namna hiyo ndipo mapenzi yalianzia na hatimaye kumchumbia mara baada ya matokeo ya form four kutoka na ndipo nilipokuja kugundua kuwa ana mtoto na nilistushwa sana lkn ikabidi niamue tu kumlea mtoto wake pindi nitakapomuoa na ndivyo ilivyokua nililea mtoto wake ambaye alikua na matatizo ya kiafya ikiwemo kuumwa utapiamlo hali iliyopelekea mtoto kushindwa kusimama mapema na nililishughulikia hilo mpk akaweza kutembea kabisa na ndipo nilipoamua kumpeleka mke wangu masomoni ambapo alinitaka nimpeleke chuo cha ualimu na nilifanikiwa kupata chuo na kumsomesha mpk alipomaliza huku nyuma wakt yeye yuko chuo mimi nilikua na zoezi la kumlea mtoto wake mpk pale alipohitimu masomo yake na hatimaye kujipatia ajira ambayo ndo anayo mpk saaa na hii ajira aliipata baada ya kunipatia mtoto wa kiume. Lakini tatizo lilikuja pale alipoanza kupokea mshahara wake ambapo alianza kunigeuzia kibao kwa kunionesha kiburi cha wazi wazi,ikawa kila siku ni magomvi yasiyo na mwisho mpk nikawa naiona nyumba yangu ni chungu kukalika na kila mkigombana lazima adai talaka yake, hana stara ktk kunijibu ilifikia hatua hata ukijaribu kumkumbusha wema niliomtendea basi atanijibu kirahisi tu eti "umenisaidia kwa sababu unaniona nanoga mbona hao wengine wa kabla yangu hukuwasomesha basi wala kuwahudumia kama ulivyonihudumia mie basi ndo ujue mi nanoga kuliko wale" daah yaani nikikumbuka adha nilizokumbana nazo katika kutengeneza maisha yake ikiwemo gharama za ada, pocket money na usumbufu nilioupata katika kumlea mtoto wake kipindi yeye hayupo halafu leo asione thamani yangu mbaya zaidi ameanzisha mahusiano ya kimapenzi na baadhi ya maafisa pale halmashauri ambao wanashiriki kunifanyia firigisu firigisu kwenye ajira yangu maana nimepona mara mbili kuhamishwa kituo cha kazi ili nipelekwe porini huko ili wao waendelee kula bata kwa Uhuru wao lkn kwa ubishi wangu wakshindwa kulifanikisha hilo na sasa wamehamia mahakamani ambapo wanajitahidi kumuhonga hakim na kumsukuma aendeshe kesi ya madai aliyoifungua huyo mtalaka wangu vile atakavyo mke ikiwemo kuuza nyumba ambayo niliijenga mimi mwenyewe pindi yeye mke akiwa ndo mwaka wa mwisho chuoni na ukizingatia tuna mtoto ukiuliza mahakamni kwa nn tuuze nyumba wakti tuna mtoto kwa nini mimi nisimlipe kiasi fulani huyu mdai kama fidia(ambacho nilipendekeza) ili nyumba iwe mali ya mtoto? Eti hakimu asema huyo mtoto atatafuta yeye mwenyewe akikua yaani inafika kipindi unatamani umzabe makofi hakim kwa namna anavyopindisha sheria na mpk sasa bado kesi hii inaendelea lkn ni katika mazingira magum sana kwangu. Kwa hiyo siwezi kummiss mtu kama huyo aisee
Kikweli hiii post imenigusa mno.
Wanawake sie sometime sio kabisa.
Kila mtu ana historia lkn nyingine zinaumiza mno,binafsi nimeumizwa mno maishani mwangu ila Mungu yu mwema sana leo nimesimama peke yangu mimi kama mimi kwa kauli mbiu "mapenzi yamenishinda" sitaki hata kukumbuka anyway siku hazigandi haya ni maisha tu acha iwe hivyo.
 
Hii text ina onyesha wewe uliachwa kwa maumivi makali sana na bado una hasira na kinyongo nae that all about love
Wala sikuachwa, mimi ndio nilimuacha.
Na wala sina kinyongo nae.
But how comes unamkumbuka mtu ambae ulishaona hafai katika maisha yako na uka move on na mtu mwingine??
Hizo ni akili za makinikia tu
 
Wala sikuachwa, mimi ndio nilimuacha.
Na wala sina kinyongo nae.
But how comes unamkumbuka mtu ambae ulishaona hafai katika maisha yako na uka move on na mtu mwingine??
Hizo ni akili za makinikia tu
Nyie mliachana kwa visa ndo maana bado una hasira
Mtoa mada anazingumzia Ex-girl friends as well as Ex-boy friends those who break in good
Sasa wewe huwezi kumkumbuka mtu mlie achana kwa ubaya
 
