Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
FERRY KUWA MAKINI KIGAMBONI
Waungwana nimewahi kuibiwa Mara Mbili.
1. Nilitoa 10,000/- nikaambiwa nimetoa
5000. Shahidi
Baada ya wiki 3
2. nilitoa 5000 nirudishiwa change
Almost napanda pantoni wakasema nimewapa noti bandia.
Mm nilikuwa na akili timamu na sikuwahi fanya jambo km hilo.
Wale wafanyakazi Magogoni wote Lao 1.
Jihadhari na Uwizi Shuka kwenye gari kalipe usikubali wakufuate hawaaminiki.
Waungwana nimewahi kuibiwa Mara Mbili.
1. Nilitoa 10,000/- nikaambiwa nimetoa
5000. Shahidi
Baada ya wiki 3
2. nilitoa 5000 nirudishiwa change
Almost napanda pantoni wakasema nimewapa noti bandia.
Mm nilikuwa na akili timamu na sikuwahi fanya jambo km hilo.
Wale wafanyakazi Magogoni wote Lao 1.
Jihadhari na Uwizi Shuka kwenye gari kalipe usikubali wakufuate hawaaminiki.