What a Sad Story

Kweli kabisa na hawa dada wetu wa kileo weekend inabidi umruhusu na yeye afurahie weekend yake hata hujui alienda wapi? anafanya nini?hapo sijui utakuwa unapimaje?.

Huuh! Ni wakati wa watu kuburuzwa mahakamani ili liwe funzo kwa wengine.

Utampima Ukimwi anapoanza kazi baada ya hapo utampima kila baada ya mwezi?
 
inasikitisha sana,,,Jamani kina mama muwe makini na ma house girl!
Siyo watoto tu, wanawaambukiza sana pia Waume zenu!
 


we unaongea kama vile huyajui maisha haya ya bongo. Sio wote wanaopenda kuwaacha watoto na housegirl, maisha ni magumu ndo maana watu tunahangaika usiku na mchana. Na huyo mtoto ni kichanga wala sio mtoto wa kuweza kusema, kwa hiyo usiwalaumu wazazi kwa kurudi usiku ila hapo ni kumwomba Mungu atuepushe na hili balaa, coz one day nawe utakuwa mzazi, so tujifunze wakati wote kuwa na wasiwasi na mazingira tunayowaaacha wapendwa watoto wetu. tusiridhike na hawa watu hata kama tunawaamini, kujaribiwa ni mara moja,
 
inasikitisha sana,,,Jamani kina mama muwe makini na ma house girl!
Siyo watoto tu, wanawaambukiza sana pia Waume zenu!


Rejao umenicheesha kweli ingawa nina masikitiko makubwa. Na pia inawezekana kabisa huyu dada aliambukizwa na mwajiri wake wa awali, na hivyo ana hasira na waajiri wote, so anafanya kulipiza kisasi bila kujua anawaumiza wasio na hatia.
 
Chupaku usemayo ni sawa kabisa, wazazi wengine wakirudi nyumbani, mtoto akijisaidia utasikia dadaaaa mtoto amekunya, akikojoa dadaaa mtoto amekojoa, akiwa na njaa dadaaaa mpe mtoto chakula yaani utadhani yeye sio mtoto wake, hii inamfanya house girl kuchukia hata kazi hiyo na hasa kumchukia mtoto, hata akiumwa hajali, wanawake wenzangu hebutuadilike jamani, miezi tisa unamlea mtoto tumboni mwako, labor tuaenda sisi, sasa upendo kwa watoto wetu tena ni issue, hivi wazazi wetu wangetulea style hii tungefika hapa tulipo, Mungu atusamehe sana wazazi kwani hata watoto wanakosa upendo wa wazazi wao tunawanyima haki yao jamani
 
Very sad story. Pole kwa wahusika. Nendeni kwa watumishi wa Mungu watamwombea mtoto naye atapona kabisa!
 
Hii ni kali tena babu kubwa looooooooooo, malaika wa watu hana kosa jamani, MUNGU amponye malaika wetu.
 

Mimi nilikuwa naonyesha kuwa suala la kumpima mtu halina msingi. Kwanza utampima mara ngapi? Pili sheria za kazi haziruhusu watu kupimwa kwa nguvu. Badala yake mie napendekeza bibie afikishwe kwenye vyombo vya sheria ili na wengine wapate funzo kuwa wanachokifanya si haki
 
Jesus Christ!! Ni kisasi au? Jamani huyo mtoto.....yaani roho imeniuma kama vile ni wangu. Wazazi poleni jamani.
 
Very sad story. Pole kwa wahusika. Nendeni kwa watumishi wa Mungu watamwombea mtoto naye atapona kabisa!
Ingekuwa rahisi nana hiyo kungekuwa hamna ngoma kabisa,world is not fair...
 

mmmh hapo nakataa mtoto mchanga utamuachaje nyumbani, hv ww unamjua mtoto mchanga kweli? Labda kama ulikua na maana nyingine.
 
mmmh hapo nakataa mtoto mchanga utamuachaje nyumbani, hv ww unamjua mtoto mchanga kweli? Labda kama ulikua na maana nyingine.


sasa mtoto wa miezi minne utamwitaje kama si kichanga? You people mnanishangaza sana. Mama anajifungua, then after 3 months maternity leave imemalizika anatakiwa kuanza kazi, hata kama anafanya kazi kwa nusu siku si tayari keshamuacha huyu mtoto nyumbani?
 
This is very bad. Imeniuma sana, kusema ukweli mimi siwapendi hawa beki tatu maana waliifrustrate familia yetu baada ya msure kumzini mfanyakazi wa ndani. Ikawa full fujo hamna wa kumsikiliza mwenzake ndani. Hapo niliapa kwangu no helper tutafanya wenyewe na my wife wangu
 


hahahaaa, wewe umenifurahisha sana. Eti unamchukia beki 3, wakati babako ndo alimzini msichana, na kwa nini usimchukie babako? Nyie wanaume ndo mnatuletea matatizo yote haya
 
Wakati mwingine huwa ni chuki ya House girl kwa manyanyaso ya mabosi wao. Utakuta anakula makombo, mshahara halipwi, kutukanwa kila wakati nk. Haiwezekani sehemu mtu wanamjali akawafanyia kitendo kama hichi cha unyama tena kwa Malaika hasie na hatia.
 
<br />
<br />
NINGEKUWA GEREZANI JINSI MIMBA INAVYOHANGAISHA AF MTU AFANYE HIVYO MMMH! NA HG INAELEKEA ALIFANYIWA UNYAMA NDO MANA ALIFANYA HIVYO,AU MAMA WA MTOTO ALIKUWA ANAMZINGUA!JAMANI JAMANI,UUW
 
inasikitisha sana,,,Jamani kina mama muwe makini na ma house girl!<br />
Siyo watoto tu, wanawaambukiza sana pia Waume zenu!
<br />
<br />
HAHAHHA UMENENA VYEMA ASEE!ILA WABABA WENGI WANAJITAKIAGA WENYEWE WANAWABAKA MABEKI3 WANAWAPA HIV AF MIMBA KISHA WANAWATIMUA,KISA MALA NYINGI HG HAWANA PA KULALAMIKIA
 
Kweli huyu girl ni mnyama na anastahili adhabu,ili kuonya na watu wengine wenye roho usiyokuwa na utu,bina damu gani huyu asiye waza wala kujali wenzake?hastahi kukaa miongoni mwawatu.
 
Kweli huyu girl ni mnyama na anastahili adhabu,ili kuonya na watu wengine wenye roho usiyokuwa na utu,bina damu gani huyu asiye waza wala kujali wenzake?hastahi kukaa miongoni mwawatu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…