Something is very wrong kwa nyinyi madada...unatoa ushahidi wako kuhusu jinsi unavyomkunbuka ex wako na baadae ufungue uzi kutaka kuolewa na hawahawa members wa kiume. Nyinyi ndo mnafanya vigezo vya wanaume kuoa wanawake wenye bik**
Samahani sina nia mbaya
 
Yaani huyo binti nilimuoa akiwa na mtoto mdogo wa mwaka mmoja na kama miezi mitatu hivi japo awali hakuwa ameniambia kuwa ana mtoto kwan alikua anahisi labda na mimi ningelimkimbia kama ilivyokua kwa huyo mwanaume wake wa awali ambaye alimkimbia baada ya kumpa mimba akiwa bado ni mwanafunzi sasa mimi nilikutana naye akiwa form four tukatengeneza urafiki ambapo nilikua nikimsaidia mambo mengi ya masomo ukizingatia hakuwahi kusoma form three kwakua alikua kwenye mambo ya uzazi kwa siri na ndipo ilipofika hatua ya kuingia form four akaingia darasani kujiunga na wenzake kitu ambacho nilikuja kugundua baadae kwani mwanzoni hakua muwazi japo nilimbana sana kisa cha yeye kuwa shallow sana kwenye topic za form three akawa ananiambia sikua naelewa kwa hiyo nikimfundisha mm ndo anaelewa kumbe hakusoma kabisa. Basi kwa namna hiyo ndipo mapenzi yalianzia na hatimaye kumchumbia mara baada ya matokeo ya form four kutoka na ndipo nilipokuja kugundua kuwa ana mtoto na nilistushwa sana lkn ikabidi niamue tu kumlea mtoto wake pindi nitakapomuoa na ndivyo ilivyokua nililea mtoto wake ambaye alikua na matatizo ya kiafya ikiwemo kuumwa utapiamlo hali iliyopelekea mtoto kushindwa kusimama mapema na nililishughulikia hilo mpk akaweza kutembea kabisa na ndipo nilipoamua kumpeleka mke wangu masomoni ambapo alinitaka nimpeleke chuo cha ualimu na nilifanikiwa kupata chuo na kumsomesha mpk alipomaliza huku nyuma wakt yeye yuko chuo mimi nilikua na zoezi la kumlea mtoto wake mpk pale alipohitimu masomo yake na hatimaye kujipatia ajira ambayo ndo anayo mpk saaa na hii ajira aliipata baada ya kunipatia mtoto wa kiume. Lakini tatizo lilikuja pale alipoanza kupokea mshahara wake ambapo alianza kunigeuzia kibao kwa kunionesha kiburi cha wazi wazi,ikawa kila siku ni magomvi yasiyo na mwisho mpk nikawa naiona nyumba yangu ni chungu kukalika na kila mkigombana lazima adai talaka yake, hana stara ktk kunijibu ilifikia hatua hata ukijaribu kumkumbusha wema niliomtendea basi atanijibu kirahisi tu eti "umenisaidia kwa sababu unaniona nanoga mbona hao wengine wa kabla yangu hukuwasomesha basi wala kuwahudumia kama ulivyonihudumia mie basi ndo ujue mi nanoga kuliko wale" daah yaani nikikumbuka adha nilizokumbana nazo katika kutengeneza maisha yake ikiwemo gharama za ada, pocket money na usumbufu nilioupata katika kumlea mtoto wake kipindi yeye hayupo halafu leo asione thamani yangu mbaya zaidi ameanzisha mahusiano ya kimapenzi na baadhi ya maafisa pale halmashauri ambao wanashiriki kunifanyia firigisu firigisu kwenye ajira yangu maana nimepona mara mbili kuhamishwa kituo cha kazi ili nipelekwe porini huko ili wao waendelee kula bata kwa Uhuru wao lkn kwa ubishi wangu wakshindwa kulifanikisha hilo na sasa wamehamia mahakamani ambapo wanajitahidi kumuhonga hakim na kumsukuma aendeshe kesi ya madai aliyoifungua huyo mtalaka wangu vile atakavyo mke ikiwemo kuuza nyumba ambayo niliijenga mimi mwenyewe pindi yeye mke akiwa ndo mwaka wa mwisho chuoni na ukizingatia tuna mtoto ukiuliza mahakamni kwa nn tuuze nyumba wakti tuna mtoto kwa nini mimi nisimlipe kiasi fulani huyu mdai kama fidia(ambacho nilipendekeza) ili nyumba iwe mali ya mtoto? Eti hakimu asema huyo mtoto atatafuta yeye mwenyewe akikua yaani inafika kipindi unatamani umzabe makofi hakim kwa namna anavyopindisha sheria na mpk sasa bado kesi hii inaendelea lkn ni katika mazingira magum sana kwangu. Kwa hiyo siwezi kummiss mtu kama huyo aisee
mkuu pole sana, ningekuwa mimi sijui tu ingekuwaje. mambo yatakuwa sawa ni majaribu tu
 
