Huntsman
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 648
- 619
Leo katika taarifa ya habari ITV inayoendelea sasa JK ambaye ni Rais wetu amesema "nchi inayotegemea mikopo na misaada haiwezi kuwa na maendeleo" kwan siku misaada ikisitishwa au mkishindwa kulipa madeni itakuwa tabu kwenu.
Jamani hivi hii nchi inangozwaje? Kwann huyu president haishi kwenda kutembeza bakuli nje ilihali anajua ukweli mchungu?
Nawasilisha.
Jamani hivi hii nchi inangozwaje? Kwann huyu president haishi kwenda kutembeza bakuli nje ilihali anajua ukweli mchungu?
Nawasilisha.