Leo tutapaprika saa ngapi jamani![emoji39]......kwa sababu jana ilikuwa rahaa kweli kweli![emoji1]Intelligence
TabiaWhat do intelligent guys look for in a girl
Vitaje apoVigezo vyangu vigumu sn
Hujapata mwenza?!Vitaje apo
Very trueIntelligence
Ata wanaume wa hivyo wapo!!! Ukiwa unamuelewesha kitu kama vile unaongea na ukuta!!! Akili iko too slowVery true
Kuna wanawake wana "looks" za kufa mtu lakini kichwani ni sifuri hadi kero. Hamna kitu cha maana mnaweza kuongea
Hakuna asiekua na makalioMungu anakuona na ambaye ana..
Ni kweli. Vilaza wapo pande zote mbili. Mkikutana Intellligent si rahisi kuachana. Hata mkiachana kimapenzi uwezekanao mkubwa mtabaki marafiki na kuendelea kuwasiliana kwa muda mrefuAta wanaume wa hivyo wapo!!! Ukiwa unamuelewesha kitu kama vile unaongea na ukuta!!! Akili iko too slow
Kweli kabisaNi kweli. Vilaza wapo pande zote mbili. Mkikutana Intellligent si rahisi kuachana. Hata mkiachana kimapenzi uwezekanao mkubwa mtabaki marafiki na kuendelea kuwasiliana kwa muda mrefu
HAMNAGA FORMULA WALA, U FIND ONE PERFECT FOR U THATS ALL... BASIC NI KWAMBA AWE ANA UCHI.. SI NDYO?!What do intelligent guys look for in a girl