Yaani huyo binti nilimuoa akiwa na mtoto mdogo wa mwaka mmoja na kama miezi mitatu hivi japo awali hakuwa ameniambia kuwa ana mtoto kwan alikua anahisi labda na mimi ningelimkimbia kama ilivyokua kwa huyo mwanaume wake wa awali ambaye alimkimbia baada ya kumpa mimba akiwa bado ni mwanafunzi sasa mimi nilikutana naye akiwa form four tukatengeneza urafiki ambapo nilikua nikimsaidia mambo mengi ya masomo ukizingatia hakuwahi kusoma form three kwakua alikua kwenye mambo ya uzazi kwa siri na ndipo ilipofika hatua ya kuingia form four akaingia darasani kujiunga na wenzake kitu ambacho nilikuja kugundua baadae kwani mwanzoni hakua muwazi japo nilimbana sana kisa cha yeye kuwa shallow sana kwenye topic za form three akawa ananiambia sikua naelewa kwa hiyo nikimfundisha mm ndo anaelewa kumbe hakusoma kabisa. Basi kwa namna hiyo ndipo mapenzi yalianzia na hatimaye kumchumbia mara baada ya matokeo ya form four kutoka na ndipo nilipokuja kugundua kuwa ana mtoto na nilistushwa sana lkn ikabidi niamue tu kumlea mtoto wake pindi nitakapomuoa na ndivyo ilivyokua nililea mtoto wake ambaye alikua na matatizo ya kiafya ikiwemo kuumwa utapiamlo hali iliyopelekea mtoto kushindwa kusimama mapema na nililishughulikia hilo mpk akaweza kutembea kabisa na ndipo nilipoamua kumpeleka mke wangu masomoni ambapo alinitaka nimpeleke chuo cha ualimu na nilifanikiwa kupata chuo na kumsomesha mpk alipomaliza huku nyuma wakt yeye yuko chuo mimi nilikua na zoezi la kumlea mtoto wake mpk pale alipohitimu masomo yake na hatimaye kujipatia ajira ambayo ndo anayo mpk saaa na hii ajira aliipata baada ya kunipatia mtoto wa kiume. Lakini tatizo lilikuja pale alipoanza kupokea mshahara wake ambapo alianza kunigeuzia kibao kwa kunionesha kiburi cha wazi wazi,ikawa kila siku ni magomvi yasiyo na mwisho mpk nikawa naiona nyumba yangu ni chungu kukalika na kila mkigombana lazima adai talaka yake, hana stara ktk kunijibu ilifikia hatua hata ukijaribu kumkumbusha wema niliomtendea basi atanijibu kirahisi tu eti "umenisaidia kwa sababu unaniona nanoga mbona hao wengine wa kabla yangu hukuwasomesha basi wala kuwahudumia kama ulivyonihudumia mie basi ndo ujue mi nanoga kuliko wale" daah yaani nikikumbuka adha nilizokumbana nazo katika kutengeneza maisha yake ikiwemo gharama za ada, pocket money na usumbufu nilioupata katika kumlea mtoto wake kipindi yeye hayupo halafu leo asione thamani yangu mbaya zaidi ameanzisha mahusiano ya kimapenzi na baadhi ya maafisa pale halmashauri ambao wanashiriki kunifanyia firigisu firigisu kwenye ajira yangu maana nimepona mara mbili kuhamishwa kituo cha kazi ili nipelekwe porini huko ili wao waendelee kula bata kwa Uhuru wao lkn kwa ubishi wangu wakshindwa kulifanikisha hilo na sasa wamehamia mahakamani ambapo wanajitahidi kumuhonga hakim na kumsukuma aendeshe kesi ya madai aliyoifungua huyo mtalaka wangu vile atakavyo mke ikiwemo kuuza nyumba ambayo niliijenga mimi mwenyewe pindi yeye mke akiwa ndo mwaka wa mwisho chuoni na ukizingatia tuna mtoto ukiuliza mahakamni kwa nn tuuze nyumba wakti tuna mtoto kwa nini mimi nisimlipe kiasi fulani huyu mdai kama fidia(ambacho nilipendekeza) ili nyumba iwe mali ya mtoto? Eti hakimu asema huyo mtoto atatafuta yeye mwenyewe akikua yaani inafika kipindi unatamani umzabe makofi hakim kwa namna anavyopindisha sheria na mpk sasa bado kesi hii inaendelea lkn ni katika mazingira magum sana kwangu. Kwa hiyo siwezi kummiss mtu kama huyo aisee
Daaah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom