Kwa mujibu wa baraza jipya la mawaziri, walioongezeka kutoka 47 mpaka 50, kuna makosa mengi ya kiufundi ambayo Kikwete ameyafanya.
Hii ikiwemo kutoa wizara nyeti sana kwa uchumi na maendeleo ya nchi kwa mawaziri waliokuwa na uwezo mdogo wa kazi. Hawa ni -- Mustafa Mkulo (fedha), William Ngeleja (Nishati na Madini) na Ezekiel Maige (Maliasili na Utalii).
Lakini kubwa kuliko zote ni kwa Kikwete kumteua William Lukuvi kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshuhulikia Sera, Uratibu na Bunge.
Kwa maana nyingine, Lukuvi ndiyo atakuwa CHIEF WHIP wa serikali Bungeni mwenye kazi kubwa kuwaweka sawa wabunge wa CCM waiunge mkono serikali na ku-counter makombora na strategy za kambi ya upinzani.
CHIEF WHIP wa kambi ya upinzani ni the magnificent TUNDU LISSU.
Hii ina maana kuwa Bungeni itakuwa ni Tundi Lissu vs. William Lukuvi. What a mismatch!
Kweli Kikwete na CCM ni mabingwa wa kujifunga own goals...
Hii ikiwemo kutoa wizara nyeti sana kwa uchumi na maendeleo ya nchi kwa mawaziri waliokuwa na uwezo mdogo wa kazi. Hawa ni -- Mustafa Mkulo (fedha), William Ngeleja (Nishati na Madini) na Ezekiel Maige (Maliasili na Utalii).
Lakini kubwa kuliko zote ni kwa Kikwete kumteua William Lukuvi kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshuhulikia Sera, Uratibu na Bunge.
Kwa maana nyingine, Lukuvi ndiyo atakuwa CHIEF WHIP wa serikali Bungeni mwenye kazi kubwa kuwaweka sawa wabunge wa CCM waiunge mkono serikali na ku-counter makombora na strategy za kambi ya upinzani.
CHIEF WHIP wa kambi ya upinzani ni the magnificent TUNDU LISSU.
Hii ina maana kuwa Bungeni itakuwa ni Tundi Lissu vs. William Lukuvi. What a mismatch!
Kweli Kikwete na CCM ni mabingwa wa kujifunga own goals...