bombu
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,127
- 544
Jamani nimefungua wall yangu ya fb na kukutana na hii issue, kiukweli nimeshtuka, sikitika na kushikwa na wasiwasi, Hebu soma uone jinsi huyu mtu alvyofanya unyama huu.
"Friends, jana nimehudumia mtoto mchanga ameambukizwa HIV na Housegirl, Baba& Mama wako Negative na ni vijana sana. Nadhani ni lazima kujua Sero status za house girls coz nimejiweka nafasi ya wale wazazi na it's so painful.This girl alikuwa anamchanja mtoto makusudi miguuni then anamnyunyizia damu yake. Na alipoulizwa kwa nini? She said," mnisamehe jamani". Ok wazazi wamemsamehe na wame accept the reality!"
Source. fb
"Friends, jana nimehudumia mtoto mchanga ameambukizwa HIV na Housegirl, Baba& Mama wako Negative na ni vijana sana. Nadhani ni lazima kujua Sero status za house girls coz nimejiweka nafasi ya wale wazazi na it's so painful.This girl alikuwa anamchanja mtoto makusudi miguuni then anamnyunyizia damu yake. Na alipoulizwa kwa nini? She said," mnisamehe jamani". Ok wazazi wamemsamehe na wame accept the reality!"
Source. fb