WHAT A MISMATCH! It's TUNDU LISSU vs. WILLIAM LUKUVI Bungeni

Fareed

JF-Expert Member
Apr 13, 2010
328
135
Kwa mujibu wa baraza jipya la mawaziri, walioongezeka kutoka 47 mpaka 50, kuna makosa mengi ya kiufundi ambayo Kikwete ameyafanya.

Hii ikiwemo kutoa wizara nyeti sana kwa uchumi na maendeleo ya nchi kwa mawaziri waliokuwa na uwezo mdogo wa kazi. Hawa ni -- Mustafa Mkulo (fedha), William Ngeleja (Nishati na Madini) na Ezekiel Maige (Maliasili na Utalii).

Lakini kubwa kuliko zote ni kwa Kikwete kumteua William Lukuvi kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshuhulikia Sera, Uratibu na Bunge.

Kwa maana nyingine, Lukuvi ndiyo atakuwa CHIEF WHIP wa serikali Bungeni mwenye kazi kubwa kuwaweka sawa wabunge wa CCM waiunge mkono serikali na ku-counter makombora na strategy za kambi ya upinzani.

CHIEF WHIP wa kambi ya upinzani ni the magnificent TUNDU LISSU.

Hii ina maana kuwa Bungeni itakuwa ni Tundi Lissu vs. William Lukuvi. What a mismatch!

Kweli Kikwete na CCM ni mabingwa wa kujifunga own goals...
 
Kwa mujibu wa baraza jipya la mawaziri, walioongezeka kutoka 47 mpaka 50, kuna makosa mengi ya kiufundi ambayo Kikwete ameyafanya.

Hii ikiwemo kutoa wizara nyeti sana kwa uchumi na maendeleo ya nchi kwa mawaziri waliokuwa na uwezo mdogo wa kazi. Hawa ni -- Mustafa Mkulo (fedha), William Ngeleja (Nishati na Madini) na Ezekiel Maige (Maliasili na Utalii).

Lakini kubwa kuliko zote ni kwa Kikwete kumteua William Lukuvi kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshuhulikia Sera, Uratibu na Bunge.

Kwa maana nyingine, Lukuvi ndiyo atakuwa CHIEF WHIP wa serikali Bungeni mwenye kazi kubwa kuwaweka sawa wabunge wa CCM waiunge mkono serikali na ku-counter makombora na strategy za kambi ya upinzani.

CHIEF WHIP wa kambi ya upinzani ni the magnificent TUNDU LISSU.

Hii ina maana kuwa Bungeni itakuwa ni Tundi Lissu vs. William Lukuvi. What a mismatch!

Kweli Kikwete na CCM ni mabingwa wa kujifunga own goals...

If you think it a lose situation kwa Lukuvi you are damn wrong...labda kama hoja ni za kingereza ila Lukuvi is the right person kwa bunge hili
 
If you think it a lose situation kwa Lukuvi you are damn wrong...labda kama hoja ni za kingereza ila Lukuvi is the right person kwa bunge hili
Labda........let us wait and see.............. to me it is lose situation kwa Lukuvi
 
Lukuvi alisha kuwa katika Wizara hiyo 2000-2005 !Ana ufahamu sana na wizara hiyo!!
 
If you think it a lose situation kwa Lukuvi you are damn wrong...labda kama hoja ni za kingereza ila Lukuvi is the right person kwa bunge hili

Gembe,

Hapa kuna issue ya ujuzi wa sheria. Zitto alilia na Phillip Marmo jinsi Marmo alivyokuwa anampiga danadana za technicalities, mara sijui muswada (wa Zitto on leadership ethics) haujachapwa kwenye Government Gazette, mara kikashuka kikapanda, ili mradi alitumia kila mbinu ya kisheria kuuua muswada ule.

Sasa Lukuvi anajua sheria na kanuni za bunge kihivyo? Hii kazi inamtaka mwanasheria aliyekubuhu ndiyo maana CHADEMA wamemuweka Lissu hapo.
 
Kwa mujibu wa baraza jipya la mawaziri, walioongezeka kutoka 47 mpaka 50, kuna makosa mengi ya kiufundi ambayo Kikwete ameyafanya.

Hii ikiwemo kutoa wizara nyeti sana kwa uchumi na maendeleo ya nchi kwa mawaziri waliokuwa na uwezo mdogo wa kazi. Hawa ni -- Mustafa Mkulo (fedha), William Ngeleja (Nishati na Madini) na Ezekiel Maige (Maliasili na Utalii).

Lakini kubwa kuliko zote ni kwa Kikwete kumteua William Lukuvi kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshuhulikia Sera, Uratibu na Bunge.

Kwa maana nyingine, Lukuvi ndiyo atakuwa CHIEF WHIP wa serikali Bungeni mwenye kazi kubwa kuwaweka sawa wabunge wa CCM waiunge mkono serikali na ku-counter makombora na strategy za kambi ya upinzani.

CHIEF WHIP wa kambi ya upinzani ni the magnificent TUNDU LISSU.

Hii ina maana kuwa Bungeni itakuwa ni Tundi Lissu vs. William Lukuvi. What a mismatch!

Kweli Kikwete na CCM ni mabingwa wa kujifunga own goals...

Kujiamini, Uzoefu wa bunge na Uelewa wa mfumo wa uongozi na utawala wa Lukuvi ndio zitaweza kudhibiti Emotions and mostly Irrational activism ya Tundu Lissu.....
 
