Wana JF,
Inasikitisha sana kuona watu wanaoiba fedha nyingi ambazo ni kodi za umma hawachukuliwi hatua stahili.
Sakata la wizi wa hela za safari za raisi sasa linaonekana kupoa na kuwa kimya kabisa, kwa nini wasifikishwe mahakamani?
Au ndo ule utamaduni wa RAISI kusamehe WEZI kama ilivyokuwa kwa wezi wa EPA?
Au ndo ukimya wa RAISI juu ya mabilioni yaliyoko USWISI?
Inasikitisha sana kuona watu wanaoiba fedha nyingi ambazo ni kodi za umma hawachukuliwi hatua stahili.
Sakata la wizi wa hela za safari za raisi sasa linaonekana kupoa na kuwa kimya kabisa, kwa nini wasifikishwe mahakamani?
Au ndo ule utamaduni wa RAISI kusamehe WEZI kama ilivyokuwa kwa wezi wa EPA?
Au ndo ukimya wa RAISI juu ya mabilioni yaliyoko USWISI?