Kwa mujibu wa baraza jipya la mawaziri, walioongezeka kutoka 47 mpaka 50, kuna makosa mengi ya kiufundi ambayo Kikwete ameyafanya.
Hii ikiwemo kutoa wizara nyeti sana kwa uchumi na maendeleo ya nchi kwa mawaziri waliokuwa na uwezo mdogo wa kazi. Hawa ni -- Mustafa Mkulo (fedha), William Ngeleja (Nishati na Madini) na Ezekiel Maige (Maliasili na Utalii).
Lakini kubwa kuliko zote ni kwa Kikwete kumteua William Lukuvi kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshuhulikia Sera, Uratibu na Bunge.
Kwa maana nyingine, Lukuvi ndiyo atakuwa CHIEF WHIP wa serikali Bungeni mwenye kazi kubwa kuwaweka sawa wabunge wa CCM waiunge mkono serikali na ku-counter makombora na strategy za kambi ya upinzani.
CHIEF WHIP wa kambi ya upinzani ni the magnificent TUNDU LISSU.
Hii ina maana kuwa Bungeni itakuwa ni Tundi Lissu vs. William Lukuvi. What a mismatch!
Kweli Kikwete na CCM ni mabingwa wa kujifunga own goals...
Labda........let us wait and see.............. to me it is lose situation kwa LukuviIf you think it a lose situation kwa Lukuvi you are damn wrong...labda kama hoja ni za kingereza ila Lukuvi is the right person kwa bunge hili
If you think it a lose situation kwa Lukuvi you are damn wrong...labda kama hoja ni za kingereza ila Lukuvi is the right person kwa bunge hili
Kwa mujibu wa baraza jipya la mawaziri, walioongezeka kutoka 47 mpaka 50, kuna makosa mengi ya kiufundi ambayo Kikwete ameyafanya.
Hii ikiwemo kutoa wizara nyeti sana kwa uchumi na maendeleo ya nchi kwa mawaziri waliokuwa na uwezo mdogo wa kazi. Hawa ni -- Mustafa Mkulo (fedha), William Ngeleja (Nishati na Madini) na Ezekiel Maige (Maliasili na Utalii).
Lakini kubwa kuliko zote ni kwa Kikwete kumteua William Lukuvi kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshuhulikia Sera, Uratibu na Bunge.
Kwa maana nyingine, Lukuvi ndiyo atakuwa CHIEF WHIP wa serikali Bungeni mwenye kazi kubwa kuwaweka sawa wabunge wa CCM waiunge mkono serikali na ku-counter makombora na strategy za kambi ya upinzani.
CHIEF WHIP wa kambi ya upinzani ni the magnificent TUNDU LISSU.
Hii ina maana kuwa Bungeni itakuwa ni Tundi Lissu vs. William Lukuvi. What a mismatch!
Kweli Kikwete na CCM ni mabingwa wa kujifunga own goals...
Kujiamini, Uzoefu wa bunge na Uelewa wa mfumo wa uongozi na utawala wa Lukuvi ndio zitaweza kudhibiti Emotions and mostly Irrational activism ya Tundu Lissu.....
Lukuvi alisha kuwa katika Wizara hiyo 2000-2005 !Ana ufahamu sana na wizara hiyo!!
Kwa mujibu wa baraza jipya la mawaziri, walioongezeka kutoka 47 mpaka 50, kuna makosa mengi ya kiufundi ambayo Kikwete ameyafanya.
Hii ikiwemo kutoa wizara nyeti sana kwa uchumi na maendeleo ya nchi kwa mawaziri waliokuwa na uwezo mdogo wa kazi. Hawa ni -- Mustafa Mkulo (fedha), William Ngeleja (Nishati na Madini) na Ezekiel Maige (Maliasili na Utalii).
Lakini kubwa kuliko zote ni kwa Kikwete kumteua William Lukuvi kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshuhulikia Sera, Uratibu na Bunge.
Kwa maana nyingine, Lukuvi ndiyo atakuwa CHIEF WHIP wa serikali Bungeni mwenye kazi kubwa kuwaweka sawa wabunge wa CCM waiunge mkono serikali na ku-counter makombora na strategy za kambi ya upinzani.
CHIEF WHIP wa kambi ya upinzani ni the magnificent TUNDU LISSU.
Hii ina maana kuwa Bungeni itakuwa ni Tundi Lissu vs. William Lukuvi. What a mismatch!
Kweli Kikwete na CCM ni mabingwa wa kujifunga own goals...
Kujiamini, Uzoefu wa bunge na Uelewa wa mfumo wa uongozi na utawala wa Lukuvi ndio zitaweza kudhibiti Emotions and mostly Irrational activism ya Tundu Lissu.....
i think Lukuvi is a good one for the position!!
Fafanua hapo kwenye red!
Gembe,
Hapa kuna issue ya ujuzi wa sheria. Zitto alilia na Phillip Marmo jinsi Marmo alivyokuwa anampiga danadana za technicalities, mara sijui muswada (wa Zitto on leadership ethics) haujachapwa kwenye Government Gazette, mara kikashuka kikapanda, ili mradi alitumia kila mbinu ya kisheria kuuua muswada ule.
Sasa Lukuvi anajua sheria na kanuni za bunge kihivyo? Hii kazi inamtaka mwanasheria aliyekubuhu ndiyo maana CHADEMA wamemuweka Lissu hapo.
Hivi nyie, mlikua wapi tangu jana?? Inamaana mnasema Wapinzani wakizama tu kimombo basi tayari CCM tumepoteza, na kwamba lugha ya marafiki wa mahakama nayo ikijiri basi ndio kabisa Lissu atakua amelitia TUNDU chama chetu eehh???
Kama hivyo vivyo ndivyo basi nisubirini kidogo nirudi pale magogoni kuchangisha upya karata. Niko unpredictable naweza kabisa nikamswap Lukuvi na 6 mara moja ili tuone hao CHADEMA watapitia wapi tena.
MkuuAcid justify your position !!