TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,514
- 11,277
Padri aliwaambia waumini wachangishe pesa ya kujenga hospitali. Waumini wakachangisha Tsh 700,000.
Ghafla wezi wakavamia kanisani kisha wakawaamuru waumini watoe pesa zote walizonazo vinginevyo wauliwe.
Waumini wakatoa pesa taslimu zikafika Tsh 62.5 million. Wezi wakakusanya hiyo pesa kisha wakampatia Padri.
Je nani ana makosa, Wezi au Waumini?
Ghafla wezi wakavamia kanisani kisha wakawaamuru waumini watoe pesa zote walizonazo vinginevyo wauliwe.
Waumini wakatoa pesa taslimu zikafika Tsh 62.5 million. Wezi wakakusanya hiyo pesa kisha wakampatia Padri.
Je nani ana makosa, Wezi au Waumini?