Sioni ubaya wa lukuvi kuwa kwenye wizara hiyo. Alishafanya kazi kwenye wizara hiyo na hatukuona ubaya wowote kwa lukuvi. Tumpe muda tuone atafanya nini. Akichemsha si mkwere atamtimua!!!!!! Sasa taabu iko wapi? Kushindwa kwa lukuvi si diyo anguko la ccm? Au wewe hupendi?
 
Lukuvi alisha kuwa katika Wizara hiyo 2000-2005 !Ana ufahamu sana na wizara hiyo!!

Hehee, Kikwete ana experience ya kuwa kiongozi mkubwa serikalini kwa karibu miaka 30 sasa. Uzoefu huo wa Kikwete umemsaidia nini? Lukuvi labda atamzidi Tundu Lissu kwenye kuvaa nguo na kutafuna mdomo akiwa Bungeni, mpaka wenzake wamempa jina la utani la "Profesa!"
 
Kwa mujibu wa baraza jipya la mawaziri, walioongezeka kutoka 47 mpaka 50, kuna makosa mengi ya kiufundi ambayo Kikwete ameyafanya.

Hii ikiwemo kutoa wizara nyeti sana kwa uchumi na maendeleo ya nchi kwa mawaziri waliokuwa na uwezo mdogo wa kazi. Hawa ni -- Mustafa Mkulo (fedha), William Ngeleja (Nishati na Madini) na Ezekiel Maige (Maliasili na Utalii).

Lakini kubwa kuliko zote ni kwa Kikwete kumteua William Lukuvi kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshuhulikia Sera, Uratibu na Bunge.

Kwa maana nyingine, Lukuvi ndiyo atakuwa CHIEF WHIP wa serikali Bungeni mwenye kazi kubwa kuwaweka sawa wabunge wa CCM waiunge mkono serikali na ku-counter makombora na strategy za kambi ya upinzani.

CHIEF WHIP wa kambi ya upinzani ni the magnificent TUNDU LISSU.

Hii ina maana kuwa Bungeni itakuwa ni Tundi Lissu vs. William Lukuvi. What a mismatch!

Kweli Kikwete na CCM ni mabingwa wa kujifunga own goals...

Mkuu hili nimeliona nikasema kazi itakuwapo mwakani
 
Nadhani itabidi Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, ndiyo awe de facto Chief Whip wa serikali Bungeni ili asaidie kujibu hoja za serikali. Kumpambanisha William Lukuvi na Tundu Lissu ni sawasawa na kumfananisha Yusuf Makamba na Dk. Willibrod Slaa. Kwa mtizamo wangu, Mathias Chikawe angeisadia serikali zaidi kama chief whip Bungeni. I can't wait for the Bunge show to begin in February and beyond!
 
Kujiamini, Uzoefu wa bunge na Uelewa wa mfumo wa uongozi na utawala wa Lukuvi ndio zitaweza kudhibiti Emotions and mostly Irrational activism ya Tundu Lissu.....


Lukuvi fisadi wa elimu mkuu wa mkoa wa dar es salaam
he has no credibility at all when compared with Tundu Lissu!
 
Gembe,

Hapa kuna issue ya ujuzi wa sheria. Zitto alilia na Phillip Marmo jinsi Marmo alivyokuwa anampiga danadana za technicalities, mara sijui muswada (wa Zitto on leadership ethics) haujachapwa kwenye Government Gazette, mara kikashuka kikapanda, ili mradi alitumia kila mbinu ya kisheria kuuua muswada ule.

Sasa Lukuvi anajua sheria na kanuni za bunge kihivyo? Hii kazi inamtaka mwanasheria aliyekubuhu ndiyo maana CHADEMA wamemuweka Lissu hapo.

Hivi nyie, mlikua wapi tangu jana?? Inamaana mnasema Wapinzani wakizama tu kimombo basi tayari CCM tumepoteza, na kwamba lugha ya marafiki wa mahakama nayo ikijiri basi ndio kabisa Lissu atakua amelitia TUNDU chama chetu eehh???

Kama hivyo vivyo ndivyo basi nisubirini kidogo nirudi pale magogoni kuchangisha upya karata. Niko unpredictable naweza kabisa nikamswap Lukuvi na 6 mara moja ili tuone hao CHADEMA watapitia wapi tena.
 
Hivi nyie, mlikua wapi tangu jana?? Inamaana mnasema Wapinzani wakizama tu kimombo basi tayari CCM tumepoteza, na kwamba lugha ya marafiki wa mahakama nayo ikijiri basi ndio kabisa Lissu atakua amelitia TUNDU chama chetu eehh???

Kama hivyo vivyo ndivyo basi nisubirini kidogo nirudi pale magogoni kuchangisha upya karata. Niko unpredictable naweza kabisa nikamswap Lukuvi na 6 mara moja ili tuone hao CHADEMA watapitia wapi tena.

Wapi nimesema chochote kuhusu kimombo hapo?
 
Acid justify your position !!
Mkuu

Ile position sio kama inavyotakiwa iwe... pale amewekwa masimenti na kazi yake ni mechanical... lukuvi is "that man"... he is right for the position

kumbuka pia kwamba level ya sophistication kenye bunge letu si kihivyo
 
Back
Top Bottom