Pole mwaya. Una dawa ya
kusukutua? Kama hauna usukutue maji ya uvuguvugu yenye chumvi kabla ya
kulala na kuamka asubuhi.
pia jitahidi walau mara moja kwa mwaka uende kwa dentist kusafisha meno,
itazuia meno kuoza. Piga mswaki asubuhi na kabla ya kulala pia.