Huuh! Ni wakati wa watu kuburuzwa mahakamani ili liwe funzo kwa wengine.
Utampima Ukimwi anapoanza kazi baada ya hapo utampima kila baada ya mwezi?
Housegirl huyo wamuulize vizuri. Kwa mtu wa kawaida - siyo kichaa au mchawi mara nyingi hawezi kufanya hivyo. Atakuwa alibakwa na baba fulani alipokuwa akifanya kazi mahali fulani kabla ya hapo, akaambukizwa. Ana hasira na maisha, ana hasira na waajiri, ana hasira hasira hasira na kazipeleka kwa mtoto.
Nawapa pole wazazi. Ila pia wazazi wa siku hizi tumezidi - kuondoka alfajiri kurudi usiku. Inakuwaje baba au mama usione mtoto ana kidonda cha kuchanjwa kila siku? Manake kulingana na mtoa mada hakufanya mara moja!
Kila mzazi ahakikishe halali kabla hajaongea na watoto, siyo tu kuongea bali kuwahoji na kuwasikiliza. Watoto huwa wanasema yoooote wakipewa nafasi. Kama huamini jaribu. Kuna physical na psychological abuse wanapata watoto kutoka kwa caregivers. Tena aliyesema utafute ndugu ndiyo kabisa wanastarehe wanaacha mtoto na diaper ya mavi mpaka yakauke matakoni, na ugali wako wanakula!
Jamani kama umezaa watoto wajibika. Lea wanao na hakuna wa kukusaidia.
Kwa mara nyingine, poleni sana wahusika.
inasikitisha sana,,,Jamani kina mama muwe makini na ma house girl!
Siyo watoto tu, wanawaambukiza sana pia Waume zenu!
Chupaku usemayo ni sawa kabisa, wazazi wengine wakirudi nyumbani, mtoto akijisaidia utasikia dadaaaa mtoto amekunya, akikojoa dadaaa mtoto amekojoa, akiwa na njaa dadaaaa mpe mtoto chakula yaani utadhani yeye sio mtoto wake, hii inamfanya house girl kuchukia hata kazi hiyo na hasa kumchukia mtoto, hata akiumwa hajali, wanawake wenzangu hebutuadilike jamani, miezi tisa unamlea mtoto tumboni mwako, labor tuaenda sisi, sasa upendo kwa watoto wetu tena ni issue, hivi wazazi wetu wangetulea style hii tungefika hapa tulipo, Mungu atusamehe sana wazazi kwani hata watoto wanakosa upendo wa wazazi wao tunawanyima haki yao jamaniHousegirl huyo wamuulize vizuri. Kwa mtu wa kawaida - siyo kichaa au mchawi mara nyingi hawezi kufanya hivyo. Atakuwa alibakwa na baba fulani alipokuwa akifanya kazi mahali fulani kabla ya hapo, akaambukizwa. Ana hasira na maisha, ana hasira na waajiri, ana hasira hasira hasira na kazipeleka kwa mtoto.
Nawapa pole wazazi. Ila pia wazazi wa siku hizi tumezidi - kuondoka alfajiri kurudi usiku. Inakuwaje baba au mama usione mtoto ana kidonda cha kuchanjwa kila siku? Manake kulingana na mtoa mada hakufanya mara moja!
Kila mzazi ahakikishe halali kabla hajaongea na watoto, siyo tu kuongea bali kuwahoji na kuwasikiliza. Watoto huwa wanasema yoooote wakipewa nafasi. Kama huamini jaribu. Kuna physical na psychological abuse wanapata watoto kutoka kwa caregivers. Tena aliyesema utafute ndugu ndiyo kabisa wanastarehe wanaacha mtoto na diaper ya mavi mpaka yakauke matakoni, na ugali wako wanakula!
Jamani kama umezaa watoto wajibika. Lea wanao na hakuna wa kukusaidia.
Kwa mara nyingine, poleni sana wahusika.
<br />
<br />
Wewe uko tayari kupimwa kwa nguvu ati kisa kazi? Kwa kuwa hapana sheria ya kulazimisha upimaji hiv kwa nguvu basi na mahouse girl hawatakiwi kuwa subjected to involuntary testing.
By the way alichofanya huyo mdada si ubinadamu ni kwamba malipo yake Mwenyezi Mungu anajua. Na hii inaweza fanywa na yeyote yule, mfano partner anayefahamu status yake na kwa makusudi anasex na mwenzake aliye negative purposefully kumwambukiza, ama wale ma-nurse na medical personnel wanaowainject wagonjwa/maadui zao damu zenye maambukizi (kuna visa hivyo)
Ingekuwa rahisi nana hiyo kungekuwa hamna ngoma kabisa,world is not fair...Very sad story. Pole kwa wahusika. Nendeni kwa watumishi wa Mungu watamwombea mtoto naye atapona kabisa!
we unaongea kama vile huyajui maisha haya ya bongo. Sio wote wanaopenda kuwaacha watoto na housegirl, maisha ni magumu ndo maana watu tunahangaika usiku na mchana. Na huyo mtoto ni kichanga wala sio mtoto wa kuweza kusema, kwa hiyo usiwalaumu wazazi kwa kurudi usiku ila hapo ni kumwomba Mungu atuepushe na hili balaa, coz one day nawe utakuwa mzazi, so tujifunze wakati wote kuwa na wasiwasi na mazingira tunayowaaacha wapendwa watoto wetu. tusiridhike na hawa watu hata kama tunawaamini, kujaribiwa ni mara moja,
mmmh hapo nakataa mtoto mchanga utamuachaje nyumbani, hv ww unamjua mtoto mchanga kweli? Labda kama ulikua na maana nyingine.
This is very bad. Imeniuma sana, kusema ukweli mimi siwapendi hawa beki tatu maana waliifrustrate familia yetu baada ya msure kumzini mfanyakazi wa ndani. Ikawa full fujo hamna wa kumsikiliza mwenzake ndani. Hapo niliapa kwangu no helper tutafanya wenyewe na my wife wangu
<br />Maisha yamekua so complicated sasa hasa inapohusisha watoto wetu..<br />
mtihani saana... Roho imeniuma saaana kuhusu huyo malaika... Huyo <br />
binti nae house gal nafikiri yuko so frustrated na ugonjwa mpaka <br />
kufanya roho mbaya hivo.... Dah! Pole zao wazazi jamani...
<br />inasikitisha sana,,,Jamani kina mama muwe makini na ma house girl!<br />
Siyo watoto tu, wanawaambukiza sana pia Waume zenu!